Rais Magufuli, Bashiru wagonga mwamba, walazimisha maamuzi yao kupita bila pingamizi, NEC wagoma kuburuzwa

Rais Magufuli, Bashiru wagonga mwamba, walazimisha maamuzi yao kupita bila pingamizi, NEC wagoma kuburuzwa

Nec ni chombo chenye uwezo wa kufanya maamuzi magumu kama wana maamuzi wanayotaka kufanya wafanye badala ya kuja mtandaoni na kutuletea uzushi
 
Kikao cha NEC kikiendelea kusubiriwa kwa hamu sana, ili kujipanga kwa ajili ya Uchaguzi mkuu ujao pia kwa ajili ya kupokea Maazimio ya Central Committee juu ya Kinana, Membe na Makamba.

Tayari wanaCCM nchini kote wamewashangaa Magufuli na Bashiru kwa kukiuka kanuni za ccm na kutoa maazimio yao mfukoni na kuyakataa yale ya kamati ya Maadili chini ya Mzee Mangula.

Tayari MAGUFULI na Bashiru wametumia kipindi hiki cha corona kushawishi WaNEC wakubaliane na Maamuzi yao ya Mfukoni, wanasahau kuwa Mzee Mangula anaumwa.

Mnec mmoja kutoka kanda ya kati alisikika akisema " Tumechoshwa na uhuni unaofanywa na Mwenyekiti na Katibu, wamekuja kutuharibia ccm yetu,".

WaNEC wanasema wao ndio walioituma kamati ya Mangula iwahoji akina Kinana, kwa hiyo wanasubiri ripot kutoka kamati ya maadili ili watoe maamuz rasmi ya chama.

WaNEC wengi wanasikitika kitendo alichofanyiwa Mzee Mangula, cha kugombezwa kama mtoto mbele ya wajumne pale alipotaka kuisoma ripot ya kamat yake.


Corona inaua, tuchukue taadhali na tufuate maelekezo ya wataalamu wa afya.

Mungu ibariki Tanzania.

Ni mimi Mwajuma Mwasapili
Kutoka Ileje- Mbeya
0754297651
Kumbe Mwajuma, haya wasalimie Mbeya!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kikao cha NEC kikiendelea kusubiriwa kwa hamu sana, ili kujipanga kwa ajili ya Uchaguzi mkuu ujao pia kwa ajili ya kupokea Maazimio ya Central Committee juu ya Kinana, Membe na Makamba.

Tayari wanaCCM nchini kote wamewashangaa Magufuli na Bashiru kwa kukiuka kanuni za ccm na kutoa maazimio yao mfukoni na kuyakataa yale ya kamati ya Maadili chini ya Mzee Mangula.

Tayari MAGUFULI na Bashiru wametumia kipindi hiki cha corona kushawishi WaNEC wakubaliane na Maamuzi yao ya Mfukoni, wanasahau kuwa Mzee Mangula anaumwa.

Mnec mmoja kutoka kanda ya kati alisikika akisema " Tumechoshwa na uhuni unaofanywa na Mwenyekiti na Katibu, wamekuja kutuharibia ccm yetu,".

WaNEC wanasema wao ndio walioituma kamati ya Mangula iwahoji akina Kinana, kwa hiyo wanasubiri ripot kutoka kamati ya maadili ili watoe maamuz rasmi ya chama.

WaNEC wengi wanasikitika kitendo alichofanyiwa Mzee Mangula, cha kugombezwa kama mtoto mbele ya wajumne pale alipotaka kuisoma ripot ya kamat yake.


Corona inaua, tuchukue taadhali na tufuate maelekezo ya wataalamu wa afya.

Mungu ibariki Tanzania.

Ni mimi Mwajuma Mwasapili
Kutoka Ileje- Mbeya
0754297651
Duuuh ileje na mwajuma napata mashaka kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kikao cha NEC kikiendelea kusubiriwa kwa hamu sana, ili kujipanga kwa ajili ya Uchaguzi mkuu ujao pia kwa ajili ya kupokea Maazimio ya Central Committee juu ya Kinana, Membe na Makamba.

Tayari wanaCCM nchini kote wamewashangaa Magufuli na Bashiru kwa kukiuka kanuni za ccm na kutoa maazimio yao mfukoni na kuyakataa yale ya kamati ya Maadili chini ya Mzee Mangula.

Tayari MAGUFULI na Bashiru wametumia kipindi hiki cha corona kushawishi WaNEC wakubaliane na Maamuzi yao ya Mfukoni, wanasahau kuwa Mzee Mangula anaumwa.

Mnec mmoja kutoka kanda ya kati alisikika akisema " Tumechoshwa na uhuni unaofanywa na Mwenyekiti na Katibu, wamekuja kutuharibia ccm yetu,".

WaNEC wanasema wao ndio walioituma kamati ya Mangula iwahoji akina Kinana, kwa hiyo wanasubiri ripot kutoka kamati ya maadili ili watoe maamuz rasmi ya chama.

WaNEC wengi wanasikitika kitendo alichofanyiwa Mzee Mangula, cha kugombezwa kama mtoto mbele ya wajumne pale alipotaka kuisoma ripot ya kamat yake.


Corona inaua, tuchukue taadhali na tufuate maelekezo ya wataalamu wa afya.

Mungu ibariki Tanzania.

Ni mimi Mwajuma Mwasapili
Kutoka Ileje- Mbeya
0754297651
Kumbe ni wewe?
 
Kwa Sasa Kuna ccm mpya zama zile zimeshapitwa na wakati (membe na vijana wake kwa kuwaangalia wanayoyafanya utafkri wao ndio wenye chama na wanzilishi wa chama hicho) wakumbuke kuwa safishasafusha uozo huo Bado inaendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamuwezi. Kufanya lolote,magufuli kawaweka wote mfukoni.

Huo ndio ukweli, hata akiamua kubadili katiba anaweza kabisa kwa sababu ya upumbavu wetuw
Kikao cha NEC kikiendelea kusubiriwa kwa hamu sana, ili kujipanga kwa ajili ya Uchaguzi mkuu ujao pia kwa ajili ya kupokea Maazimio ya Central Committee juu ya Kinana, Membe na Makamba.

Tayari wanaCCM nchini kote wamewashangaa Magufuli na Bashiru kwa kukiuka kanuni za ccm na kutoa maazimio yao mfukoni na kuyakataa yale ya kamati ya Maadili chini ya Mzee Mangula.

Tayari MAGUFULI na Bashiru wametumia kipindi hiki cha corona kushawishi WaNEC wakubaliane na Maamuzi yao ya Mfukoni, wanasahau kuwa Mzee Mangula anaumwa.

Mnec mmoja kutoka kanda ya kati alisikika akisema " Tumechoshwa na uhuni unaofanywa na Mwenyekiti na Katibu, wamekuja kutuharibia ccm yetu,".

WaNEC wanasema wao ndio walioituma kamati ya Mangula iwahoji akina Kinana, kwa hiyo wanasubiri ripot kutoka kamati ya maadili ili watoe maamuz rasmi ya chama.

WaNEC wengi wanasikitika kitendo alichofanyiwa Mzee Mangula, cha kugombezwa kama mtoto mbele ya wajumne pale alipotaka kuisoma ripot ya kamat yake.


Corona inaua, tuchukue taadhali na tufuate maelekezo ya wataalamu wa afya.

Mungu ibariki Tanzania.

Ni mimi Mwajuma Mwasapili
Kutoka Ileje- Mbeya
0754297651
 
Kikao cha NEC kikiendelea kusubiriwa kwa hamu sana, ili kujipanga kwa ajili ya Uchaguzi mkuu ujao pia kwa ajili ya kupokea Maazimio ya Central Committee juu ya Kinana, Membe na Makamba.

Tayari wanaCCM nchini kote wamewashangaa Magufuli na Bashiru kwa kukiuka kanuni za ccm na kutoa maazimio yao mfukoni na kuyakataa yale ya kamati ya Maadili chini ya Mzee Mangula.

Tayari MAGUFULI na Bashiru wametumia kipindi hiki cha corona kushawishi WaNEC wakubaliane na Maamuzi yao ya Mfukoni, wanasahau kuwa Mzee Mangula anaumwa.

Mnec mmoja kutoka kanda ya kati alisikika akisema " Tumechoshwa na uhuni unaofanywa na Mwenyekiti na Katibu, wamekuja kutuharibia ccm yetu,".

WaNEC wanasema wao ndio walioituma kamati ya Mangula iwahoji akina Kinana, kwa hiyo wanasubiri ripot kutoka kamati ya maadili ili watoe maamuz rasmi ya chama.

WaNEC wengi wanasikitika kitendo alichofanyiwa Mzee Mangula, cha kugombezwa kama mtoto mbele ya wajumne pale alipotaka kuisoma ripot ya kamat yake.


Corona inaua, tuchukue taadhali na tufuate maelekezo ya wataalamu wa afya.

Mungu ibariki Tanzania.

Ni mimi Mwajuma Mwasapili
Kutoka Ileje- Mbeya
0754297651
Kasome katiba ya chama cha mapinduzi na kanuni zake ndio urudi hapa. Kaelimike kwanza elimu haina mwisho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM ya leo ni kama imezaliwa upya inapendwa kila kona ya Tanzania.

October Magufuli ushindi ni 98%

Sent using Jamii Forums mobile app
Huko Kila kona ndo wapi?.... who will love this shit? ni tunafanya kan unafiki tu tupate Makiti ila Mpo chini mbaya hamna jipya bila kuiba kura na kutumia police mnajua kinachowapata
 
Hizo 2% zilizobaki ni kura za kina nani? Kama kweli magu anapendwa Basi ashinde kwa 120%! Vinginevyo hatuamini ubashiri wa pweza mchovu!
Soma ulichoandika kwanza ukielewe
 
Chadema na uzushi

Ccm ni Maji marefu usipoheshimu viongozi lazima utapotea tu

Nakukumbusha CCM ipo na itaendelea kuwepo kwa miaka mingi ijayo

Kwasababu bado hakuna vyama makini vya kuvaa viatu vya CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
Hicho chama kinachoogopa hata wanafunzi wa chuo chama gani hicho
Ukiongea tu unalambishwa SUMU.
MANGULA yupo Germany na hata nduguze hawaruhusiwi kumona.
Hiyo ndiyo ccm chama cha Walisha sumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnec mmoja kutoka kanda ya kati alisikika akisema " Tumechoshwa na uhuni unaofanywa na Mwenyekiti na Katibu, wamekuja kutuharibia ccm yetu,".
Hakuna mnec mwenye jeuri ya kutoa hiyo statement ikimlenga Jiwe. Acha kutulisha matango pori
 
Hakuna chombo Cha kutangua maamuzi ya kamati kuu ndani ya CCM zaidi ya kamati kuu yenyewe na maamuzi ya Kamati kuu ndio ya mwisho. Vikao vingine vya CCM ni kupokea maazimio ya Kamati kuu.

Maamuzi ya mfukoni ni yapi hayo? Maamuzi yaliyotolewa ni maamuzi ya pamoja. Utaratibu ukiukwe wakati wa kutoa maamuzi wakati uamuzi unatolewa kwa taratibu zilizopo?

Kamati ndogo ya maadili na usalama kazi yako ni kupeleka mapendekezo kamati kuu. Kamati kuu inaweza ikakataa mapendezo yote au sehemu ya mapendekezo yaliyotolewa na Kamati ndogo ya maadili na usalama.
We kweli hujui kitu ulipaswa kukaa kimya, mkutano mkuu taifa unatengua vizuri tu maamuzi CC na hata NEC. Mkutano mkuu taifa ndo bosi wa ccm.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom