Rais Magufuli, Bashiru wagonga mwamba, walazimisha maamuzi yao kupita bila pingamizi, NEC wagoma kuburuzwa

Rais Magufuli, Bashiru wagonga mwamba, walazimisha maamuzi yao kupita bila pingamizi, NEC wagoma kuburuzwa

Hao wajumbe Wa NEC wawe makini, mwenyekiti anaweza agiza wasiojulikana...wawashughulikie
 
Kikao cha NEC kikiendelea kusubiriwa kwa hamu sana, ili kujipanga kwa ajili ya Uchaguzi mkuu ujao pia kwa ajili ya kupokea Maazimio ya Central Committee juu ya Kinana, Membe na Makamba.

Tayari wanaCCM nchini kote wamewashangaa Magufuli na Bashiru kwa kukiuka kanuni za ccm na kutoa maazimio yao mfukoni na kuyakataa yale ya kamati ya Maadili chini ya Mzee Mangula.

Tayari MAGUFULI na Bashiru wametumia kipindi hiki cha corona kushawishi WaNEC wakubaliane na Maamuzi yao ya Mfukoni, wanasahau kuwa Mzee Mangula anaumwa.

Mnec mmoja kutoka kanda ya kati alisikika akisema " Tumechoshwa na uhuni unaofanywa na Mwenyekiti na Katibu, wamekuja kutuharibia ccm yetu,".

WaNEC wanasema wao ndio walioituma kamati ya Mangula iwahoji akina Kinana, kwa hiyo wanasubiri ripot kutoka kamati ya maadili ili watoe maamuz rasmi ya chama.

WaNEC wengi wanasikitika kitendo alichofanyiwa Mzee Mangula, cha kugombezwa kama mtoto mbele ya wajumne pale alipotaka kuisoma ripot ya kamat yake.


Corona inaua, tuchukue taadhali na tufuate maelekezo ya wataalamu wa afya.

Mungu ibariki Tanzania.

Ni mimi Mwajuma Mwasapili
Kutoka Ileje- Mbeya
0754297651

Muda bado wewe unaleta mambo ya uchaguzi, subili mda ufike kisha ulete hizo porojo zako, sasa hao wa NEC ndo nani unafikili nani anaweza kumpinga jpm Kati ya hao? Acha rongorongo, sasa hivi ni korona tunahangaika nayo, usituchoshe.
 
Mbona napiga simu anapokea dume?
Huyo ni kawaida yake mkuu, kila post anakuja na jina tofauti, na anafahamika hapa jamvini kama mtetezi wa mmoja wa hao waliotajwa katika uzi wake, kifupi anawakilisha mawazo ya bwana yule aliyeondolewa kundini. hapa tunapata ujumbe kuwa jamaa bado anahamu ya kurudi kundini, siasa nje ya kundi haziwezi.
 
Huyo ni kawaida yake mkuu, kila post anakuja na jina tofauti, na anafahamika hapa jamvini kama mtetezi wa mmoja wa hao waliotajwa katika uzi wake, kifupi anawakilisha mawazo ya bwana yule aliyeondolewa kundini. hapa tunapata ujumbe kuwa jamaa bado anahamu ya kurudi kundini, siasa nje ya kundi haziwezi.
Vipi kuhusu kumpa sumu Mangula? Jee ndio utekelezaji wa ilani ya chama?
Maana kama kamanda Mamboleo kagonga ukuta basi lazima muhusika in MTU mzito sana kuliko hata aliyenyweshwa sumu.
Jee ni nani huyo? Na jee wenye chama asilia watakubali watu from no where kuja kuwalisha sumu kila wakiwa na mawazo tofauti?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi kuhusu kumpa sumu Mangula? Jee ndio utekelezaji wa ilani ya chama?
Maana kama kamanda Mamboleo kagonga ukuta basi lazima muhusika in MTU mzito sana kuliko hata aliyenyweshwa sumu.
Jee ni nani huyo? Na jee wenye chama asilia watakubali watu from no where kuja kuwalisha sumu kila wakiwa na mawazo tofauti?

Sent using Jamii Forums mobile app
Fafanua hao "wenye chama" na " watu from no where" ni kina nani??
 
Tofautisha kupendwa na kuwafanyia wananchi ukandamizaji kwa kutumia vyombo vya dola, taasisi za kimamlaka kama TRA, mahakama na kundi la watu wasiojulikana, ili wajisalimishe na kujifanya wanakupenda.
Huna hoja yani sasa hivi naona hata Kazi yako umeshindwa Fanya .Ufipa boy tulia tu.
 
Vipi kuhusu kumpa sumu Mangula? Jee ndio utekelezaji wa ilani ya chama?
Maana kama kamanda Mamboleo kagonga ukuta basi lazima muhusika in MTU mzito sana kuliko hata aliyenyweshwa sumu.
Jee ni nani huyo? Na jee wenye chama asilia watakubali watu from no where kuja kuwalisha sumu kila wakiwa na mawazo tofauti?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wasipokomboa chama chao kipindi hiki awatawoweza tena watanyweshwa sumu wote,huwa awaelewi shetani ajawahi kuwa na rafiki nje ya maslai yake
 
Back
Top Bottom