Rais Magufuli, Bashiru wagonga mwamba, walazimisha maamuzi yao kupita bila pingamizi, NEC wagoma kuburuzwa

Rais Magufuli, Bashiru wagonga mwamba, walazimisha maamuzi yao kupita bila pingamizi, NEC wagoma kuburuzwa

Kikao cha NEC kikiendelea kusubiriwa kwa hamu sana, ili kujipanga kwa ajili ya Uchaguzi mkuu ujao pia kwa ajili ya kupokea Maazimio ya Central Committee juu ya Kinana, Membe na Makamba.

Tayari wanaCCM nchini kote wamewashangaa Magufuli na Bashiru kwa kukiuka kanuni za ccm na kutoa maazimio yao mfukoni na kuyakataa yale ya kamati ya Maadili chini ya Mzee Mangula.

Tayari MAGUFULI na Bashiru wametumia kipindi hiki cha corona kushawishi WaNEC wakubaliane na Maamuzi yao ya Mfukoni, wanasahau kuwa Mzee Mangula anaumwa.

Mnec mmoja kutoka kanda ya kati alisikika akisema " Tumechoshwa na uhuni unaofanywa na Mwenyekiti na Katibu, wamekuja kutuharibia ccm yetu,".

WaNEC wanasema wao ndio walioituma kamati ya Mangula iwahoji akina Kinana, kwa hiyo wanasubiri ripot kutoka kamati ya maadili ili watoe maamuz rasmi ya chama.

WaNEC wengi wanasikitika kitendo alichofanyiwa Mzee Mangula, cha kugombezwa kama mtoto mbele ya wajumne pale alipotaka kuisoma ripot ya kamat yake.


Corona inaua, tuchukue taadhali na tufuate maelekezo ya wataalamu wa afya.

Mungu ibariki Tanzania.

Ni mimi Mwajuma Mwasapili
Kutoka Ileje- Mbeya
0754297651
Unaongelea waNEC wapi? Mbona mimi sina taarifa hizo za kipumbavu!?

Wrong timing... Siasa tupa kule chukua hatua ya kujikinga!!
 
Watajuta kumpa sumu Mangula. Hata kama Mamboleo alijifanya kupiga mkwala wa kumsaka aliyempa sumu mzee wa Iringa aliambulia jicho Kali akaishia kula kona.
CCM nadhani kitakuwa chama cha kwanza duniani kumlisha sumu Makamu mwenyekiti wake kwa sababu ya kupishana mitazamo.
Sasa nadhani watu wa NEC wameona huu sasa ufala huu, mwenyekigoda na katibu ni wageni hawakijui chama kisha Leo wanatupelekesha kama wasen..?
Ngoja tusubiri huo mtiti!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waki
Kikao cha NEC kikiendelea kusubiriwa kwa hamu sana, ili kujipanga kwa ajili ya Uchaguzi mkuu ujao pia kwa ajili ya kupokea Maazimio ya Central Committee juu ya Kinana, Membe na Makamba.

Tayari wanaCCM nchini kote wamewashangaa Magufuli na Bashiru kwa kukiuka kanuni za ccm na kutoa maazimio yao mfukoni na kuyakataa yale ya kamati ya Maadili chini ya Mzee Mangula.

Tayari MAGUFULI na Bashiru wametumia kipindi hiki cha corona kushawishi WaNEC wakubaliane na Maamuzi yao ya Mfukoni, wanasahau kuwa Mzee Mangula anaumwa.

Mnec mmoja kutoka kanda ya kati alisikika akisema " Tumechoshwa na uhuni unaofanywa na Mwenyekiti na Katibu, wamekuja kutuharibia ccm yetu,".

WaNEC wanasema wao ndio walioituma kamati ya Mangula iwahoji akina Kinana, kwa hiyo wanasubiri ripot kutoka kamati ya maadili ili watoe maamuz rasmi ya chama.

WaNEC wengi wanasikitika kitendo alichofanyiwa Mzee Mangula, cha kugombezwa kama mtoto mbele ya wajumne pale alipotaka kuisoma ripot ya kamat yake.


Corona inaua, tuchukue taadhali na tufuate maelekezo ya wataalamu wa afya.

Mungu ibariki Tanzania.

Ni mimi Mwajuma Mwasapili
Kutoka Ileje- Mbeya
0754297651
Wakiruhusu tu maamuzi ya hao watu chama kitakufa maana wao wataweka watu wasio na sifa.Pia suala Mangula kuwekewa sumu zisipite hivi hivi waanze na aliyeleta maji ya kunywa.Nec wakicheka tu chama kimekufa,Huu ni mwaka wa kutoa adhabu
 
Acha kutoa siri zetu nje wewe, uwe na nizamu.
 
Back
Top Bottom