Uchaguzi 2020 Rais Magufuli: Gambo sikumfukuza Ukuu wa Mkoa bali aliniomba akagombee Ubunge baada ya kuona Arusha inakwama

Shukrani mkuu
 
Sasa Rais amesema hakumfukuza na yeye ndiye mwenye mamlaka ya kuajiri na kutengua. Sasa wewe unabisha nini sasa?
Kwahiyo akisema ndiyo ichukuliwe ndio ukweli?Mbona mwanzo alisema amemuondoa pamoja na wenzake kwasababu alichowatuma hawakwenda kukifanya wakakalia malumbano?Au mpaka uwekewe clip hapa akiyasema hayo?
Msiwe wapumbav kiasi hicho!
 
Yes, it is clear kwamba hakumfukuza - Gambo aliomba ili ashiriki uchaguzi wa kura za maoni - wanaAtown tumchague Mrisho Gambo akamsaidie JPM kupaisha nchi yetu
Duuh,wewe hata JPM akija akakuambia jinsia yako siyo hiyo uliyonayo utamwamini!!
Mtoto mjinga ni mzigo kwa mama yake!
 
Ni wajinga pekee wanaosikia ukweli,wanaona ukweli lakini Bado wanaamini uongo...shame on him asee Ni uchafu ndani ya takataka
 
Kwahiyo akisema ndiyo ichukuliwe ndio ukweli?Mbona mwanzo alisema amemuondoa pamoja na wenzake kwasababu alichowatuma hawakwenda kukifanya wakakalia malumbano?Au mpaka uwekewe clip hapa akiyasema hayo?
Msiwe wapumbav kiasi hicho!
Tukuamini wewe au Rais aliyesema au? Nenda zako na uelewa wako!
 
Asee sio huko niaje ni wakuzid arfu Yani Jana mnaambiwa 1+1=2,kesho 1+1=3 tumieni bhasi hta akili ya kuvukia road nyie mataga acheni kuburuzwa asee
Hapo umeonyesha uelewa wako wa hesabu na siasa ni zero kabisa!!
 
Duuh,wewe hata JPM akija akakuambia jinsia yako siyo hiyo uliyonayo utamwamini!!
Mtoto mjinga ni mzigo kwa mama yake!
Yes, kama wewe unavyoaminishwa na kuharalishiwa ushoga - endeleeni maadamu hambebishani ujauzito
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…