Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

TBC hovyo Kabisa sijajuta kuacha kuiangalia sasa miaka 7 bila TBC Ndani kwangu. Ni huku ma bar naangalia bado ni hovyo kabisa! Ni aibu Television ya Taifa kuwa ya hovyo namna hii. Aibu yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inasikitisha kwakuwa nibora mtz umsikilize rais wa Uganda, Kenya au hata Trump!! Wao wanakaa ofisini hawaendi cha likizo/mapumziko au mambo binafsi vijijini mwao... Wanawatia moyo madaktari na manesi,wanahangaikia vifaa vya tiba, wanahimiza ubunifu kama ule wa Rwanda na machine za kupumulia,wanatoa direction ya uchumi,wanaenda globally kupigania wananchi wao na huo ndiyo uongozi sasa!!
Wakitaka kuongea tafadhali tujuzane hawa wengine wengine toka vijijini mwao waache wawashtue polisi wawadhibiti wananchi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…