Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

Viwavi vya ufipa sijui Wana Hali gani

Sent from my Infinix X624 using Tapatalk
 
Jiwe umejua kunifurahisha leo, kuna wapumbavu wanatamani fungafunga oh funga masoko funga maduka funga baa mara zuia kile ohh zuia watu wasisafiri, nawaambia hawajui wanachokitamani wangejua adha na tabu za lockdown na fungafunga ni zaidi, afadhali mara elfu kumi ya corona wasingekaa wakathubutu kupayuka habari za lockdown na funga hiki fungia kile.
 
Nilijua itakua Live vile tamko limetoka. All in all, bora wamefanikiwa kuonyesha

Na amesema wamikoani waache kuwabagua watu wa Dar.

Kwa mfano yeye kawaita viongozi wa usalama kutokea Dar na wameenda Chato.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…