Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

Huko Geita hakuna ikulu ndogo? Au hujui kila mkoa una ikulu ndogo? Hizi cheap politics hazitufikishi popote.

Mkuu kweli ikulu ndogo ya Chato inaruhusiwa kuwaita viongozi wa usalama kwenda kufanyia kikao huko?
 
Kama ni ivo basi itangazwe tu hakuna corona nchini ili watanzania wasiwe na hofu
Kikubwa taarifa zitoke halisi ili tujue ukubwa wa tatizo kuwashinikiza wizara ya afya itoe takwimu sahihi ni kama kuwafundisha kazi wizara hio, au hao watu waliopo kitengo apo afya tu wanamuambia mzee kuwa taarifa si sahihi, sasa waziri adanganye kisa nini? Wakati wa tatizo kama hili takwimu sahihi hutoa picha nzuri na watu wakijua ukubwa wa tatizo basi huweka zaidi tahadhari, tukificha ficha mochwari zikianza kujaa ni hatari sana, ila pia namuunga mkono Rais kwa swala la Lockdown ni irrelevant kwetu na litaleta maafa zaidi ya corona kama likitekelezwa
 
Taarifa za waliopona ni za muhimu zaidi Ripoti ionyeshe jumla ya wanaoumwa waliopokelewa,waliopona na waliokufa na balance ya ambao bado wanapambana na hali yao na corona wakigalagala hospitali ambao hawajukikani kama watakufa au kupona

Raisi yuko sahihi
 
Firm Fiasco
 
Ngoja nitunze maneno yangu nisije nika mponza melo na mimi mwenyewe....maana order ishatoka.
 
Huyu ndyo zake. Wamepika data weee leo hii eti toeni data za ukweli. Hii ndyo sababu ya kufanyia mabadiliko wizara? Hii tabia yake ya kutengeneza tatizo alafu anasolve ili aonekane hero, hii leo itagonga mwamba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mkoa Kuna Ikulu. Iringa ikulu IPO gangilonga,Mwanza IPO capripointi. Musoma IPO kwa RC .
Zinaitwa ikulu ndogo.
Mzee mkapa Aliwahi kuhutubia Nchi akiwa uingereza( alienda kutibiwa mguu)
Sherehe za Kitaifa Kikwete alihutubia Mei mosi 2015 akiwa CCM kirumba.
Inawezekana fungua fikra.
 

Wapumbavu wakubwa zaidi ni wale wasiojua maana ya lockdown na kushindwa kujua kuwa itatokea automatically. Wenye akili wameshafunga biashara zao na hadi kuna dayosisi za makanisa wamesimamisha shughuli zao.
 
Data za watu waliopona zilistack kwa muda mrefu... Inawezekana wizara haitaki kusema kwa kuhofia watu wataidhaurau corona na umakini utapungua... Nadhani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…