Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

Mkuu wetu amekumbusha tiba za asili ,ndio salama na tunamudu.Mara nyingi tumetoa rai kamati ya taifa itupe elimu na hamasa si lazima kila mgonjwa afike hospitali.Wengi tutajenga kinga immune na kuwakabili virus na kuendelea na maisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli sasa kifafa cha hii mimba uliyonayo kimefika pabaya..sijui kama kitakuacha salama plus na hii corona..!!
 

Rudia kumsikiliza kisha uje uandike habali yenye usahihi na sio kuwahi kuandika tu ili uwe wa kwanza, binadamu hata habali za mungu kwa wanadamu walichakachua kila thehebu linatafsili kivyake, dini zimekuwa nyingi mno.
 
Yaani European scholars hakukosea kuhusu Africa,nimeanza kuamini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumesikia kwenye vyombo vya habari maeneo fulani, hata hizi mask zimetolewa kwenye nchi fulani wamezikuta na corona. Vyombo vya ulinzi na usalama waanze kushughulikia vitu vya msaada visije leta madhara. Ukiletewa mask lazima ujue imetoka wapi
Baada ya ujumbe huu kusambaa.
Baadhi ya mitaa hali si shwari, raia wame conclude kuwa mask za dukani (special) zina virus kwa 100%, nimeshuhudia baadhi yao wakizitia moto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…