Eti misinformed!! Kipi kati ya nilivyotaja ambavyo huyo mungu mtu wako hajasema?!I wouldn't care less about someone who is using a fake name and on top of that he/she is misinformed.
Akili zenu zinafanana,mmejaa upuuzi!Dunia iko kwenye Crisis nyinyi mnaleta porojo,shame on you,period!Hizo takwimu za vifo huko USA ni propaganda. Hujiulizi kwanini wanaandamana kupinga lockdown?
Senti bai yuzingi tecno T301
hahahah................kesho utasikia wamepona 220"Nimeteua katibu mkuu mpya ili hata wale wanao pona watangazwe" kuanzia kesho mtapata majibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulitaka iongozwe tokea wapi na kwanini?Yaani vita dhidi ya coronavirus itaongozwa toka Chato, Mkoani Geita Tanzania !
Nyie mapunguani wa kichwa endelezeni propaganda mfu kwenye mambo serious!Akili zenu na Jiwe ni hizo hizo ila alichowazidi yeye ni kwamba yeye kaenda kujificha Chato!Mtateketea kama kuku,shwain kabisa!Akili za madesa hizi!
Tangu mwaka jana mwezi kabla ya Nov. ugonjwa ulikuwepo na ni airborne disease,unadhani ugonjwa ulikuwa unakusubiri wewe uugundue ndipo uenee?
Au unadhani kitendo cha ugonjwa kuanza tu na mtu ndio kaugundua?
Unafikiri kusoma code za protein wa virus na kumtofautisha na virus wengine ni rahisi kama kusoma nyuzi za jf?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe unamfuatilia kimya kimya. Yaani comment moja ila unajipinga hapo hapo. Bavicha at ur best!Unachekesha...yaani nitumie madakika kadhaa kumsikiliza Magufuli?! That will never happen!!
Btw, Magufuli aliyeita barakoa ni mavitambaa ya puani, atashindwa nini kusema barakoa zina coronavirus au ukijifukisha unaweza kuua coronavirus?! Ikiwa amesema
Sijaona Marekani wakifanya fumigation mitaaniWaliofanya fumigation siyo wajinga. Utafiti uliofanywa na Marekani, unaonesha mabwawa ya kuogelea yaliyowekwa chlorine, virus au wanakufa au wanakuwa inactive.
Na wanaoogelea kwenye mabwawa wamehakimishiwa kuwa kama maji ya kwenye bwawa yamewekwa chlorine, hata kama mmojawapo wa wanaoogelea akawa ana virus vya corona, hawezi kuwaambukiza wengine kwa kupitia maji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vurumai vurugu tupu tanzania."Lakini pia taarifa zetu ziendane na ukweli hasa katika watu wanaopona. Nina taarifa kwamba mpaka leo tulikuwa na wagonjwa 284, lakini naambiwa karibu 100 ya wagonjwa walishapona. Hizi takwimu za wagonjwa wanaopona nazo zitangazwe ili kuwaondolea hofu wananchi" - Rais John Magufuli.
Walio samehewa madeni na Benki ya Dunia si waliomba ndio wakapata msamaa so why Mr presidaa, ni kama anaomba huruma ya benki ya dunia pasipo kuomba au waliomba wakakataliwa?!
Huyo CNN inaonesha majimbo yote 52 wanaandamana au?Angalia CNN mbona hilo halina ubishi.
Mwangalieni huyu!!!Kumbe unamfuatilia kimya kimya. Yaani comment moja ila unajipinga hapo hapo. Bavicha at ur best!
Yeye kaenda kujificha chato,kwani yeye mjinga?Watu wengine hata akili ya kujiongeza hawana!Ushauri wa bure fuateni maelekezo ya madaktari na yale ya shirika la afya duniani (WHO).
Hawa wahuni wengine ni vyema mkawapuuza, wapuuzeni wao na kauli zao za kihuni.
People are dying out there, we're all ignorant to a tragedy until it happens to you.
Chukua hatua, you're on your own....ilinde familia yako na jilinde pia.
Korona inaua.
Mkitukanwa mnaanza kulia, kwani Chato ipo nchi gani na yeye ni Rais wa nchi gani?