Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

Mie wala sio Dr, isipokuwa kijijini kwetu hii vita inapiganwa kupitia health promotion ni muhimu zaidi wananchi kupata kila angle ya elimu hili wajikinge.

Yaani zaidi ya msisitozo wa kunawa na maji tiririka hakuna la ziada raia wengi awajui hata wakipata Corona wata deal na changamoto zipi.
Hongera sana Jf Doctor Endelea kutupa msisitozo kwenye hili janga la corona
 
Wivu tu unakusumbua...Mataifa yamlilia aende kutawala huko...Ebu unataka kuniambia kuna mtawala ambae amefanya brilliant decision kama Mh.Rais? Angekua USA apo ungemuona kwenye books of records.

Don't make me laugh. Huyu huyu laughing stock wa Africa aliliwe na mataifa? What have you been smoking?
 
Mpaka na komenti muda huu walio like mada yako ni mataga wenzako.
Unaju maleria inaua watu wangapi tz kwa siku ?
Korona kwa Africa ni kagonjwa kadogo sema tatizo ni jinsi unavyo enea na kusababisha watu wengi kuwa hospital

Send by APOLO 1
 
Don't make me laugh. Huyu huyu laughing stock wa Africa aliliwe na mataifa? What have you been smoking?
Pole sana...Brilliant and smart knows this buddy..Najiuliza huyu angapatikana kipindi cha Tauni,HIV ,Kipindupindu...Dunia ingekua salama sana.
 
Chige, Sasa ktk hizo nchi unazotaja,ni nchi IPI ina watu wengi,kwa waliosoma takwimu hawashangai hilo. Tuchape kazi. Kansa inaua karibia watu 5 kila siku pale ocean road.
What is corona??
Mh. Rais yupo sahihi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • 2020-04-22 22.27.54.png
    2020-04-22 22.27.54.png
    321 KB · Views: 1
Sayansi ipi kwenye CORONA? Sayansi ambayo haikufaa Marekani, Spain, UK, Italy, France, German, Canada ingevaa nini Tanzania?
Nimekupa mfano wa hapa jirani yetu bado huamini?

Wote hao uliowataja hawakufuata sayansi ilivyohitaji. Kwani hadi leo huamini kuwa China hakutumia sayansi?

Watu wengine sijui mawazo yenu yamegotea wapi!
 
Kwa kweli wazungu ni watu wabaya sana. Huyu Bill Gates anaeneza propaganda za kisheitwani ili tuogope. Hakika Mungu wetu atasimama nasi daima. Viva JPM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na pia tumeshauriwa tupige mvuke kama kawa na tusikubali Barakoa za mabeberu wanaweza wakachomekea corona

Sent using Jamii Forums mobile app
Daa,ila huyu jamaa kwa kuwachukia mabeberu.Nadhani mataifa yangekuwa hayatusikii angesema wazi kuwa waliturushia virusi hawa kwa njia ya bluetooth!!

When your toddler was learning to walk, you’d encourage her to get back up after she fell down,Parents should practice that approach as their children get older.
 
Naamini alichokilenga Rais ni ule upuliziaji dawa majumbani ikumbukwe ilitolewa amri kila kaya itozwe sh 2000 kwa ajili hiyo na tuliambiwa sababu ni kuzuia kusambaa kwa virusi vya Corona
 
Kumbe kuna watu bado wanamchukulia serious huyo jamaa..
 
Rais Magufuli hakupepesa macho alipowaruhusu watanzania waendelee na shughuli zao za kujipatia riziki huku wakiendelea kuchukua hatua mbalimbali za kujilinda. Kwa Mara ya kwanza hata wazungu wamemuona Kama kiongozi mwenye maono ya mbali asiyekuwa bendera fuata upepo wa wazungu.

Wakati nchi za Marekani na Ulaya zinawa kulegeza lockdowns sasa Tanzania ukiona kuwa haitawezekana kuwafungia ndani watu wote kwa Mara moja. Nchi zilizojaribu kufanya hivyo hazikupata matoe chanya dhidi ya CORONA.

Sio kila kitu lazima tuwaige wazungu Kama kasuku Kama baadhi wa maRais wa Africa walivyoumbuka. Sasa hivi mataifa yanahangaika kujibu maswali ya watu wao wanaozishindwa lockdowns, hata Rais Trump ameona upuuzi wa lockdowns kijamii na kiuchumi.

Tutamkumbuka hakiyaMungu huyu mswahili wetu akimaliza ngwe yake.
Wakuitwaga Kavulata,,,,,,

Usiwe biased

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni uongo wewe na yeye. Mpaka jana Tanzania ilikuwa na wagonjwa 254. Kati ya hao waliokufa ni 8 na waliopona ni 11. Hizo ndizo taarifa mbazo serikali imepeleka Umoja wa Africa (AU). Angalia:


1587583977668.png

Hapo alikuwa anasisitiza kwamba sio kila anayeumwa Covid-19 ni lazima afe, wapo 100 hadi hivi sasa ambao wamepona kutokana na ugonjwa huo.
 
Back
Top Bottom