Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

Hivi huyu jiwe amepata ushauri kutoka kwa madaktari au anajiongelea tu?Maana wenzetu daktari anakuwa pembeni anamshauri mambo ya kufanya sasa huyu sijui anapata wapi
Eti hujui kama rais ana washauri wengi? Unauzunisha sana.
 
Nimesikiliza hiyo hotuba na sidhani kama alizilenga hizo mashine, nadhani kuna upuliziaji dawa ulifanyika pale na ndio alichokilenga.
Si unajua wabongo wanajiongeza
 
Wamanisha masharti yalikuwa tight wakakataa so kwa kauli hiyo inaonekana anahitaji hizo fedha so this time around masharti yaweza kubalika?!

..misamaha ya madeni huwa inaambatana na masharti ya kibajeti na vipaumbele ktk matumizi ya serikali.

..sijui ulikuwa na umri gani ktk awamu ya kwanza ya Mzee Mkapa. Lakini kuna hatua za kubana matumizi serikali ililazimishwa kuzichukua ili ku-qualify kuingia ktk debt relief program.

..sina uhakika kama Jpm atakubali usimamizi na masharti makali ya mabeberu wa WB na IMF.

CC Chige, Nguruvi3
 
Acheni hofu tuunge mkono juhudi
 

Attachments

  • EWOpbQsWoAIs9TN.jpeg
    26.9 KB · Views: 1
Sasa ktk hizo nchi unazotaja,ni nchi IPI ina watu wengi,kwa waliosoma takwimu hawashangai hilo. Tuchape kazi. Kansa inaua karibia watu 5 kila siku pale ocean road.
What is corona??
Mh. Rais yupo sahihi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Rais yupo sahihi kwamba unaweza kuua coronavirus kwa mvuke, au?! Au yupo sahihi kwamba badala ya kutegemea mavitambaa ya puani, imani ndiyo itakayowakinga na coronavirus?!!

Again, endeleeni tu kutetea ujinga, kama ambavyo mwenzenu USSR alivyokuwa anatetea madudu ya Mlongazila, hadi siku yamekuja kumkuta mwenyewe!!
 
Tunalipa, halafu tunajibana kwa kusanya kodi ili tulipe, lakini bado wanatuambia hatujali demokrasia wanatupiga mabomu>>>>
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…