Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

Badala ya kuwalaumu, tungewashauri tibisii kuajiri mafundi kama wale wanaorusha matangazo kutokea kwenye mbuga za wanyama maana labda hawakutarajia kuna siku watatakiwa kuusha matangazo kutokea maporini kama leo
 
..Chato ni kijijini kwa Magufuli.

..JK hakuwa kuzungumza toka Msoga.

..Mkapa hakuzungumza toka Lupaso.

..Mwinyi hakuzungumza toka Zanzibar au Mkuranga.

..Mwalimu Nyerere hakuwahi kuzungumza toka Butiama.

..Raisi anapaswa kuendesha shughuli zake toka IKULU, na siyo toka ktk nyumba yake binafsi. Serikali siyo KAMPUNI binafsi ya Raisi.
Technology imefanya mambo yawe rahisi. Marais wote walizungumza popote pale nchini hata wakiwa ziarani, maadam technology iliyokuwepo ili-facilitate kuwasiliana na Watanzania.
Kama Rais anafanya kazi akiwa Chato, sio ajabu kuzungumza na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama na Watanzania kujua pia ana ujumbe gani.

Rais wa Marekani akiwa kwenye popote including kwenye airforce one, technology inamsadie kuratibu mambo yote ya kiutawala.

Mzee Sitta akiwa Spika alijenga ofisi ya Spika Urambo, ina maana muda Spika Sitta akiwa ofisini Urambo, facility za ofisi yake ilimsaidie a-function sawa na akiwa Dodoma au Dar
 
Badala ya kuwalaumu, tungewashauri tibisii kuajiri mafundi kama wale wanaorusha matangazo kutokea kwenye mbuga za wanyama maana labda hawakutarajia kuna siku watatakiwa kuusha matangazo kutokea maporini kama leo
😀 😀 😀 😀
 
Technology imefanya mambo yawe rahisi. Marais wote walizungumza popote pale nchini hata wakiwa ziarani, maadam technology iliyokuwepo ili-facilitate kuwasiliana na Watanzania.
Kama Rais anafanya kazi akiwa Chato, sio ajabu kuzungumza na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama na Watanzania kujua pia ana ujumbe gani.

Rais wa Marekani akiwa kwenye popote including kwenye airforce one, technology inamsadie kuratibu mambo yote ya kiutawala.

Mzee Sitta akiwa Spika alijenga ofisi ya Spika Urambo, ina maana muda Spika Sitta akiwa ofisini Urambo, facility za ofisi yake ilimsaidie a-function sawa na akiwa Dodoma au Dar
Chato anafanya nini?
 
Kuna athari kubwa sana kwa mtu akijijengea fikira ya kupinga kila kitu,hebu fikiria kidogo makao makuu ya umoja wa mataifa yako Marekani,unataka kuniambia katibu mkuu wa umoja wa mataifa akitaka kutoa hotuba hadi aende Marekani,hawezi kuwa Tanzania na bado akahutubia mataifa yote?

Chato ni Tanzania,tupunguzeni manunguniko yasiyo tija

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawezi kuhutubia baraza kuu la Umoja wa Mataifa ukiwa Kishimundu, usitufanye watanzania wote hamnazo.
 
..Chato ni kijijini kwa Magufuli.

..JK hakuwa kuzungumza toka Msoga.

..Mkapa hakuzungumza toka Lupaso.

..Mwinyi hakuzungumza toka Zanzibar au Mkuranga.

..Mwalimu Nyerere hakuwahi kuzungumza toka Butiama.

..Raisi anapaswa kuendesha shughuli zake toka IKULU, na siyo toka ktk nyumba yake binafsi. Serikali siyo KAMPUNI binafsi ya Raisi.
Acha chuki zako kwanini unaumia?kwani hataeleweka? Mbona maamuzi Chadema yanafanyikia Tengeru?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Navipongeza vyombo vya dola kwa kulinda nchi wakati huu wa Corona. Vinafanya kazi nzyri"
Nadhani hapa wanapongezwa kwa kumdhibiti Mbowe leo.

"Naomba tuendelee kuchukua tahadhari. Corona ipo ni hatari na inaua"

Leo kaugonjwa kamekuwa hatari.

Mwisho wa hotuba!
Tuwe tunafikiri kabla ya kuongea
tapatalk_1587309241559.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Technology imefanya mambo yawe rahisi. Marais wote walizungumza popote pale nchini hata wakiwa ziarani, maadam technology iliyokuwepo ili-facilitate kuwasiliana na Watanzania.
Kama Rais anafanya kazi akiwa Chato, sio ajabu kuzungumza na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama na Watanzania kujua pia ana ujumbe gani.

Rais wa Marekani akiwa kwenye popote including kwenye airforce one, technology inamsadie kuratibu mambo yote ya kiutawala.

Mzee Sitta akiwa Spika alijenga ofisi ya Spika Urambo, ina maana muda Spika Sitta akiwa ofisini Urambo, facility za ofisi yake ilimsaidie a-function sawa na akiwa Dodoma au Dar

..huyu amejicha na kuwabwagia wasaidizi jukumu la kupambana covid19.

..wakati huohuo anawadanganya wananchi kuwa covid19 ni kaugonjwa kadogo.

..Kama ni kaugonjwa kadogo kwanini anajicha kijijini?

..alichofanya hakipaswi kufanywa na amiri jeshi mkuu yeyote yule.
 
Jamaa muoga sana.......Kuzungumza na wananchi kuhusu Corona unatumia vyombo vya ulinzi? Amenirudisha kwenye korosho badala ya kutumia principles za uchumi kufanya deals na wafanyabiashara yeye anaita jeshi eti washughulikie uchumi....CHEAP....
Leo suala la afya vyombo vya ulinzi vinalinda nini?
NCHI IMEKOSA UONGOZI
 
Kuna athari kubwa sana kwa mtu akijijengea fikira ya kupinga kila kitu,hebu fikiria kidogo makao makuu ya umoja wa mataifa yako Marekani,unataka kuniambia katibu mkuu wa umoja wa mataifa akitaka kutoa hotuba hadi aende Marekani,hawezi kuwa Tanzania na bado akahutubia mataifa yote?

Chato ni Tanzania,tupunguzeni manunguniko yasiyo tija

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi waliojenga ikulu walikuwa wanafikiri kuna siku tutakuwa na rais asiye na kwao?Kituo cha kazi cha Magufuli ni Dar na Dodoma hiyo ya kufanyia kazi huko chato ni kukosea heshima waajiri waajiri wake
 
Back
Top Bottom