Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

Uhalisia uko wapi? Ni kwamba Wizara inapika takwimu? Rais naye ana source tofauti na Wizara ya afya inayompatia taarifa(sahihi)? Rais haridhishwi na taarifa za Wizara kuonyesha tatizo linaongezaka na kwamba anatoa maelekezo ili taarifa zichukue mwelekeo wa kuonyesha shida sio kubwa?

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya kahamishwa leo, je ni uhamisho wa kawaida au katikati ya vita ya corona kulikua na utofauti wa utoaji taarifa kati yake na Waziri ambapo mmoja imebidi ahamishwe? Kumbuka Rais alishawahi kusema alikua akiwafatilia Waziri wa Afya na huyu KM aliyehamishwa wakati huo akiwa naibu KM TAMISEMI(Afya) na akajua kua wanaugomvi
 
Rais John Magufuli ameitaka Wizara ya Afya itoe takwimu za kweli kuhusu maambukizi ya corona ikiwa ni pamoja na kutangaza takwimu sahihi za watu wanaopona ili kuondoa hofu kwa Watanzania.

Kwa mujibu wa Rais idadi ya watu waliopona ni ndogo kuliko hali halisi na kwamba, ana taarifa kuwa hadi wakati Waziri Mkuu alipotangaza idadi ya watu walioambukizwa, waliopoteza maisha na waliopona zaidi ya watu 100 walikuwa wamepona.
Tatizo, kama hawapimi watu, hivyo hawawajumuishi katika idadi rasmi, watu wanaumwa, halafu wanapona wenyewe, watu hawa wakipona, hawawezi kujumuishwa kwenye idadi rasmi ya waliopona, kwa sababu hawakuwemo kwenye hesabu tangu awali.

Magufuli alitakiwa kuongoza, si kuwasakizia wenzake kazi, halafu kuwazodoa na kulalamika.

Ina maana mikakati yote inavyofanywa rais hajui?

Kashindwa kazi?
 
Kuna athari kubwa sana kwa mtu akijijengea fikira ya kupinga kila kitu,hebu fikiria kidogo makao makuu ya umoja wa mataifa yako Marekani,unataka kuniambia katibu mkuu wa umoja wa mataifa akitaka kutoa hotuba hadi aende Marekani,hawezi kuwa Tanzania na bado akahutubia mataifa yote?

Chato ni Tanzania,tupunguzeni manunguniko yasiyo tija

Sent using Jamii Forums mobile app

umesema sahihi, naomba kukuhakikishia kuwa hata huyu Victoire ameongea kama kasuku, kakuruouka, kaiga, kalimeza na ndio maana anaandika bila aibu 'only in Tanzania' ukimuuliza nchi zingine inakuwaje? hawezi kutoa taarifa akiwa mbeya, mwanza, arusha?

mbona JPM mwenye wala sio mtu wa viwanja, na kula bata mamtoni....................hata akienda chatto alaumiwe?? aisee

achana nao hao
 
Kwa joto la 100'c si Pua itafanana kama mchemsho wa mbuzi wa pale kwa Mangi?
Umeambiwa above. Inaelekea Rais wetu anasoma sana social media na anaangalia sana YouTube. Kasema hadi ya vitunguu. Nimecheka. Yani ana majibu rahisi kwenye maswali magumu.
 
Wapumbavu wakubwa zaidi ni wale wasiojua maana ya lockdown na kushindwa kujua kuwa itatokea automatically. Wenye akili wameshafunga biashara zao na hadi kuna dayosisi za makanisa wamesimamisha shughuli zao.
Hakuna biashara iliyofungwa zaidi ya baadhi ya makanisa na misikiti nani afunge apate hasara? Tunafanya biashara Kama kawaida sijui huko ulipo wewe unaposema biashara zimefungwa ni wapi

Sent from my Infinix X624 using Tapatalk
 
Rais John Magufuli ameitaka Wizara ya Afya itoe takwimu za kweli kuhusu maambukizi ya corona ikiwa ni pamoja na kutangaza takwimu sahihi za watu wanaopona ili kuondoa hofu kwa Watanzania.

Kwa mujibu wa Rais idadi ya watu waliopona ni ndogo kuliko hali halisi na kwamba, ana taarifa kuwa hadi wakati Waziri Mkuu alipotangaza idadi ya watu walioambukizwa, waliopoteza maisha na waliopona zaidi ya watu 100 walikuwa wamepona.

Ye amekazania waliopona tuu.
Mbona hawatangazi idadi ya watu wanaofanyiwa vipimo?
 
Rais John Magufuli ameitaka Wizara ya Afya itoe takwimu za kweli kuhusu maambukizi ya corona ikiwa ni pamoja na kutangaza takwimu sahihi za watu wanaopona ili kuondoa hofu kwa Watanzania.

Kwa mujibu wa Rais idadi ya watu waliopona ni ndogo kuliko hali halisi na kwamba, ana taarifa kuwa hadi wakati Waziri Mkuu alipotangaza idadi ya watu walioambukizwa, waliopoteza maisha na waliopona zaidi ya watu 100 walikuwa wamepona.
Ina maana Leo anawakana wenzie walioshirikiana naye "kuzipika" hizo data??

Kwa kuwa ninavyomfahamu Jiwe, kama hizo data wangekuwa wanajitamkia tu wenyewe, tungeshasikia keshawatumbua
 
umesema sahihi, naomba kukuhakikishia kuwa hata huyu Victoire ameongea kama kasuku, kakuruouka, kaiga, kalimeza na ndio maana anaandika bila aibu 'only in Tanzania' ukimuuliza nchi zingine inakuwaje? hawezi kutoa taarifa akiwa mbeya, mwanza, arusha?

mbona JPM mwenye wala sio mtu wa viwanja, na kula bata mamtoni....................hata akienda chatto alaumiwe?? aisee

achana nao hao
Kawasafirisha kina IGP,CDF,Chief wa uhamiaji n.k. Asante China.
 
Nilijua itakua Live vile tamko limetoka. All in all, bora wamefanikiwa kuonyesha

Hii hotuba ya leo niko 50/50, kuna mahali nimeielewa na pengine sijaielewa.

Kitu muhimu tu cha kukumbushana na wapendwa wetu, tujichunge vitu tunavyoandika mitandaoni, na kwenye groups za WhatsApp.

Vita ya corona kwa namna moja ni kama inaelekezwa kwa watu wanaopinga au kukejeli hatua za serikali.
 
Mda si mrefu takwimu za waliopona itasahihishwa
Taarifa za waliopona ni za muhimu zaidi Ripoti ionyeshe jumla ya wanaoumwa waliopokelewa,waliopona na waliokufa na balance ya ambao bado wanapambana na hali yao na corona wakigalagala hospitali ambao hawajukikani kama watakufa au kupona

Raisi yuko sahihi

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
 
umesema sahihi, naomba kukuhakikishia kuwa hata huyu Victoire ameongea kama kasuku, kakuruouka, kaiga, kalimeza na ndio maana anaandika bila aibu 'only in Tanzania' ukimuuliza nchi zingine inakuwaje? hawezi kutoa taarifa akiwa mbeya, mwanza, arusha?

mbona JPM mwenye wala sio mtu wa viwanja, na kula bata mamtoni....................hata akienda chatto alaumiwe?? aisee

achana nao hao
Wanasahau USA Kuna camp David's maraisi wanakaa huko hata miezi na hotuba zinatoka huko Kama kawaida sema nini wamezoea kukariri Kama kasuku

Sent from my Infinix X624 using Tapatalk
 
Back
Top Bottom