Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

Tunaitaji tukope ili tuji jengee uwezo, kinachotakiwa fedha zinazo kopwa ziwe na riba yenye mantiki na fedha izo zitumike vizuri katika miradi husika.
Kwasasa tuna miradi mikubwa ya ma trilioni ya shilingi endapo itakamilika na ikaendelezwa vizuri taratibu kama nchi tuta anza ku ukimbia utegemezi na kuombaommba.
Mim nampongeza JPM kama kweli kila mwezi tunaweza kulipa bilioni miasaba za madeni tena mengine ameyarithi, uyu jamaa ni mwamba kwelikweli.Sasa naanza kumwelewa anaposema Nchi hii inaweza kuwa Donor country.

Sent using Jamii Forums mobile app

He ni kweli analipa bilioni 700? Huwa simuamini kabisa huyo mzee.
 
ni afadhali asikilizwe Rais...maana huwa hakosei

PM anaweza akawa kwa sasa anaandaa barua ya kuomba radhi,kwa makosa ya kutoa taarifa zenye kasoro..



this is Africa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Apa naona wapinzani kupigwa asubuhi na mapema uchaguzi wa Oktoba. Ila JPM the guy is genius... sema kumuelewa wachache ndiyo bado.

Kama Magufuli ni genius basi mimi ni Isaack Newton. Sioni namna yeyote mtu anaweza kutunga sentensi hiyo hiyo moja inayomtaja jiwe na neno "genius" na ikawa realistic. Hata kukiwa na neno SIO bado itakuwa ni overstatement ya karne.
 
Duh, Kule kupuliziwa dawa, dar Na Dodoma Ni upuuzi mtupu.duh.Kwa kweli kila MTU apambane Na hali yake kwa msimamo huu Wa raid.
 
Mi nadhani Jiji kama Dar linategemea sanaa mikoa mingine hasa kwenye upande wa mazao ya chakula so kwa upande wangu sioni effects kubwa zaidi ya kiuchumi ambayo the whole country inaexperiance kwa kipindi hiki.
 
Nipo bize hapa
IMG-20200422-WA0005.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • IMG_20200422_194802_376.JPG
    IMG_20200422_194802_376.JPG
    24.1 KB · Views: 1
Umetembelea mortuary za Marekani na Italy ambako wamejifungia? Au unasema tu, hata Rwanda umetembelea mortuary zake? Usijidanganye kaka, wewe mtaani kwako unakokaa, kazini kwako, kanisani kwako, kwenye ukoo wako umeona watu wangapi waliokufa kwa CORONA? Au unasikia maneno ya mtaani?
Acheni kuwaua watanzania kwa ujinga wenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umetembelea mortuary za Marekani na Italy ambako wamejifungia? Au unasema tu, hata Rwanda umetembelea mortuary zake? Usijidanganye kaka, wewe mtaani kwako unakokaa, kazini kwako, kanisani kwako, kwenye ukoo wako umeona watu wangapi waliokufa kwa CORONA? Au unasikia maneno ya mtaani?
Mkuu kule Italia, Spain, na USA walichelewa sana kuchukua hatua ngumu kiasi kwamba walipochukua hatua za kuwafungia watu walifungia watu waliopata maambukizi na hao waka ambukiza ndugu zao wa karibu kwenye familia wakiwa majumbani mwao.

Huu ni mzigo na mtihani mkubwa mno kwa dunia na hasa kwa raisi wetu.
Tusitukane mamba kabla ya kuvuka mto.
Tujenge desturi ya kuheshimu taaluma.
Tuheshimu mamlaka na tusipotoshe mambo.
Tusitishe watu.
Tusiwajengee watu kujiamini kuliko pitiliza kiasi cha kupuuzia tahadhari.
 
Sio kweli mwanasiasa upinzani tishio nani? Mbowe,zito kabwe,seif Sharif Hammad, mbatia? Ni wapinzani? Na no viongozi Wa upinzani? Mpinzani alikuwa mtikila tu

Lisu is a crap mzurumaji kuzurumu wenzie upinzani wanampa mchongo Wa kupiga hela ukikubali anaula wote peke yake na kujikausha

Nilivyoona notification kwamba YEHODOVA quoted you, nilijua ntakutana na pumba, ila nilichokutana nacho ni zaidi ya nilichotarajia.

Hadi nimeona aibu.
 
Back
Top Bottom