Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Malaria na TB na kipindupindu na vifo vya akinamama wanaojifungua ni vya kwisha leo? Mbona mnajitoa ufahamu. Iko siku watu watapata kitu kinachoitwa heard immunity. Hata mafua yanauwa watu lakini sisi hatufi kwa flu kwakuwa tuna kinga.Uzuri corona haichagui, tuone kama atajificha Chato miezi yote hiyo maana kwa jinsi anavyolihandle si ya kuisha Leo ama kesho
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah huyu jamaa ni zigo lamarvyKama mabeberu wanaweza kupandikiza virus kwenye baraakoa na kutupaatia msaada, kumbe barakoa zinatunza virus
Sent using Jamii Forums mobile app
Sura kitu ngani bwana hata mbuzi anayo.Naona unapenda kuweka picha za watoto wazuri ingawaje wewe unasura ya amorface!
Kwanini zile barua zilizosainiwa na waziri husika zinaeleza namba tofauti...waziri husika ni muongo?Kadanganya nn hapo wakati ameonya watu wasidanganye?
Makengeza ya kuelewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo huo, ila hapa wote wamejitoa akili wanahusisha kauli ya Rais na misaada ya RostamNaamini alichokilenga Rais ni ule upuliziaji dawa majumbani ikumbukwe ilitolewa amri kila kaya itozwe sh 2000 kwa ajili hiyo na tuliambiwa sababu ni kuzuia kusambaa kwa virusi vya Corona
Ninani anatoa hizo takwimu? Zina usahihi na uadilifu kwa kiwango gani?Acha comparison za kipuuzi unajua Uganda ina watu 45 million na inawagonjwa 61 na 45 wameshapona
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mahali nimesema tungefunga March au nimesema nchi nyingi zilichukua hatua wakati zilishaathirika?!Tangu December 2019 China Kulikuwa na ugonjwa na wachina na watanzania walikuwa wanakwenda na kurudi China kwa shuguli mbalimbali hadi hapo March 2020 hali ilipokuwa mbaya huko China. Hivi kwaakili yako hiyo unadhani Kama tungejifungia ndani pale March 2020 hali yetu ingekuwa tofauti? Maambukizi tayari yalishakuweko ndani.
🤣🤣Mimi sijaomba mimi naeleza kwa rate hii ya maambukizi
Kenya ilikuwa na maambukizi mengi zaidi yetu na sasa tuko sawa na huenda tumeshaipita mbali sema tunaficha
Mkibahatika kuwepo; maana inaonekana JPM amewafanya collateral damages wa serikali yakeTutamkumbuka hakiyaMungu huyu mswahili wetu akimaliza ngwe yake
Tatizo ni taifa Zima limejaa mang'ombe na wajingaNamwonea huruma naibu waziri wa afya jamani dactari amejieleza weee kuhusu barakoa za vitambaa hazizuhii maambukizi duuu Bashite anaongoza mpaka maprofesa kwa kweli
Lawama zinazidi kwa arsenal.