Rais Magufuli: Hakuna lockdown Tanzania! Mwanangu amepona COVID-19 kwa kujifukiza (Mei 17, 2020)

“Kwa hali hii, kama wiki tunayoianza kesho itaendelea hivi nimepanga kufungua vyuo ili Wanafunzi wetu waendelee kusoma, lakini nimepanga pia kuruhusu michezo iendelee kwasababu michezo ni sehemu ya Burudani, maisha lazima yaendelee” -JPM


“Ugonjwa huu wa corona ni vita kama vita nyingine, wakati unaanza nilisema siwezi kuruhusu lockdown, imagine unafungiwa ndani hupati hata nafasi ya kuonana na Mkeo?, unafungiwa ndani eti usitembee usiku kana kwamba corona inatembea usiku tu, nikasema hapana” -JPM
#JPMChato

Source:Millard Ayo
 
Kumbe ulikuwa mpuuzi kiasi hicho. Tumia nguvu, akili na maarifa yako kubiresha maisha yako na wapendwa wako. Siasa ni hobi tuu Kama ilivyo hobi nyingine.
 
Nimekuuliza kitaa chenu...sijui mineno mingi ya nn
 
Awaasa wahumini waendelee kuchukua hatua za kujikinga na ugonjwa huu lakini pia amesifia kuona waumini woote kanisani hakuna hata mmoja alivevaa barakoha...Aiseee...Ehh Mungu wangu
 
Kumbe ulikuwa mpuuzi kiasi hicho. Tumia nguvu, akili na maarifa yako kubiresha maisha yako na wapendwa wako. Siasa ni hobi tuu Kama ilivyo hobi nyingine.
Umenielewa lakini?
 
Wenye akili tunaendelea kuchapa kazi huku tukichukua tahadhali.
Wajinga endeleeni kuomboleza vifo vya corona vinavyotokea kwenye page ya kigogo 2014

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je amezungumzia hali ya ugonjwa nchini??

Amekumbushia kuhusu kuchukua tahdhari?
 
Wenye akili tunaendelea kuchapa kazi huku tukichukua tahadhali.
Wajinga endeleeni kuomboleza vifo vya corona vinavyotokea kwenye page ya kigogo 2014

Sent using Jamii Forums mobile app
Taja mtu ambaye kigogo amesema amefariki kwa korona halafu sio kweli kuwa alidanganya,nitajie hata mmoja!! Kigogo alisema nyaga ana korona mkabisha ila sasa anaumwa yupo TMJ,Marine mlibisha,Lwakatare mlibisha,Mitiming milibisha etc ila sasa Mzee Baba kasema watu wa korona wazikwe kikawaida tu ndio maana unaona watu wanakabidhiwa miili wakazike wao!!
 
Mkuu kabisa unaamini Rais amekusudia kuangamiza roho za watanzania? Ni mtu mbaya na katili kiasi hicho! Ndicho unachotaka tukiamini?

Anyway tusipomuamini Rais unataka kutushauri tumwamini nani? Maana umeishia kusema tusimwamini Rais ila hujatoa huyo mwingine ambaye ww unaona anastahili aaminiwe!

Mm binafsi nachagua kumwamini na kuyaamini maamuzi na miongozo yake, maana siku zote namwomba Mungu ampe hekima ili aliongoze taifa letu vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najua hii hotuba imekuuma sana,!
Taratibu utaelewa tu, hata darasanai kuna wanafunzi huwa inachukua muda kuelewa.

Viva JPM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…