mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Akihutubia Taifa(sina hakika kama ni sahihi kusema hivi) tokea Kanisa la KKKT Usharika wa Chato leo asubuhi, Rais Magufuli amelitangazia Taifa na ulimwengu kuwa mtoto wake ni miongoni mwa waliougua na kisha kupona Corona yumo mtoto wake hapo hajasema ni yupi.
Hii ni aina ya Kiki mbovu ambayo wanaompangia Rais (kama taasisi) kipi aseme na kipi asigusie wanaendelea kumpotosha. Anna Mgwira alipopata Corona alisema na kujitenga, amepona juzi akatutangazia na tumempa pole, lakini Leo ghafla mtu anajitokeza eti na kwangu kulikuwa na mgonjwa amepona Jana. Iwe kweli au uongo lakini kutuambia sasa hivi ni kutaka tuamini haogopi huu ugonjwa huku akiendelea kujificha kwao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo Anna Mgwira alijitangaza ana Corona then juzi kasema kuna majani ameyatumia sasa akipimwa anaonekana ni Negative,hayo ndio maajabu tuliyobarikiwa.