mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Angejikalia kimya tu kulinda his location of hide.
Muuamini mkuu kwani nilikulazimisha uamini nianachokiami.Mkuu kabisa unaamini Rais amekusudia kuangamiza roho za watanzania? Ni mtu mbaya na katili kiasi hicho! Ndicho unachotaka tukiamini?
Anyway tusipomuamini Rais unataka kutushauri tumwamini nani? Maana umeishia kusema tusimwamini Rais ila hujatoa huyo mwingine ambaye ww unaona anastahili aaminiwe!
Mm binafsi nachagua kumwamini na kuyaamini maamuzi na miongozo yake, maana siku zote namwomba Mungu ampe hekima ili aliongoze taifa letu vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
🏃🏃🏃😂😂Yawezekana mme wasimamisha wasililale tena ..ivyo tuseme wagonjwa wame simamishwa
Dark Side
Mwanafunzi wa chuo gani?Bora vyuo vifunguliwe.
“Kwa hali hii, kama wiki tunayoianza kesho itaendelea hivi nimepanga kufungua vyuo ili Wanafunzi wetu waendelee kusoma, lakini nimepanga pia kuruhusu michezo iendelee kwasababu michezo ni sehemu ya Burudani, maisha lazima yaendelee” -JPM
•
“Ugonjwa huu wa corona ni vita kama vita nyingine, wakati unaanza nilisema siwezi kuruhusu lockdown, imagine unafungiwa ndani hupati hata nafasi ya kuonana na Mkeo?, unafungiwa ndani eti usitembee usiku kana kwamba corona inatembea usiku tu, nikasema hapana” -JPM
#JPMChato
Source :Millard Ayo
Alisema mafua hayatudhuruKuna jitihada kubwa zinafanyika kuuona ugonjwa wa korona kama hauna madhara makubwa kwa afya ya watu wetu. Unapo relax kwa ghafla jitihada za kujikinga na ugonjwa wa kuambukiza kama korona ambao kila mtu anajua namna unavyoambukiza mamilioni ya watu duniani, kusababisha ugonjwa na vifo kwa maelfu ya watu na kusababisha kuzidiwa kwa huduma za afya kuweza kuhudumia wagonjwa, inaweza isiwe njia nzuri. Kuondoa kwa pupa tahadhari za kujikinga na korona inaweza isiwe njia sahahi kwa sasa, hata kama tumeamua kuendelea na shughuli za kiuchumi na kijamii.........
Si mwanafunzi wa chuo chochote.Mwanafunzi wa chuo gani?
Natanguliza samahani.