Rais Magufuli: Hakuna lockdown Tanzania! Mwanangu amepona COVID-19 kwa kujifukiza (Mei 17, 2020)

Rais Magufuli: Hakuna lockdown Tanzania! Mwanangu amepona COVID-19 kwa kujifukiza (Mei 17, 2020)

Yeye
tapatalk_1589390986199.jpeg


Au Modds mnasemaje?
 
Ficha taarifa baba kadri iwezekanavyo ili mapopoma ya ccm yaendelee kuumwa
 
Yawezekana mme wasimamisha wasililale tena ..ivyo tuseme wagonjwa wame simamishwa

Dark Side
 
Mkuu kabisa unaamini Rais amekusudia kuangamiza roho za watanzania? Ni mtu mbaya na katili kiasi hicho! Ndicho unachotaka tukiamini?

Anyway tusipomuamini Rais unataka kutushauri tumwamini nani? Maana umeishia kusema tusimwamini Rais ila hujatoa huyo mwingine ambaye ww unaona anastahili aaminiwe!

Mm binafsi nachagua kumwamini na kuyaamini maamuzi na miongozo yake, maana siku zote namwomba Mungu ampe hekima ili aliongoze taifa letu vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Muuamini mkuu kwani nilikulazimisha uamini nianachokiami.

Ila kwa upande wangu namuona mtu ambaye si mkweli kweli kwenye mambo mengi na isitoshe nimemuweka kwenye kundi la wanafiki.

Usimuamini muongo hata kama akiongea ukweli huo ndio msimamo wangu ninaouamini whether you like or not.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najiuliza vikaratasi alivyokuwa anasoma aliviandika akiwa kanisani au ametokanavyo home aliweka mfukoni?

Sina hakika kama waafrika tunamjua Mungu tunaemwabudu.

Kama Mungu angekuwa anamuadhibu mtu hapo hapo anapofanya kosa basi kuna viongozi midomo ingekwenda pembeni wakati wakihutubia kwa kufanya mzaha na Mungu.
 
“Kwa hali hii, kama wiki tunayoianza kesho itaendelea hivi nimepanga kufungua vyuo ili Wanafunzi wetu waendelee kusoma, lakini nimepanga pia kuruhusu michezo iendelee kwasababu michezo ni sehemu ya Burudani, maisha lazima yaendelee” -JPM


“Ugonjwa huu wa corona ni vita kama vita nyingine, wakati unaanza nilisema siwezi kuruhusu lockdown, imagine unafungiwa ndani hupati hata nafasi ya kuonana na Mkeo?, unafungiwa ndani eti usitembee usiku kana kwamba corona inatembea usiku tu, nikasema hapana” -JPM
#JPMChato

Source :Millard Ayo

Hii inaitwa danganya toto. Wape kitu ya kuwaweka busy wakiongea.

Kipi kilikuwa kinakuja mwanzo takwimu au shughuli hizo tajwa kufunguliwa?

Lockdown down ipi inazuia mtu kuonana na watu wa familia yake ndani ya nyumba moja? Lockdown ipi inazuia shughuli muhimu kuendelea achilia mbali za uzalishaji mali vijijini au uvuvi sehemu ambako hata maambukizi hamna?

Hii ni ile wanaita kuingizwa chaka.

Hiiiii bagosha.
 
Kuna jitihada kubwa zinafanyika kuuona ugonjwa wa korona kama hauna madhara makubwa kwa afya ya watu wetu. Unapo relax kwa ghafla jitihada za kujikinga na ugonjwa wa kuambukiza kama korona ambao kila mtu anajua namna unavyoambukiza mamilioni ya watu duniani, kusababisha ugonjwa na vifo kwa maelfu ya watu na kusababisha kuzidiwa kwa huduma za afya kuweza kuhudumia wagonjwa, inaweza isiwe njia nzuri. Kuondoa kwa pupa tahadhari za kujikinga na korona inaweza isiwe njia sahahi kwa sasa, hata kama tumeamua kuendelea na shughuli za kiuchumi na kijamii.........
Alisema mafua hayatudhuru
Akatoka nduki bila kuaga
Kaja na kuliombea taifa
Mara katimua mtaalamu
Kaja na kujifukiza
Statistics hatoi
Leo tena ntafungua shule

Jamaa ana mengi yanachanganya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom