Rais Magufuli: Hakuna lockdown Tanzania! Mwanangu amepona COVID-19 kwa kujifukiza (Mei 17, 2020)

Bora angekaa tu kinywa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hamnaga akili nyie..hata kinachoonekana mtaani hamuoni,mmejaa upumbavu tu,mbona hamjafa mko hapa jf,kazi ni kuponda tu utadhani ninyi mnaakili kuliko wengine kumbe ni upuuzi tu..siasa na chuki za ukabila sijui zitawafikisha wapi

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
Mungu wa kweli hayupo Kama udhanivyo! Mungu Ni mwenye rehema na upendo mwingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunajua usanii alioufanya Prof. Mabula Mchembe, ametoa wagonjwa wote karantini na hospitalini. Wale waliobaki ambao Magufuli kawataja leo ni wagonjwa walio katika hali mbaya sana. Hao ndiyo Mchembe katumwa wizarani kuwaruhusu wabaki hosipitalini. Yani wanaosubiri kufa!

Kama nchi mkishakuwa na kiongozi ambaye hajali kabisa binadamu wake lazima mjiulize sana!
 
Taarifa swafii! Tufungue shule, vyuo, shughuli za burudani na siasa, na shughuli zingine za biashara. Hii inatokana na idadi ya wagonjwa ni kidogo mno (129) compared to 60 million people. Tusiogope. Shule zifunguliwe haraka.
 
Nikikumbuka uongo wake kwenye sakata la korosho, siwezi kumuamini huyu jamaa, labda baada ya kuvuta bangi ya lumumba inayolimwa na chakubanga.
Yeye yuko vichakani, halafu anatuambia sisi tuchape kazi.
kama unataka kujifungia kajifunge mzee, hujalazimishwa
 
Unaweza kutuwekea vipimo vya daktari hapa ambavyo kigogo kakuonesha kwamba huyo uliyemtaja ana corona?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama kusoma haujui picha tu unaona na ni kipimo tosha,kifo cha marine kiliondoka na co-workers wenzake wawili huku wenzao watatu wakipata matibabu mloganzira.

Proof ya pili ni aina ya mazishi yao yaani ni watu 10 tu huku ikisimamiwa na "WAJUBA" wa manispaa hapo ni kipimo tosha kwamba ni FUTA tu.
 
Basi wewe endelea kuomboleza hivyo vifo na huyo kigogo tuache sisi tuchape kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wajinga Sana hawa watu, dj na kundi lake walikimbia bunge wakiogopa Corona halafu wakarudi bungeni Tena!! Yaani akili za hawa watu zilishatekwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TZ nzima tuna endeshwa na mtu mmoja tu ?

Dark Side
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…