Rais Magufuli: Hakuna lockdown Tanzania! Mwanangu amepona COVID-19 kwa kujifukiza (Mei 17, 2020)

Haya majibu yalitokana na vipimo vya maabara ipi? ile ile iliyosema kuwa haitoi majibu sahihi? au kulikua na maabara nyingine tofauti na hii?
last time we was told maabara imesitisha kufanya vipimo kupisha uchunguzi..may be this are previous data
 
Haya majibu yalitokana na vipimo vya maabara ipi? ile ile iliyosema kuwa haitoi majibu sahihi? au kulikua na maabara nyingine tofauti na hii?
Hawa walipimwa maabara tofauti akiwemo mtoto aliyekuwa anakunywa tangawizi na malimao pamoja na kujifukiza na sasa tunapiga push-ups.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kitu alishawahi kuongea ukakubali
Fatilia post zangu uone, nimekubaliana naye kama 50% na kumpinga kama 50%. Mimi sio sifiasifia kila kitu wala pondea kila kitu, vipo vitu vingi tu namuunga mkono, lockdown isiwepo naunga mkono, alivyopambana na wachina naunga mkono, kuzuia watoto waliopata mimba wasisome nimepinga, umeme stiglers gorge nimeunga mkono, anavyomkumbatia bashite nimepinga sina chuki na magufuli wala nini. Natumia akili sio matako
 
Duh . . .noma sana
Mkuu hatuongea kuchengemsha genge ni true story njiro ni misiba kila siku muulize hata Lema,nimumuuliza jamaa yangu wa njiro kaniambia njiro hatari haipiti siku anakatika mtu kwa korona na hadi Baruani Mshale(Ni Mkurugenzi wa Mikakati -Twaweza) aliconfirm BBC Swahili akihojiwa na Kikeke kuwa shangazi yake wa njiro alifariki kwa korona,
 
Kwa kifupi ni kwamba kama afya yako mgogoro, umri wako umeenda au unampendwa kwenye classification za hatari ni jukumu lako kujikinga na Corona as far as Magu is concerned anajua upo sana hila watu wanapona pia.

Tena leo kaingia kwenye mchanganyiko kama zuga mbona yeye aogopi umati be it at safe distance na si ajabu waumini wote waliwekwa karantini ya wiki mbili kwanza.
 
We worship God,

others like Chadema worship corona

Thank you Mr President
 
Duh[emoji856][emoji856][emoji856]

Its not over until its over...[emoji769]
 
Apo umezungumza kama mlevi wa gongo kilabuni.COVID-19 ni janga la kidunia.Kuna faida nyingi za kupima na kutoa takwimu katika kudhibiti ugonjwa.Ni kama upimaji na utoaji wa takwimu ulivyosaidia katika ukimwi.
Bila ya kuwa na mkakati watanzania wengi watafariki kimya kimywa.Kumbuka 1% ya wanaopata ugonjwa huu hufariki.Tupo 55 milioni.Je 1% ya watu milioni 55 ni watu wangapi?
 

[emoji205][emoji205][emoji205][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi ninyi mnaodai lockdown si mjifungie wenyewe ndani na wake zenu mtuache sisi tutembee.Hapa mtaani kwetu kuna wazungu a.k.a mabeberu wapo nje kiguu na njia tena hata hawavai barakoa.Kama kufungiwa ndani ni vizuri hawa wazungu si wangebaki ndani kutii maagizo ya balozi zao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…