Rais Magufuli: Hakuna lockdown Tanzania! Mwanangu amepona COVID-19 kwa kujifukiza (Mei 17, 2020)

Tangu dunia kuumbwa haijawahi kusimama
Magufuli akiongea dunia inasimama na kujadili hotuba yake

Kuna Nchi fulani zinataka kuleta mchezo hatutazihurumia

MONEY STOP NONSENSE
 
Lazima pumba ziwe nyingi kuliko facts.
Sina namna nitamsikiliza supreme leader.
 
Safari hii wamepima sampuli za nini.?mtatujuza siye wengine tupo tunachapa kazi kuelekea uchumi wa kati.
 
Mbona anapenda sana kukimbilia kanisani...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…