Rais Magufuli: Hakuna lockdown Tanzania! Mwanangu amepona COVID-19 kwa kujifukiza (Mei 17, 2020)

Rais Magufuli: Hakuna lockdown Tanzania! Mwanangu amepona COVID-19 kwa kujifukiza (Mei 17, 2020)

twafa njaa, namuomba sana shule zifunguliwe pliz kwa tamko lake moja tu , dawa za Corona zipo
 
“Mimi Mtoto wangu wa kumzaa amepata corona akajifungia, akajifukiza akapiga malimao, sasa hivi ni mzima kabisa anapiga push-up, msije mkadhani mimi sijapata Mtu wa karibu mwenye corona, tuondoe hofu”-JPM

“Kuna mambo ya hovyo yanafanyika, kila Mtu akifariki wanakimbilia kumpima corona, Mtu amefariki unampima yanini?, nguvu za kumpima wanazo, za kumuhudumia akapona hawana, Mtu atakapofariki kwa ugonjwa wowote hata wa corona lazima azikwe kwa kawaida, corona sio Ebola” -JPM

“Kuna rafiki yangu mmoja Injinia alipata kiharusi akapelekwa Muhimbili, wakampima wakasema ana corona, amepelekwa Amana Watu wanamuogopa kisa ana corona, Ndugu zake wakamtoa wakampeleka Agha Khan, wamechukua vipimo wakakuta mzima hana corona, amepona yupo nyumbani” -JPM

Sent using Jamii Forums mobile app
Rais ana lalamika duuh!

Kwa lugha rahisi anajishtaki mwenyewe kwa kuwa na serikali yenye mfumo mbuvu wa sekta ya afya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtalii gani yupo tiyari ku risk maisha yake in Dark country, aache kudanganya watu, labda afungue vyuo maana hilo lipo ndani ya uwezo wake lakini siyo kuleta watalii kipindi hiki
Kuna wazungu wengi tu waligoma kuondoka Tanzania, mfano mimi boss wangu alìkuwa mmarekani ila amegoma kabisa kusepa bongo.
 
Mungu azidi kumlinda Rais JPM..
Hakika ni chaguo la Mungu

Leo naamini nikiwa kama Mkristu niliye na Imani tele maishani mwangu.. naamini wengi watakuwa wameondoa hofu kwa kumsikiliza.. kweli angekuwa Mchungaji tu.. ana upako..

Kama alivyosema.. endeleeni kuchukua tahadhari na kusali.. msiruhusu hofu iwaingie..

Magufuli oyeeeeeeeee
 
JPM
"Hili ni taifa huru, ni taifa linalojiamini, lilishapambana na majanga mengi likadhinda.
Hakuna cha lockdown wala shangazi yake lockdown[emoji3][emoji3][emoji119]
Akili za kuambiwa changanya na zako, unaambiwa kakae lockdown na ww unaenda jifungia chumbani huku hata chakula huna"
Nagongelea msumari,!

Chadema wanataka nchi iendeshwe kwa matakwa ya kigogo 2014
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Si vituko hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu azidi kumlinda Rais JPM..
Hakika ni chaguo la Mungu

Leo naamini nikiwa kama Mkristu niliye na Imani tele maishani mwangu.. naamini wengi watakuwa wameondoa hofu kwa kumsikiliza.. kweli angekuwa Mchungaji tu.. ana upako..

Kama alivyosema.. endeleeni kuchukua tahadhali na kusali.. msiruhusu hofu iwaingie..

Magufuli oyeeeeeeeee
MAGUFULI Ni kiongozi bora juu ya viongozi bora

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Ila tukumbuke kua naomba nimnukuu waziri wa elimu wa Kenya "Kaburini HAKUNA masomo" mwisho wa kunukuu
Big up Mr President nasubir kitabu Chako MIAKA 15 au ishirini ijayo....

"Lakini pia tukumbuke mwisho wa mwanadamu yeyote ni kifo" mwisho wa kunukuu
 
Back
Top Bottom