Rais Magufuli: Hakuna lockdown Tanzania! Mwanangu amepona COVID-19 kwa kujifukiza (Mei 17, 2020)

Rais Magufuli: Hakuna lockdown Tanzania! Mwanangu amepona COVID-19 kwa kujifukiza (Mei 17, 2020)

Kuna kitu kimepangwa sijui.. Au ni muendelezo wa maigizo.

Dr. Kaleman leo akiwa Ofisi za TANESCO-GEITA alivaa Barakoa lakini ameenda Kanisani kavua na kuonesha hali ni shwari wale wote waliokuwa Kanisani leo itakuwa wameambiwa wasivae Barakoa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Wameambiwa na nani[emoji16]
 
Kitaa chenu wamepukutika wangapi
Acha ujinga wewe ebu angalia kuanzia april moja mpaka may 5 watu wangapi maarufu wamepukutika kwa korona? Wewe unadhani serikali yako ficha ficha jazz band itakwambia ukweli? 1 April alianza mtu maarufu Marini Hassan watu wakaenda kumzika bila kuchukua tahadhari akaondoka na wawili fasta huku kina Egbert Mkoko na wenzake wakipona(walitoa ushuhuda wa kupona korona),kigogo ndio aliyetoa taarifa marine kafa kwa korona na kaambukiza kina egbert lakini watu walipinga ila juzi nimeuona live egbert mkoko akitoa ushuhuda wa kupona korona!!

Baada ya Marini hassan vifo vikaanza kufululiza sana vya mawakili,wachungaji na viongozi wa serikali,hao ni wale tunaowajua,mie watu watatu kitaani wamedanja na korona,wengine wamepona,wengine walifanya contact tracing wakawekwa karantini lakini walitoka salama!!

Uliangalia BBC? Kikeke alikuwa anamuhoji Baruani Mshale mkazi wa Njiro uliona alivyosema? Kama wewe mkazi wa njiro nenda kaulize kule kila siku ni misiba watu wanaondoka na korona.

Acheni ujinga nyie kuwachuza watu as if hakuna ugonjwa huu wakati upo,hatuwezi kutatua matatizo kwa kujidanganya kwamba hayapo.
 
Hawatangazi vifo wala idadi ya wagonjwa alafu anawaaminisha huu ugonjwa sio issue!

kazi kwenu wabongo!
Magufuli sitokaa tena nijibu mambo yake anayozungumza wala sitokaa nimuanzishie thread humu. Nasema kweli kabisa! Leo nimejua kumbe hata nchi yoyote ile duniani inaweza kuongozwa na kiumbe wa ajabu kama wananchi wake na watu wa maamuzi hawatakuwa makini.

Tanzania nadhani tumeletewa Huyu mtu ili tuelewe kuwa tunatakiwa kuchukulia kila jambo kwa umuhimu wake. Tunaonywa kuacha kupuuza vitu.

Magufuli nilikuwa natumia nguvu kuwaza vitu vya hovyo anavyoamua nilikuwa nakosea sana! Nilipaswa kutumia muda wangu kumfahamu zaidi akili yake! Mungu nisamehe! Zaidi ninafanya mambo yangu bila kumsikiliza yeye kwenye jambo lolote lile maana uwezo huo ninao! Ninafanya mambo yangu kwa kuizingatia akili yangu. Magufuli sitokaa nifuate kitu anachonielekeza maana nimemjua!

Huku tutakaa tukimbishania hata mtu ambaye hapaswi kubishaniwa huku zaidi ya kutibiwa. Hivyo sitokaa tena kubishana kuhusu mambo ya Magufuli. Mambo yenu na Magufuli wenu shauri yenu as far as hayanidhuru mimi na jamii yangu zaidi ya kuwaelimisha watu ambao kumbe na wao ni kina Magufuli wadogo!
 
If you believe this you will believe anything.
Nasikia Wajeremani, Wangereza na Wamerekani wanaandamana kwa maelfu wakilaumu serikali zao zimekuza Sana korona kuliko uhalisia. Wanahashtag yao "Corona is Fake"
 
Watalii kutoka nchi gani??? Ni nchi IPI iliyonaakili timamu itaruhusu rain wake waje/warisk maisha Yao Tanzania.....Hivu unadhani hawajui kuwa Tz watu wanakufa kwa Corona na Data zinafichwa?????


Endeleeni kujitekenya
Wenye akili tunaendelea kuchapa kazi huku tukichukua tahadhali.
Wajinga mnaendelea kuomboleza vifo vya corona vinavyotokea kwenye page ya kigogo 2014

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akihutubia Taifa(sina hakika kama ni sahihi kusema hivi) tokea Kanisa la KKKT Usharika wa Chato leo asubuhi, Rais Magufuli amelitangazia Taifa na ulimwengu kuwa mtoto wake ni miongoni mwa waliougua na kisha kupona Corona yumo mtoto wake hapo hajasema ni yupi.
Hii ni aina ya Kiki mbovu ambayo wanaompangia Rais (kama taasisi) kipi aseme na kipi asigusie wanaendelea kumpotosha. Anna Mgwira alipopata Corona alisema na kujitenga, amepona juzi akatutangazia na tumempa pole, lakini Leo ghafla mtu anajitokeza eti na kwangu kulikuwa na mgonjwa amepona Jana. Iwe kweli au uongo lakini kutuambia sasa hivi ni kutaka tuamini haogopi huu ugonjwa huku akiendelea kujificha kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona makonda haku
Kamanda naona kiwango chako cha uchambuzi kinadorora sana,sijui ni unazi au ni lazima vijana wakuone tu
Makonda anaingiaje humu?hebu tufumulie na kuichambua hii hotuba ya dunia,achana na Makonda kwanza
 
Corona ipo atuja kataa ila tusiifanye kuwakubwa kuliko Mola wetu ,alieumba Mbingu na ardhi na vilivyomo, kwahiyo ni lazima tufaham alimfiki mja jambo bila ya Mola kuridhia , kama wew ni wakufa na corona hata uchukue tahadhari vip ,utaondoka tu , kuna vitu lazima tuviweke sana ,
Kuna Corona ,ila tujue kuna Mola ambae hata mda huu akisema corona iondoke inaondoka mda huu huu!
Tuchukueni tahadhari ila tusimsahau Mola amini katka Mola wako Fanya ibada zako chukua tahadhari na Mola atakuvusha! Katika hili ,ila tusijisahau kabsa nakuona taratibu za wazungu ndio zipo sahihi sio Kweli , na ndio maana hata wakat wa Ebola madaktari wa virus waliita jamii usika na kujadiliana ,kuhusu jinsi ya kukabiliana na huo ugonjwa na jamii ilitoa njia zilizokua zinatumika za jadi na walifanikiwa ,
Kitu tunapaswa kuelewa ni kwamba hata karne za nyuma magonjwa yamilipuko yalikuepo na walitumia njia zao kwa wakt huo na wakafanikiwa na hakukua na lockdown, sio kwamba naipinga lockdown hapana ,ni lazima tujaribu njia tofauti maana sio kote iyo lockdown ilipo kuwa implemented imeleta Matokeo mema hapa ,kwengine imetumika na ugonjwa bado warindima, tujiulize tu kama huu ugonjwa tutakua nao kwa miaka kumi ijayo ,je tutakaa lockdown for ten years !? Kwa uchumi upi!? Hata hiyo Marekani aitahimili huo mshindo wake !
Kitu kiliitajika kufanywa ni watalaam wa magonjwa ya maambukizi barani Africa walipaswa kukaa na kuandaa mukthadha mzuri wa kupamba na huu ugonjwa na sio kukopi kutoka nchi za magharibi, ambayo pengine sio rafiki na jamii zetu,
Hata wew hapo jiulize tu kwa hazina uliyo nayo unao uwezo wa kukaa katka total lockdown kwa mda gani !? Na je hapo hapo ukawa na uwezo wa kuwasaidia nduguzo vijijin bila ya weye kuyumba ,!? Kiukweli hili suala linaitaj busara ya hali ya juu sana!si kwa viongozi wala wananchi wenyew, naangalia sisi ambao lazima tutoke ndio tueke mkate mezan! Je serikali itakua na uwezo wakugawa chakula kipind cha lockdown hadi iishe!?
Cha msingi ni kuchukua na kufanya kazi amna jinsi, hakika mauti yapo na kama uliandika utakufa kwa hili janga lazima ahad itimie, ila kama ni wakuishi ,utaish tu hata kijiji kizima kipate maambukizi utapona na kuishi,
Mola atufanyie wepesi katka kila kwenye uzito
Amin.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aaamin🤲
 
Kuna kitu kimepangwa sijui.. Au ni muendelezo wa maigizo.

Dr. Kaleman leo akiwa Ofisi za TANESCO-GEITA alivaa Barakoa lakini ameenda Kanisani kavua na kuonesha hali ni shwari wale wote waliokuwa Kanisani leo itakuwa wameambiwa wasivae Barakoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasiasa sio wa kuwaamini hawa watu,kama kweli hali ni shwari Mzee Baba arudi zake ufukweni(magogoni) na achape kazi yaani ziara kama zote ndio nitaamini hali ni shwari lakini hizi tantalila za kutuambia tuchape kazi wakati yeye yupo chimbo chato hapana nachanganya na zangu.
 
HOTUBA NZURI ZA MAGUFULI? KWELI WEWE UPO MBALI NA UKWELI...HUYO LAUGHING STOCK ANAYESEMWA DUNIANI KWA UJINGA? MBONA HAJAZUNGUMZIA ILE DAWA YAKE FEKI ALIYOICHUKUA HUKO MALAGASY? KWANZA DUNIANI WANASIKIA KISWAHILI??? HAKUNA HATA MMOJA ANAYEVUTIWA NA HUYO MAGUFULI WAKO.
Ona ulivyompumbavu!

Hivi rais wa china akihutubia kichina dunia nzima inajua kichina?

Wewe endelea kuomboleza vifo vya corona vinavyotokea kwenye page ya kigogo sisi tuache tuendelee kuchapa kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom