Rais Magufuli: Hakuna lockdown Tanzania! Mwanangu amepona COVID-19 kwa kujifukiza (Mei 17, 2020)

Rais Magufuli: Hakuna lockdown Tanzania! Mwanangu amepona COVID-19 kwa kujifukiza (Mei 17, 2020)

..aliwahi kudanganya kwamba vichwa vya treni alivyovikuta bandarini vilikuwa havina mwenyewe.

..pia alidanganya mbele ya viongozi kwa kutuhumu viongozi wa upinzani kuwa wanataka kumuua.
Trilioni zaidi ya 100 za madini!
Yote ni kuhalalisha mafukizi
Ni kama kusoma idadi ya wagonjwa katika vituo bila kutueleza wangapi wamefariki, wangapi wamepona.
Lakini pia tujiulize, ilijulikanaje ni wagonjwa wa corona ikiwa haamini vipimo?
 
Most likely hapakuwa na kitu hicho. Ni kuhalalisha anayoyafanya kuhusu corona, kuzipa uzito sentensi zake za mitishamba na kuwa siyo kuwa anawasukumia wengine bali na yeye ndizo anazotumia.
Au alimaanisha huyu? [emoji848][emoji144][emoji40][emoji40]
IMG_20200518_031806.jpg


Jr[emoji769]
 
Ni dhambi mbele za Mungu kutokumuamini kiongozi wako kiasi hicho. Alikutenda nini?? Mbona tulimuamini Mh Mbowe aliposema mwanaye kila akipimwa bado anao??
NO man is infallible, all men are fallible! sasa unaposema kuwa Rais aaminiwe kwa lolote alitamkalo, then you are lost! Tena wanasiasa ni WAONGO, wote ni waongo, what differs is a degree of lying! and particularly ukishamsoma unaye deal naye!
 
Inaezekana akadanganya kanisani kweli? Mimi naamini alivyosema ni kweli maana kiongozi wetu ameshika sana dini
Mtu wa dini haya yanayotokea kwenye utawala wake yanamuweka mbali na dini na kuwa niUnafiki tu wa ku win the confidence of the clergy!
 
Ndiyo tatizo la kuwa muongo muongo. Leo huamini vipimo vya kutoka maabara kesho unaviamini! Na huyo mwanae aliugua lini? Amejuaje kapona? Kama kapimwa kapimiwa wapi wakati maabara zinafanyiwa “marekebisho”
Kuna maswali mengi kuliko majibu! Ni vitu vya kuunda ili kuwaghilibu watu kuwa corona is not that much of serious disease and can be cured by natural herbal remedy! To legalize his way of doing things with regard to traditional medicine.

By the way, BAK hujambo? Watu walishasema kuwa BAK is no more labda ametekwa and gone by the wind! actually nilipata ban baada ya mtu (UCD) kunitishia kuwa nitapotea kama BAK, akasema kwani sasa unamuona hapa JF ameshapotezwa. NNikapata BAN kubwa!
 
Mtu anaeweza kusema ndege zimejaa wakati asilimia kubwa ya watalii wanakuja kupitia travel/tour holiday companies na sidhani kama wanachukua bookings kipindi iki huko kwao.

Kama kaweza tunga hilo ina maana anaweza sema chochote tu kufurahisha kadamnasi; kibaya zaidi anayasema hayo ndani ya nyumba ya ibada.
 
Duh! Pole sana Mkuu kwa kula BAN. Nipo hai ndugu yangu kama unionavyo. Niliamua kuondoka moja kwa moja kutokana na ujinga wa baadhi ya mambo hapa.

Wapambe wangu ambao tunawasiliana hata nje ya hapa wakawa wananiomba nirudi na wengine kunitumia uzi za UZUSHI kuhusu BAK.

Mwisho nikaamua kuheshimu wito wa kuombwa kurudi.

Kuna maswali mengi kuliko majibu! Ni vitu vya kuunda ili kuwaghilibu watu kuwa corona is not that much of serious disease and can be cured by natural herbal remedy! To legalize his way of doing things with regard to traditional medicine.

By the way, BAK hujambo? Watu walishasema kuwa BAK is no more labda ametekwa and gone by the wind! actually nilipata ban baada ya mtu (UCD) kunitishia kuwa nitapotea kama BAK, akasema kwani sasa unamuona hapa JF ameshapotezwa. NNikapata BAN kubwa!
 
Duh! Pole sana Mkuu kwa kula BAN. Nipo hai ndugu yangu kama unionavyo. Niliamua kuondoka moja kwa moja kutokana na ujinga wa baadhi ya mambo hapa.

Wapambe wangu ambao tunawasiliana hata nje ya hapa wakawa wananiomba nirudi na wengine kunitumia uzi za UZUSHI kuhusu BAK.

Mwisho nikaamua kuheshimu wito wa kuombwa kurudi.
Umefanya jambo la muhimu sana kurudi! personally nilimis sana michango yako. Karibu tena!
What I am doing nowadays ni ku- block nonsense yoyote ninayeona ana ujinga/utoto wa kutojenga hoja bali matusi! And this has been comfortable with me!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ahsante sana Mkuu.

Umefanya jambo la muhimu sana kurudi! personally nilimis sana michango yako. Karibu tena!
What I am doing nowadays ni ku- block nonsense yoyote ninayeona ana ujinga/utoto wa kutojenga hoja bali matusi! And this has been comfortable with me!
 
Back
Top Bottom