Rais Magufuli: Hakuna lockdown Tanzania! Mwanangu amepona COVID-19 kwa kujifukiza (Mei 17, 2020)

Rais Magufuli: Hakuna lockdown Tanzania! Mwanangu amepona COVID-19 kwa kujifukiza (Mei 17, 2020)

Ninyi ni kina Mbowe au mmelipwa na mabeberu,ama ni kati ya wale mluokuaga mnakula pesa za wananchi ovyo mkaminywa,Corona mitaani iko wapi? Kweni tunaishi wapi mpaka tusione?wajinga wakubwa nyie..kubali jaribu la mzungu siyo la kwetu,mbona wao hawajawahi kupata kipindu pindu?wanalazimishaje taharuki yao iwe ya dunia nzima?acheni ufirauni wenu

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
Hivi hao unawaita mabeberu inamaana wewe ni mbuzi jike wanakuparamia nyuma?
 
Ninyi ni kina Mbowe au mmelipwa na mabeberu,ama ni kati ya wale mluokuaga mnakula pesa za wananchi ovyo mkaminywa,Corona mitaani iko wapi? Kweni tunaishi wapi mpaka tusione?wajinga wakubwa nyie..kubali jaribu la mzungu siyo la kwetu,mbona wao hawajawahi kupata kipindu pindu?wanalazimishaje taharuki yao iwe ya dunia nzima?acheni ufirauni wenu

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
Mtoa mada ni kada kuliko wewe lakini mwishowe ameuona ukweli! Ndugu, watu wanakufa kama hakuna nduguyo au jamaa yako aliyekufa kwa korona mshukuru Mungu!

Jiwe hayuko siriaz na hii Korona, yaan anabeza hata matumizi ya balakoa ambayo wataalamu wake kila siku wanasisitiza!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Most likely hapakuwa na kitu hicho. Ni kuhalalisha anayoyafanya kuhusu corona, kuzipa uzito sentensi zake za mitishamba na kuwa siyo kuwa anawasukumia wengine bali na yeye ndizo anazotumia.
Mara haamini vipimo mara mtoto wake aliumwa tushike lipi?
 
Sidhani kama dunia nzima tukifa viumbe wataokuja kuishi humu duniani wakiamua kuanzisha vyama watakubali kuanzisha chama kama ccm
 
Huyu bwana ana agenda ya siri na anaicheza kwenye uhai wa Raia 41m. Hii ni zaidi ya siri na muda ndio utakao jibu nakuifumbuwa siri hii.

Taifa lipo vipande viwili wanao mwamini mtemi kwamba zile risasi wakipigwa zitageuka maji na kamwe hazito wadhuru. Kwa bahati mbaya wanao amini wanaenda vitani wanauwawa na hawarudi kumwambia Kinjekitile yule mganga wake ni fake. Wengi wakafa na mwishowe na yeye akauwawa.

Miaka imepita sasa tumempata kinjekitile wa dunia yakisasa amesema jifukizen chapa kazi. Well kwa njaa zetu tunachapa kazi ila kati yetu wengi watapotea nambaya hawato toa majibu ya kweli. Itakuwa ni hatari juu ya hatari.
Kumfananisha Rais wetu na Kinjekitile ni kumkosea adabu na kututukana sisi wapiga kura wake.

Sisi tuliomchagua tuna imani naye na tutaendelea kuchapa kazi wewe endelea kujifungia.
 
Suala la kujifukiza linafanywa sana na watu hutoa shuhuda zao mbalimbali humu, kwa hiyo alichoeleza Magufuli ni kama ambavyo watu wamekuwa wakieleza sana humu kuhusiana hilo na hiyo tiba ya kujifukiza. Kwahiyo inawezekana hawa watu pamoja na Rais mwenyewe wote wanaongopa kwa kutoa shuhuda za uongo na ndiyo maana naona ni muhimu Mh. Msigwa kusema ukweli kuwa rais Magufuli anaongopa maana anachofanya ni kuhalalisha tiba ambayo haina ushahidi wa kisayansi kama alivyoeleza Ndugulile.
Ugonjwa uligunduliwa na wana sayansi na siyo waganga wa kienyeji hivyo jukumu la kuuondoa lipo kwa wana sayansi mwenyewe
 
Je unadhani angefanya nini ili watu wasife? Je kabla ya COVID watu walikuwa hawafi? Je umepitia takwimu za vifo za muda gani kuonyesha sasa hivi watu wanakufa zaidi? Je mtaani kwenu wamekufa watu wangapi kwa COVID?
Ni upepo tu utapita.
Mtaani kwenu wamekufa wangapi kwa malaria? Wangapi kwa Ukimwi? Wangapi kwa Ajali? Wangapi kwa Kansa?
 
Most likely hapakuwa na kitu hicho. Ni kuhalalisha anayoyafanya kuhusu corona, kuzipa uzito sentensi zake za mitishamba na kuwa siyo kuwa anawasukumia wengine bali na yeye ndizo anazotumia.

Hizi ndio solution za mawe:

-Sali
-Jifukize kwa nyungu
-Tumia mitishamba ya Madagascar
-Kula malimao
-Waganga wa kienyeji

Huyu jamaa aisee ni hasara all the way through!
 
Kwani Makonda anasemaje juu hili jambo. Mara mwisho nilimsikia akimsemea mtoto wa Mbowe.

Kumbe ndiyo maana Rais nae aliamua kwenda karantini.

Sasa nimeelewa kwa nini hayupo Dar.

Sent using iphone pro max
 
Mtaani kwenu wamekufa wangapi kwa malaria? Wangapi kwa Ukimwi? Wangapi kwa Ajali? Wangapi kwa Kansa?

Mkuu walisema ujinga mzigo. Kwa hakika ni mzigo mzito wa kutosha kumkabidhi mnyamwezi!

Akikujibu mkuu tufahamishe.
 
Back
Top Bottom