hjayhals
JF-Expert Member
- Feb 13, 2013
- 768
- 559
Most likely hapakuwa na kitu hicho. Ni kuhalalisha anayoyafanya kuhusu corona, kuzipa uzito sentensi zake za mitishamba na kuwa siyo kuwa anawasukumia wengine bali na yeye ndizo anazotumia.
Tushamuelewa siku nyingi sana, MTUNZI. Jiulize alipimwa na mashine ipi? ni ileile ya mbuzi na mapapai?