Rais Magufuli: Hali kwa sasa ipo vizuri na Corona inapungua. Wanafunzi wa Form VI na Vyuo vyote kufunguliwa 01 Juni 2020

Rais Magufuli: Hali kwa sasa ipo vizuri na Corona inapungua. Wanafunzi wa Form VI na Vyuo vyote kufunguliwa 01 Juni 2020

Usisahau machoni pia kama utapeleka mkono wenye virus 🦠 kwenye macho.

Inaambukiza pia kupitia mate mate yanayotoka mdomo ni. Usipokuwa na barakoa mate yanaweza kutuma na kutua ukutani, juu ya meza, kwenye kutasa ni. Anaeyashika mate haya ni rahisi kupata maambukizi.
 
Magufuli ni changer kwenye kila eneo.

Hatimaye ametokomeza Corona Tanzania nzima

Watanzania tunamhitaji kwa miaka 50 ijayo

Wapinzani wote say yeeeeiiiiyeeeee
 
Kama kwenye public ambapo hakutakuwa na umbali kati ya watu,au nitalazimika kuongea na mtu hapo yes. Ila kama sehemu nitakeep distance mimi sivai. Binafsi nikivaa Barakoa kila nikihema ile hewa inakuwa vapor inaweka ukungu kwenye miwani yangu.

Na mimi bila miwani sioni vizuri. Kusema ukweli navaa Barakoa kwenye misongamano tu.
Aaaah kumbe we we ni macho manne
 
Magufuli ni changer kwenye kila eneo.

Hatimaye ametokomeza Corona Tanzania nzima

Watanzania tunamhitaji kwa miaka 50 ijayo

Wapinzani wote say yeeeeiiiiyeeeee
 
Wakuu tupeane elimu na ufafanuzi wa neno la mkuu mapema leo.Maneno ya wakubwa dawa..." Hivi kwa mfano wewe Moleli kule jimbo lako kuna hospitali ikajengwa ikamalizwa halafu usipeleke madawa na hata kwenye jimbo lako Sina usileke madawa, madakitari na uko naibu waziri maana yake unastahili? Message sent solidarity starts at home as well"



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaa hahahaaaaa Magu kawachimba beat hakuna kuvaa barakoa. Haki ya Mungu huyu mzee ana shida sana!
Yanamwogopa ile mbaya, ona li Kabudi (isome Kisukuma hiyo) linavyotoa macho hapo mbele wakati siku chache zilizopita lilikuwa linavaa Barakuwa!
 
Back
Top Bottom