Uyo mcheuwa makukujiNiko Upande wa mbowe maana siamini uchawi nakumtukia shetani ni dhambi .
waongo awoUyo mcheuwa makukuji
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Uchawi Uko wapi hapoNiko Upande wa mbowe maana siamini uchawi nakumtukia shetani ni dhambi .
Inaambukiza pia kupitia mate mate yanayotoka mdomo ni. Usipokuwa na barakoa mate yanaweza kutuma na kutua ukutani, juu ya meza, kwenye kutasa ni. Anaeyashika mate haya ni rahisi kupata maambukizi.
ile ni mojawapo ya vitu serikali hii imechemka....ni sawa na kujivua nguo tu hadharani! It was not a good idea ku discredit taasisi muhimu kama ile hadharani (kwa maoni yangu).MBONA ILE TUME IPO KIMYA?
Haijapewa maelekezo!MBONA ILE TUME IPO KIMYA?
Aaaah kumbe we we ni macho manneKama kwenye public ambapo hakutakuwa na umbali kati ya watu,au nitalazimika kuongea na mtu hapo yes. Ila kama sehemu nitakeep distance mimi sivai. Binafsi nikivaa Barakoa kila nikihema ile hewa inakuwa vapor inaweka ukungu kwenye miwani yangu.
Na mimi bila miwani sioni vizuri. Kusema ukweli navaa Barakoa kwenye misongamano tu.
Taarifa ya maabara imefikia wapi?Magufuli ni changer kwenye kila eneo.
Hatimaye ametokomeza Corona Tanzania nzima
Watanzania tunamhitaji kwa miaka 50 ijayo
Wapinzani wote say yeeeeiiiiyeeeee
Maabara ya mabeberu tumewaachia nyinyi vibaraka wao
unakuwaje upande wa mwizi wa bilioni 8 ?Jenga hoja kwanza bl.8 zunakujaje hii mada ebu tumia akili sio kila kitu unaleta siasa.
mh siyo kwamba wakamatwe na washtakiwe?
Yanamwogopa ile mbaya, ona li Kabudi (isome Kisukuma hiyo) linavyotoa macho hapo mbele wakati siku chache zilizopita lilikuwa linavaa Barakuwa!Hahahaa hahahaaaaa Magu kawachimba beat hakuna kuvaa barakoa. Haki ya Mungu huyu mzee ana shida sana!