Rais Magufuli: Hali kwa sasa ipo vizuri na Corona inapungua. Wanafunzi wa Form VI na Vyuo vyote kufunguliwa 01 Juni 2020

Rais Magufuli: Hali kwa sasa ipo vizuri na Corona inapungua. Wanafunzi wa Form VI na Vyuo vyote kufunguliwa 01 Juni 2020

Prof Kabuni: Canada na sweden wamekubali kutusaidia kwenye sekta ya afya, elimu na TASAF, pia kuchangia bajeti.
Rais Magufuli: Usipende sana vya bure/msaada ni vibaya.
 
Mimi nijuavyo,,Kama umekaa na mwenye corona,hamuongei,yeye na wewe mnavuta hewa na kutoa kupitia pua uwezekano wa kukuambukiza Ni mdogo,
Lakini muwe mnapiga story,mfano m acheza draft au karata mnaongea na kucheka,,Happ maambukizi lazima,maana unapoongea unatoa vapour ambazo zinakua na tinny droplets in aerosol form,na wanabaki hewan kwa dakika Kama 15 hivi,
Happ maana yake Kuna uwezekano maambukizi yalikuwa ya kutosha kuachieve immunity
Kuna siku tutapoteza viongozi wetu kwa utani huu wanayofanya. Wote hao hawajavaa Barakoa na jana walivaa katika sehemu mbalimbali pia wakitoka hapo wanakwenda kuingiliana na watu.
Wananchi wengine wanaacha kujikinga na Corona kwa utani anaofanya Rais. Rais anasema Corona badi ipo tuchukue taadhari na hapohapo anasema yeye hapendi hayo mabarakoa na wala havai
 
Karibu
Wageni wameshawasili katika sherehe hii ambayo wateule kadhaa wataapishwa akiwemo Naibu waziri wa afya, Katibu tawala mkoa wa Pwani Mkurugenzi wa Takukuru na mabalozi.

Rais Magufuli ameshaingia ukumbini tayari kuanza kuwaapisha wateule wake.


=====
Baadhi ya mambo yaliyozungumzwa

Prof. Kabudi - Canada yaipongeza Tanzania kwa hatua ilizochukua dhidi ya CoronaVirus na wameahidi kusaidia kusaidia kwenye swala la elimu

Waziri Wa Ushirikiano wa Kimataifa wa Canada. Canada imetupongeza kwa namna ambavyo tumepambana na Covid19. Wameahidi watatisaidia katika maeneo ya elimu na afya kwa kadiri mahitaji yetu yatakavyokuwa.

Nilimsisitizia Waziri yule kuwa sisi watupe pesa na tutajua ni maeneo gani katika nchi hii tutazipeleka, katika kuimarisha uchumi na katika kupambana na maradhi haya.

Juzi pia niliongea na Balozi wa Umoja wa Ulaya. Umoja wa Ulaya umeamua kutoa Dola milioni 38 ambazo zitakuja Tanzania kutusaidia katika maeneo mbalimbali baada ya hili janga la Coronavirus.

Pia niliongea na Balozi wa Sweden kwa njia hii hii ya mtandao. Sweden wataongeza Dola milioni 20 katika bajeti ya elimu na Dola milioni 10 kwenda TASAF

Ummy Mwalimu - Tulijiandaa kuchukua uwanja wa sabasaba ili kuwaweka wagonjwa wa corona lakini sasa wagonjwa wamepungua kwa hiyo uwanja umerudishwa

Suleiman Jaffo - Nyungu season two inaanza Jumatatu... pia tuwaambie watalii kuwa, wanakaribishwa Tanzania wakifika wanapewa zawadi ya nyungu

Magufuli - Corona bado ipo, imepungua ni kweli lakini tuendelee kuchukua tahadhari

- Msikubali vifaa vya corona vinavyogawiwa na taasisi mbalimbali, kama ni kupokea kifaa cha kupambana na corona, kipitie Wizara ya Afya na kiwe checked.

- Katika michango hii unaweza kuletewa hata barakoa zenye corona kwa kuwa trend yetu iko vizuri, vya bure ni vibaya

- Mtu akileta kifaa kikichunguzwa kikakutwa na korona apewe kesi ya jinai hata ya kuua kabisa

- Vyuo vikuu vyote vitafunguliwa tarehe 1/6/2020

Vijana wa kidato cha sita watarudi shuleni 1/6/2020, pia iandaliwe crash program ili isiharibu utaratibu wa wao kuingia chuo kikuu,

Sekondari na shule za msingi zinapewa muda wa kujitazama ila chuo kikuu wanajitambua

Michezo
- Kuanzia tarehe 1/6/2020 michezo yote ianze rasmi kuanzia ligi daraja la kwanza, taratibu za kushangilia na kushabikia zitatolewa muongozo na Wizara ya Afya

Immunity inaongezeka mtu akiwa anainteract, ukimfungia immunity inaweza kushuka kwa 30%

--
Kuanzia tar 27/28 Mei 2020 itaanza kuruhusu ndege kuingia nchini, na watalii hawatafungiwa kwa siku 14, atamuikwa na kama joto lake litakuwa chini ya ile jotoridi linalotakiwa,

Miti ya kujifukiza itolewe kama Complementary kwa watalii

Magufuli: Mungu amejibu maombi yetu.

Watakaoguswa kuanzia Ijumaa, Jumamosi na Jumapili tutumie siku hizo kumshukuru Mwenyezi Mungu


"Nyuki wakali wakiingia kwenye nyumba ya ibada, kiongozi wa dini ukawaambia waamini wako ingieni tu kwa ibada hamtaumwa kwa kuwa Mungu yuko humo, utakuwa unawatakia mema waamini?

Wakiumwa na hata akafa mtu lawama imwendee nani? Mimi najua hata mshumaa ukiobarikiwa unaungua ukiuwasha"

Askofu Niwemugiizi
 
Kwani Kabudi alivyoenda Madagascar kama ulibahatika kumuona, alifanya nini? Kama ulimuona, je avae barakoa ya nini tena? Za kwako chnanganya na za mwenzako
Kwamba yeye ana kinga tayari ?Ile ya Madagascar ni dawa ya kikohozi tu. Corona haina dawa na hakuna aliye imunised.
 
Nionyeshe Trump akipovaa na kwake wanakufa kama kuku

Sent using Jamii Forums mobile app
Yule kabla hajakamata mic,lazima wasanitize eneo alipo na pia wanakeep distance,
Lakini pia Trump kaanza dozi ya chloroquine na watu Wana speculate kwamba kaikwaa corona,
Mind you,chloquine sio dawa ya corona,Bali huyu mzee anazeeka vibaya
 
"Nyuki wakali wakiingia kwenye nyumba ya ibada, kiongozi wa dini ukawaambia waamini wako ingieni tu kwa ibada hamtaumwa kwa kuwa Mungu yuko humo, utakuwa unawatakia mema waamini?

Wakiumwa na hata akafa mtu lawama imwendee nani? Mimi najua hata mshumaa ukiobarikiwa unaungua ukiuwasha"

Askofu Niwemugiizi
Wewe endelea kumfuata askofu tena ikiwezekana nenda na familia yako mkajifungie kwake kabisa mkisubiri corona iishe duniani.

Yani mkisikia hakuna kisa cha corona hata kimoja dunia nzima ndio mnatoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vijana wale Edd na kuwahi masomo yao chuoni, nzuri hiyo.

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Inate
Kuna siku tutapoteza viongozi wetu kwa utani huu wanayofanya. Wote hao hawajavaa Barakoa na jana walivaa katika sehemu mbalimbali pia wakitoka hapo wanakwenda kuingiliana na watu.

Wananchi wengine wanaacha kujikinga na Corona kwa utani anaofanya Rais. Rais anasema Corona badi ipo tuchukue taadhari na hapohapo anasema yeye hapendi hayo mabarakoa na wala havai
Inategemea na Kinga ya mtu,,Kuna watu unaweza kuwa na corona,ukamkoholea na zikapita wiki mbili usimsikie hata kupiga chafya.

Hiyo inaitwa Herdy immunity.
 
Ahsante sana Rais wetu Kwa kufungua vyuo Na Kwa wadogo zetu kidato cha sita.
Sasa tujiandae kurudi vyuoni tukabukue, tukasome Kwa bidiii, tumepumzika vya kutosha, Na tumezurura vya kutosha bora sasa tukasome ili tutulizane
 
COVID haimbukizwi kwa kupitia kinywani tu hata ukivuta oxygen kama kuna mtu aliyenayo karibu yako unaweza kabisa kuipata. Kumbuka kuna wengi wanayo lakini ni ASYMPTOM na ukiwa jirani na mtu aliyenayo huku wewe umevaa 😷 unapunguza percentage ya kuambukizwa toka 100% hadi 4% that’s HUGE. Please protect yourself and your loved ones.
Common question
How does the coronavirus disease spread?

Data from published epidemiology and virologic studies provide evidence that COVID-19 is primarily transmitted from symptomatic people to others who are in close contact through respiratory droplets, by direct contact with infected persons, or by contact with contaminated objects and surfaces.
 
Back
Top Bottom