Rais Magufuli, hili la Kangi Lugola hujatenda haki. Sheria ya Uhujumu Uchumi inawahusu wananchi tu?

Rais Magufuli, hili la Kangi Lugola hujatenda haki. Sheria ya Uhujumu Uchumi inawahusu wananchi tu?

Hata Warioba alisema, vita dhidi ya ufisadi haipiganwi kwa viongozi na wanasiasa. Hao wamekuwa kama untouchables
 
Kwa Masikitiko Makubwa Kabisa!

Japo Waziri wa Mambo ya Ndani aliamua kujitoa akili na kuonesha Immaturity mbele ya kadamnasi kwa kuongea vitu ambavyo kimsingi alikuwa akijielewa mwenyewe.

Hata hivyo, halikumzuia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa, JPM kuzungumza madudu ya Wizara ya Kangi.

Sitting Allowance dola 800, plus perdiem, en plus tiketi za ndege pamoja na refreshment;

Sambamba na hilo kilichosainiwa kwenye Mkataba wa Maridhiano (MoU) ni kuwa hata mkataba ukivunjwa lakini huduma ambazo zimeshaanza kutolewa basi zitaendelea kutolewa kwa kipindi chote.

Aidha, Thamani ya Mkataba ni zaidi ya 1T .

Je huyu Waziri, Naibu Waziri, Katibu, Kamishna wa Zima Moto pamoja na Maafisa wa Mwanasheria Mkuu ambapo Mikataba yote yenye thamani kubwa inayohusu Manunuzi ya Umma lazima ipite kwa Mwanasheria Mkuu kwa ajili ya kuhakikiwa terms and conditions ndio isainiwe , je wanapaswa kweli kuendelea kuwa Uraiani?

Nilitegemea kuona Gari la Magereza likimbeba pale pale bwana Kangi pamoja na timu yake kuwapeleka mahabusu.

Ukweli , Mwenyekiti wetu wa Chama cha Mapinduzi Taifa hii tumbua tumbua bila ya hatma ya kisheria juu ya hawa watu kujulikana inakuwa haisaidii. Na ndio maana haya matukio hayaishi. Kwa sababu hakuna liquidated damage upon specific breach pindi wakifanya madudu.

Wizara imekiuka Public Procurement Act ya Mwaka 2011 reads together with its Regulation ya Mwaka 2013 , following its amendment ya Mwaka 2016 !

Hivyo, ana sababu zote kuwa punished kisheria yeye na timu yake wakalale mahabusu; tofauti na hapo hakuna haja ya tumbua tumbua.

Tunataka kuona hawa watu wakichukuliwa hatua za kisheria kama ifuatavyo;

1. Kwenda Mahabusu
2. Kuchukuliwa Hati ya kusafiria
3. Freeze Akaunti zao zote
4. Filisi mali zao zote
5. Wanyongwe kama wafanyavyo China.

Sitting Allowance dola 800: Halafu still tunasikia hali mtaani ni ngumu, watu hawana hela, kumbe fedha zipo kwa wachache.

Hili pia ni lako ewe Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa kujitafakari kuwa ni kweli Ufisadi kwenye Taasisi za Umma umekwisha au unafanyika lakini ni kwa kificho?

Mwisho, zifuatazo ni taasisi ambazo unatakiwa kuwaambia vijana wako wazitembelee hizi taasisi kwa uchunguzi zaidi;

1. PPP project ya Mwendokasi
2. NSSF na nyumba za Kijichi, tunajua Serikali ilikuwa na Hisa ndogo katika mradi huu, lakini cha kushangaza Serikali ndio iliyotoa Bilions of money kuliko kampuni Binafsi
3. Bohari Kuu ya Dawa chini ya Wizara ya Afya- Tulisoma Ripoti ya CAG inayoeleza upotevu mkubwa wa pesa za Dawa za wànanchi pasipokuwa na nyaraka yakinifu.Hapa rushwa ipo mno
4. NIDA ikiwa ni pamoja na Utendaji wao
5. TTCL hawa hasa kwenye huduma zao na kuna viashiria vya Rushwa vingi sana
6. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam
7. Bodi ya Mikopo

Asante!

Jamani naombeni sana Mh rais mumuache mambo mazuri mengi mno ametufanyia jamani mtamkumbuka sana Huyu rais mimi binafsi namkubali sana Pamoja Na maneno yenu Mabaya lakini magufuli anawawekea lami nyakanazi Mpaka Kigoma mkoloni mwenyewe aliishindwa hiyo barabara. Tunduma Mpaka sumbawanga pasuliwa Mpaka Katavi inaunga Mpaka Kigoma Tena.Zito uwe Na adabu na shukrani Mungu anakuona


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Jamani naombeni sana Mh rais mumuache mambo mazuri mengi mno ametufanyia jamani mtamkumbuka sana Huyu rais mimi binafsi namkubali sana Pamoja Na maneno yenu Mabaya lakini magufuli anawawekea lami nyakanazi Mpaka Kigoma mkoloni mwenyewe aliishindwa hiyo barabara. Tunduma Mpaka sumbawanga pasuliwa Mpaka Katavi inaunga Mpaka Kigoma Tena.Zito uwe Na adabu na shukrani Mungu anakuona


Sent from my iPhone using JamiiForums
Maarifa yako madogo sana.!!

Hapa tunazungumzia hatua za ziada ambazo Mh Rais na vyombo vya Usalama vinanapaswa kuchukua na sio ujenzi wa barabara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais amemsimasha Kangi Lugola na Andengenye kwa tuhuma za kusaini mkataba wa hovyo!! Je Takukuru hamuwezi kuwafungulia mashtaka ya kuhujumu uchumi wahusika?

Au ndio kusema vyombo vyetu vya dola vimezoea kufanya kazi kwa maelekezo na sio weledi. Hii ya kusemwa na Rais ilikuwa inatosha kabisa kuwachukulia hatua wahusika. Nami nawaomba TAKUKURU mjitasimini kama hamutawachukulia hatua hawa watu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ahsante sana Mjomba kwa comment yako nzuri.

Chaajabu Kangi anasema Rais amempumzisha. That is very strange.

Unajua ni wakati sasa Magufuli tuwe serious , honestly.

Hii mambo ya tumbua tumbua bila kuwajibishwa ifike pahala utambue kwamba tumechoka na haya Maigizo.

Mimi nakupenda sana Magufuli na Mimi ni muumini wako naliweka bayana hilo ; kuna Uharo mwingi umejitahidi kuufumua katika nchi iliyokuwa imeoza. Bravo katika hilo


Ila Kangi na timu yake wanapaswa kuwa Jela badala yke anasema UMEMPUMZISHA, like serious.

Attachment, below
IMG_1211.JPG
 
Kangi lugola na timu yake Ni wahujumu uchumi inatakiwa wachukuliwe hatua za kisheria. Wakiachwa hivyo Basi watanzania tutajua kuwa Kangi alikuwa anatekeleza ilani aliyokuwa anatembea nayo.

Kabisa. Huyu Mtu ni kwenda Jela ndiyo Hii Tumbua italeta mantiki
 
Binafsi naona tunapigwa changa la macho

Inafahamika vibali vya kusafiri nje ya nchi hutolewa na Ikulu,je wakati ikulu inatoa kibali kwa Kangi na kundi lake waliwauliza wanaenda kufanya nini? Ni wazi lazima waliulizwa, Lugola hawezi kutoka nje ya nchi kwenda Romania bila kibali cha bosi wake!

Je ni kweli MKATABA huo ulikuwa haufahamiki mahala popote? ikiwemo ikulu? Hapana, je mpaka Lugola anaenda nje ya nchi, kamati ya makatibu wakuu,kamati ya wataalamu,wizara ya fedha,si walishaupitia mkataba au? Na je si Baraza la Mawaziri lazima lijue kuhusu MKATABA huo? Hayo mambo ya hovyo yalipitaje?

Safi sana Critical thinker. This is the thing.

Hii ishu kama Magufuli asipomfikisha huyu mahakamani ; basi something is wrong with the whole system.
 
Kuna kitu kingine cha kujiuliza, mikataba ya serikali pia haisainiwi bila ushauri wa kisheria ambao hutolewa na ofisi ya mwanasheri wa serikali.

Mbona hatukusikia waziri wa katiba na sheria au mwanasheria mkuu wa serikali akiingizwa kwenye hii inayo itwa kashfa?

Walio toa vibali vya maofisa kusafiri mbona nao wana kula bata?

Mh Rais kuna nyakati huwa anatuingiza chaka bwana.

Amesema AG alienda kuzika.

Waliokaimishwa majukumu ndiyo waliopitisha.

Ni dhahiri kuwa baada ya kurudi ndiyo akakuta hiyo Mikataba na akawatonya state kujisalimisha.

Mikataba inayoenda Kwa AG ( mwanasheria Mkuu ) ni Ile yenye Value ya Kuanzia Mil 500 kwenda juu.

Hii mingine inaweza kusainiwa Wizarani hapo hapo kwa kutumia wanasheria wa Wizara.
 
Hatua iliyochukuliwa na rais ni yakupongeza siyo jambo rahisi!! Ilo ndiyo LA muhimu na amesema wengine walohusika mfano ofisi ya mwanasheria mkuu wajitafakari!! Maswali mengine mnayojidai ni yakiuchunguzi hata hayana tija!! Ushaambiwa wamesaini mkataba huko huko ughaibuni na unavipengele vys hovyo!! Mkata viuno kachemsha mwacheni apumzike sasa yule aloshambuliwa sana na Lema keshachukua usukani

Wewe mbona huna akili .

Kama walisaini huko huko nje , Mkataba ulifikaje kwa Mwanasheria Mkuu.

Public Procurement Act 2011 na Régulation yake ni lazima kwanza kabda ya kusaini Mkataba kama huo ni lazima uende kwa AG, na walifanya hivyo .

Halafu usitupangie cha kujadili, be liberal, mbona sisi hatukupangii cha kuandika.

This is JamiiForums, the land of opportunity to learn and to be exactly who you were meant.
 
Binafsi naona tunapigwa changa la macho

Inafahamika vibali vya kusafiri nje ya nchi hutolewa na Ikulu,je wakati ikulu inatoa kibali kwa Kangi na kundi lake waliwauliza wanaenda kufanya nini? Ni wazi lazima waliulizwa, Lugola hawezi kutoka nje ya nchi kwenda Romania bila kibali cha bosi wake!

Je ni kweli MKATABA huo ulikuwa haufahamiki mahala popote? ikiwemo ikulu? Hapana, je mpaka Lugola anaenda nje ya nchi, kamati ya makatibu wakuu,kamati ya wataalamu,wizara ya fedha,si walishaupitia mkataba au? Na je si Baraza la Mawaziri lazima lijue kuhusu MKATABA huo? Hayo mambo ya hovyo yalipitaje?

Matumizi ya budget 2019 ni 23 trillion, watu wainaingia mkataba wa trillion 1.6 bila idhini ya bunge hii inawezekanaje?
 
Jamani naombeni sana Mh rais mumuache mambo mazuri mengi mno ametufanyia jamani mtamkumbuka sana Huyu rais mimi binafsi namkubali sana Pamoja Na maneno yenu Mabaya lakini magufuli anawawekea lami nyakanazi Mpaka Kigoma mkoloni mwenyewe aliishindwa hiyo barabara. Tunduma Mpaka sumbawanga pasuliwa Mpaka Katavi inaunga Mpaka Kigoma Tena.Zito uwe Na adabu na shukrani Mungu anakuona


Sent from my iPhone using JamiiForums

Kwahiyo kila mtu anae comment hoja za msingi ni Zitto ? Hivi mbona sisi wa TZ hatuna akili , haki vile.

Je ni wapi tumepinga juhudi za Rais ?

Tunachojadili hapa ni what is the culminating result ya hizi tumbua tumbua?

Je hawa watu sawa wametumbuliwa lakini je hatua za kisheria ni zipi ?

Grow up man usichague ujinga.
 
Wewe mbona huna akili .

Kama walisaini huko huko nje , Mkataba ulifikaje kwa Mwanasheria Mkuu.

Public Procurement Act 2011 na Régulation yake ni lazima kwanza kabda ya kusaini Mkataba kama huo ni lazima uende kwa AG, na walifanya hivyo .

Halafu usitupangie cha kujadili, be liberal, mbona sisi hatukupangii cha kuandika.

This is JamiiForums, the land of opportunity to learn and to be exactly who you were meant.
We mbona bwege sana...
mikataba inatakiwa kusainiwa hapa nchini tena ukiwa na wataalamu maana unaweza kuchezewa ujanja hko nje ata ukasaini ukiwa umelewa ukaingiza nchi matatizoni, pili hamna niliposema ofisi ya mwanasheria mkuu haikuuona! Jifunze kusoma kiwerevu,tatu sijampangia mtu ajadili nini Ila nimesema msijidai wachunguzi huku uhalisia hamuujui. Soma kwa kuelewa sio kwa mihemuko kijana,pole
 
We mbona bwege sana...
mikataba inatakiwa kusainiwa hapa nchini tena ukiwa na wataalamu maana unaweza kuchezewa ujanja hko nje ata ukasaini ukiwa umelewa ukaingiza nchi matatizoni, pili hamna niliposema ofisi ya mwanasheria mkuu haikuuona! Jifunze kusoma kiwerevu,tatu sijampangia mtu ajadili nini Ila nimesema msijidai wachunguzi huku uhalisia hamuujui. Soma kwa kuelewa sio kwa mihemuko kijana,pole

Kusaini Mkataba Huko huko ughaibuni una maanisha nini ?
 
Kwa Masikitiko Makubwa Kabisa!

Japo Waziri wa Mambo ya Ndani aliamua kujitoa akili na kuonesha Immaturity mbele ya kadamnasi kwa kuongea vitu ambavyo kimsingi alikuwa akijielewa mwenyewe.

Hata hivyo, halikumzuia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa, JPM kuzungumza madudu ya Wizara ya Kangi.

Sitting Allowance dola 800, plus perdiem, en plus tiketi za ndege pamoja na refreshment;

Sambamba na hilo kilichosainiwa kwenye Mkataba wa Maridhiano (MoU) ni kuwa hata mkataba ukivunjwa lakini huduma ambazo zimeshaanza kutolewa basi zitaendelea kutolewa kwa kipindi chote.

Aidha, Thamani ya Mkataba ni zaidi ya 1T .

Je huyu Waziri, Naibu Waziri, Katibu, Kamishna wa Zima Moto pamoja na Maafisa wa Mwanasheria Mkuu ambapo Mikataba yote yenye thamani kubwa inayohusu Manunuzi ya Umma lazima ipite kwa Mwanasheria Mkuu kwa ajili ya kuhakikiwa terms and conditions ndio isainiwe , je wanapaswa kweli kuendelea kuwa Uraiani?

Nilitegemea kuona Gari la Magereza likimbeba pale pale bwana Kangi pamoja na timu yake kuwapeleka mahabusu.

Ukweli , Mwenyekiti wetu wa Chama cha Mapinduzi Taifa hii tumbua tumbua bila ya hatma ya kisheria juu ya hawa watu kujulikana inakuwa haisaidii. Na ndio maana haya matukio hayaishi. Kwa sababu hakuna liquidated damage upon specific breach pindi wakifanya madudu.

Wizara imekiuka Public Procurement Act ya Mwaka 2011 reads together with its Regulation ya Mwaka 2013 , following its amendment ya Mwaka 2016 !

Hivyo, ana sababu zote kuwa punished kisheria yeye na timu yake wakalale mahabusu; tofauti na hapo hakuna haja ya tumbua tumbua.

Tunataka kuona hawa watu wakichukuliwa hatua za kisheria kama ifuatavyo;

1. Kwenda Mahabusu
2. Kuchukuliwa Hati ya kusafiria
3. Freeze Akaunti zao zote
4. Filisi mali zao zote
5. Wanyongwe kama wafanyavyo China.

Sitting Allowance dola 800: Halafu still tunasikia hali mtaani ni ngumu, watu hawana hela, kumbe fedha zipo kwa wachache.

Hili pia ni lako ewe Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa kujitafakari kuwa ni kweli Ufisadi kwenye Taasisi za Umma umekwisha au unafanyika lakini ni kwa kificho?

Mwisho, zifuatazo ni taasisi ambazo unatakiwa kuwaambia vijana wako wazitembelee hizi taasisi kwa uchunguzi zaidi;

1. PPP project ya Mwendokasi
2. NSSF na nyumba za Kijichi, tunajua Serikali ilikuwa na Hisa ndogo katika mradi huu, lakini cha kushangaza Serikali ndio iliyotoa Bilions of money kuliko kampuni Binafsi
3. Bohari Kuu ya Dawa chini ya Wizara ya Afya- Tulisoma Ripoti ya CAG inayoeleza upotevu mkubwa wa pesa za Dawa za wànanchi pasipokuwa na nyaraka yakinifu.Hapa rushwa ipo mno
4. NIDA ikiwa ni pamoja na Utendaji wao
5. TTCL hawa hasa kwenye huduma zao na kuna viashiria vya Rushwa vingi sana
6. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam
7. Bodi ya Mikopo

Asante!
Kangi ni TISS yupo kazini ila utakuja kujua baada mission kukamilika tena Magu ndiyo atatoboa siri!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumemsikia wenyewe Rais wetu, Mheshimiwa John Pombe Magufuli, alipokuwa akitengua uteuzi wa waziri wa mambo ya ndani, Kangi Lugola, akitoa sababu kuwa ni kutokana na waziri huyo kusaini mkataba nje ya nchi, wa kuingiza vifaa vya zimamoto, vyenye thamani ya zaidi ya shilingi trillion moja

Kama madai ya Rais Magufuli ni ya kweli, ni kwanini Jeshi la Polisi nchini halijamkamata Mheshimiwa Lugola na kumfungulia mashitaka ya utakatishaji wa pesa nyingi kiasi hicho?

Tunajua kuwa yupo mwandishi wa habari, Eric Kabendera, anayeendelea kusota rumande, kwa zaidi ya miezi 6 sasa, kwa tuhuma za utakatishaji pesa wa shilingi milioni 170

Tunajua pia yule mfanyakazi wa kituo cha haki za binadamu, Tito Magoti, naye amefunguliwa mashitaka ya utakatishaji pesa wa shilingi milioni 17 pekee!

Inakuwaje kwa hawa akina Lugola, ambapo kwa Maelezo ya Rais wetu Magufuli, amewatuhumu kushiriki kusaini mkataba wa kununua vifaa vya thamani ya zaidi ya shilingi trillion moja, waeendelee kukaa uraiani, ambapo Rais mwenyewe ametuhakikishia kuwa wanahusika na utakatishaji pesa wa zaidi ya shilingi trillion moja?

Hivi ni kipi kikubwa ni trillion moja ya Kangi Lugola au shilingi milioni 17 za Tito Magoti?

Kama Kangi Lugola hajafunguliwa kesi ya utakatishaji pesa basi tutajua kuwa hili suala ni la kisiasa

Tusaidiane katika kulidadavua suala hili kwa maslahi mapana ya Taifa letu
 
Back
Top Bottom