Rais Magufuli, hili la Kangi Lugola hujatenda haki. Sheria ya Uhujumu Uchumi inawahusu wananchi tu?

Kukosoa serikali ya mwenyekiti wako ndo uhujumu uchumi,hiyo ya lugola si pesa ya kiwi tu au umesahau kama kangi ni police mstafu
 
Usonji unamsumbua, angalau angetumia akili kumlinda informer wake huyo mwanajesshi, lakini akili hiyo hana anam-expose
 
Mwite P,labda anaweza kuondoa huu ukakasi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usanii mtupu. Ila muda ndiyo utakaosema ukweli. Mnamhoji aliyekuwa Katibu Mkuu wakati Mkuu wa nchi alishamsafisha? Je ni nani atakaekwenda kinyume na maamuzi yake? Ndio maana nasema huu ni usanii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usanii mtupu. Ila muda ndiyo utakaosema ukweli. Mnamhoji aliyekuwa Katibu Mkuu wakati Mkuu wa nchi alishamsafisha? Je ni nani atakaekwenda kinyume na maamuzi yake? Ndio maana nasema huu ni usanii.

Sent using Jamii Forums mobile app

Cha Ajabu Kangi kaenda Takukuru akiwa na Ilani ya Chama cha Mapinduzi! Je ni nini tafsiri ya hii kitu?

Je anamaanisha alichokifanya ni moja ya sehemu ya Ilani ya CCM?

Inawezekana kapelekwa huko baada ya wananchi kupiga kelele; All in all let’s see the culminating result of this marathon.
 
Jela ni maalumu kwa wasio na chapa.Sasa mwanafunzi wa yesu ataenda vipi jela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…