Rais Magufuli: Huduma za NIDA ziwe kila Wilaya au NIDA watoe hela ya 'guest' kwa Wananchi. Ukiona bei ya mahindi iko juu, kalime yako

Hii ni sera ya CCM ama ni yake!!
 

Rais Magufuli, Tembea, ongeza gas, kasi, bila wasiwasi.

Muhimu sana kutowaonea wanyonge, maskini, mtu yoyote.

Pia kuwasaidia vijana kupata kazi. Tusiwaweke jela. It doesn't make sense, tujaribu kuwasaidia kupata kazi.

Elimu yetu tuiiangalie. Iko sawa kwa karne hii, mahitaji, kuwatayarisha vijana kujiari, kupata kazi?
 
Unaonekana ww ni wale wasomi uchwara mnaokaa mjini, mkulima wa kawaida analima zao analolimudu kulingana na mazingira yake. Matarajio yake ni kuuza ziada ya mazao yake. Huo muda wa kutsget soko gani ni kwa mtaji gani alio nao?
Asante
 
Hhahaah baada ya kuharibu soko la korosho, Bangi sorry tumbaku, Mahindi etc ndio anakuja na huu msemo saa hizi?? Hongera sana san aserikali ya awamu ya Tano
Haitoshi, vijana wamezagaa mjini wanauza soksi. umetoka job unataka kupumzika sehemu unaona kundi la vijana aged 15- 30 wanakuja kundi as if wanakuvamia alaa kumbe wachuuzi...kila mtu na kiroba chake...

Hawa wanatakiwa wawe mashambani wakizalisha....hawa wanatakiwa kuingia ubia na Serikali...Serikali inatoa resources wao ni NGUVU KAZI...umri wao unarihusu...

Hii kauli haitoshi...ondoa hawa vijana mjini wakafanye kazi huko mashambani watajirike...weka utaratibu mzuri wa uzalishaji na masoko... hela ya Dreamliner moja tu unawabadilisha hawa vijana kabisa kabisa..!!
 
Nawaangalia
Halafu Nasema Hii Bhaghoshaa 😁😀😂🤣😃😄
 
Wanaopiga kelele ni CHADEMA kwani hawataki kulima kabisa Wanataka kushinda humu wanatukana kalimeni mahindi hayashuki bei mpaka mkalime na nyinyi.
 
korosho alitetea wakulima kuwa underpaid.
Mazao mengine anaopinga wakulima kupangiwa low prices na system.
Kwa wenye akili timamu tunajua anazidi kumtetea mkulima wa korosho na wa mazao mengine.
Hivi kwa wanaoijua korosho vizuri mtujuze hili zao LA shamba au kiwandani.Mi nilidhani ni zao LA shambani nikataka kujiuliza Inamaana anajipinga operation yake ya korosho?
 
Hizo mbona alishaahidi 2015 na baada ya kuingia madarakani ikapotezewa??
 
Na kahawa ya Kagera kuuzwa kwa Waganda kwa Bei nzuri kuliko ya vyama vya ushirika ameruhu au tusubiri mwongozo kipindi Cha kampeni 2020.
 
Mkuu tumshauri aongeze nguvu kazi
Maana ofisi za nida kila wilaya zinaupungufu wa rasilimali watu
Ni siasa tu. Tatizo analijua sana. Alianza kumkosoa Jakaya kuhusu Vitambulisho lakini hakuna kubwa alilofanya kuendeleza.
Hawapi hela. Kila kitu ni madege na upuuzi mwingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…