Rais Magufuli huhitaji kujieleza unapomtoa Waziri. Kwa January Makamba jikalie kimya

suala la mifuko ya plastic na viroba ndio moja ya mambo ambayo sitayasahau awamu hii.
yamefanikiwa 100% hadi mtaani wanashangaa
 
Magufuli anataka kusema ucheleweshwaji wa azimio la kupiga marufuku mifuko ya plastic kwa more than 4 years ni kosa la January Makamba peke yake? Hizi lawama za kindezi sana. Yeye kama Rais alifanyaje kusort out the mess?
 
Bora akae kimya na wewe ukae kimya kwa sababu tutagombana, lini ulimuona au kumsikia makamba analaani manyanyaso zidi ya upinzani, kupigwa risasi, kufutwa ubunge, kuuawa wapinzani n.k. sasa yeye Zitto anajifanya kimbelembele kuwatetea maccm
OK OK ok, nanyamaza ili tusigombane. Ila nitafafanua baadae maana ya kiss the enemy of your enemy.
 

Kuna sababu kubwa moja tu ambayo wewe hujaitambua ilomfukuzisha kazi January Makamba.

Rudi tena muongee kwa uzuri na atakwambia ni sababu ipi hiyo.

Au pia waweza kuwa unaitambua sababu hiyo lakini unazuga tu kwa kutafuta umaarufu.

Vinginevyo acha kusumbua akili za watu humu JF na wasomaji wetu.

Kumbuka, hapa JF ni kisima cha maarifa.
 
Nmeanza kumuelewa Pascal Mayala binafsi sio shabiki wa Mh Magufuli na Sera zake lkn khs Mjivuni Mh January na mjivuni Mh Nape nasimama na Mh Rais Ndugu Zitto Ruksa Kutetea wapigaji wenzio mnajifanya watetezi wetu ila Baada kunyimwa nafasi ya kuiba zaidi kwani ww mwenyewe unafikiri tumesahau kauli zako Rais Alipotembelea Kigoma na Bado mwaka 2020 muendeleze Biashara zenu au karibu tubebe box uku Safi sna Mh Magu...
 
Ndege wafananao huruka pamoja....bilashaka kuna madoadoa yameongezeka kwenye mabawa.
 
Itakuwa alikuwa anaangalia tu redio kama sio tv huku masikio kayaziba
 
Tafadhali sana ndugu zito,
Usije ukamshauri bwana January kujiunga na upinzani.

Tunataka abakie huko huko ccm.

Januari usije ukaenda chama chochote ch upinzani.

Usije ukathubutu.

Baki hapo hapo.
Chezeni karata zenu vizuri.
Exactly,
 
Zitto alimtegemea sana January......muda si mrefu tutayasikia ya NSSF!
Unaweza kua na point but kwa muktadha hu hebu jibu HOJA za Zitto na mhe badala ya hayo mambo ya NSSF ambayo wengi tunayajua, kwenye NSSF wapo na sio Zitto peke yake, kwa ufupi usihamishe maada, tujadiri iliopo hewani kwanza
 
Magufuli anataka kusema ucheleweshwaji wa azimio la kupiga marufuku mifuko ya plastic kwa more than 4 years ni kosa la January Makamba peke yake? Hizi lawama za kindezi sana. Yeye kama Rais alifanyaje kusort out the mess?
 
Naona kuni zinakua nyingi mpaka kubakie jivu kabisa
 
Kwa nini watu bado wanadhani January kaonewa?

Kwenda against rais wako, ni kosa Dogo?

Kuna tofauti gani kati ya yalimkuta zitto chadema na haya ya January
 
We zitto unakuwaga taahira saa zingine, hivi hii hoja ya trillion 1.5 kuna wapuuzi wanaowaamini

Kwa mwezi tu TRA inakusanya wastani wa trillion 1.3 na katika matumizi almost billion 600 zinaenda kulipa mishahara, sasa eti mtu aibe trillion 1.5? Nchi ingesimana. Na itapelekwa wapi mipesa mingi hivyo? Acacia tu imenunuliwa na Barrick kwa billion 980 (japo ni uongo)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…