Uchaguzi 2020 Rais Magufuli, ile Tanzania ya Viwanda uliyotuahidi ndiyo hii?

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli, ile Tanzania ya Viwanda uliyotuahidi ndiyo hii?

Miaka 60 ya serikali za CCM hayo ndio maisha na mazingira halisi ya watanzania walio wengi waishio vijijini na mijini! Nyumba duni, mavazi duni, milipuko ya magonjwa nayo haijambo! Alafu mtu bado anakuja anakwambia nichagueni ndani ya miaka 5 nitabadilisha Tanzania kuwa kama Ulaya! Hapa ni wasiojitambua tu ndio watakuamini! CCM pisheni waachieni wenye mtazamo na mawazo mbadala! Hivyo viwanda sera yake ilishashindwa hata kabla ya kuanza! Labda kama ni vile vya kufyatua wasaliti wa vyama vyao, wanajipendekeza na kusifia Yesu wa Lugola kwa kila jambo, Vikundi visivyojulikana vya utekaji na mashambulizi dhidi ya wakosoaji! Hivyo bidhaa zao zimetamalaki kila kona! Ee Mungu Tuepushe na majanga hayo!
 
View attachment 1565079

Kila nikikumbuka slogan hii huwa nawatathimini watanzania nashindwa kuwaelewa kabisa, je tumerogwa?

Mbona hatuhoji kama Tanzania hii ndiyo ya Viwanda tuliyoahidiwa au tungoje nyingine.

Najua waliodanganywa 2015 ni wale wale wanaodanganywa leo 2020 kuwa anakwenda kuifanya Tanzania iwe kama Ulaya na watu wanashangilia pasipo kuhoji utekelezaji wa Tanzania ya Viwanda.

CCM na Magufuli walivyo wajanja hata kugusia Tanzania ya Viwanda hawataki tena, wanajua wakiwaamusha waliolala watalala wao.

Tuendelee kusifu na kushangilia, tunywe mtori labda nyama tutazikuta kwa chini.
Walisema watajenga viwanda,baadaye wakawaagiza wakuu wa mikoa kujenga viwanda 100 kila mkoa kabla ya 2019 ila havionekani.Kuna wakati Mwijage alitutangazia viwanda zaidi ya 3000 tayari.Ukiwa muongo unatakiwa usiwe msahaulifu.
CCM wanatuchezea,wameajiri washangiliaji hata wakisema pumba utasikia vigelegele toshelevu ili msiwahoji.Wamewaleta wasanii >200 msikumbuke dhiki kwa kutumia Bongo flavour,singeli isiyo na kiingilio hata kama njaa inauma wanatetemesha utumbo hadi njaa inayeyuka.
 
View attachment 1565079

Kila nikikumbuka slogan hii huwa nawatathimini watanzania nashindwa kuwaelewa kabisa, je tumerogwa?

Mbona hatuhoji kama Tanzania hii ndiyo ya Viwanda tuliyoahidiwa au tungoje nyingine.

Najua waliodanganywa 2015 ni wale wale wanaodanganywa leo 2020 kuwa anakwenda kuifanya Tanzania iwe kama Ulaya na watu wanashangilia pasipo kuhoji utekelezaji wa Tanzania ya Viwanda.

CCM na Magufuli walivyo wajanja hata kugusia Tanzania ya Viwanda hawataki tena, wanajua wakiwaamusha waliolala watalala wao.

Tuendelee kusifu na kushangilia, tunywe mtori labda nyama tutazikuta kwa chini.
Wewe unaishi wapi!? Au ndio walewale wana macho lakini hawaoni au wana macho lakini hawataki KUONA. Haya maviwanda huko Kibaha, Mbagala, Kibiti, huko Mbezi ni nini? Ukiachilia mbali vile viwanda vya kati, vidogo na vile vidogo vidogo (au cottage industries). Au wewe na wenzako mnataka Nuclear Industiries?
 
magufuli hunena kwa vitendo bt hili la viwanda ni process ndo maana unahisi halitekelezeki, umeme mkubwa ndo nguzo kuu ya uendeshaji wa viwanda ndo maana serikali imewekeza huko, huo mradi ukikamilika viwanda vitazagaa kila mahala kua na subra mjumbe.
 
Ta
View attachment 1565079

Kila nikikumbuka slogan hii huwa nawatathimini watanzania nashindwa kuwaelewa kabisa, je tumerogwa?

Mbona hatuhoji kama Tanzania hii ndiyo ya Viwanda tuliyoahidiwa au tungoje nyingine.

Najua waliodanganywa 2015 ni wale wale wanaodanganywa leo 2020 kuwa anakwenda kuifanya Tanzania iwe kama Ulaya na watu wanashangilia pasipo kuhoji utekelezaji wa Tanzania ya Viwanda.

CCM na Magufuli walivyo wajanja hata kugusia Tanzania ya Viwanda hawataki tena, wanajua wakiwaamusha waliolala watalala wao.

Tuendelee kusifu na kushangilia, tunywe mtori labda nyama tutazikuta kwa chini.
Tatizo kubwa la watu wa Tanzania hawajawahi kurud nyuma hata katika mambo yaliyo nje ya upeo wao, ndo sababu hawajui impact ya yaliyofanywa na rais ktk harakat za uchumi wa viwanda
 
Neno h
magufuli hunena kwa vitendo bt hili la viwanda ni process ndo maana unahisi halitekelezeki, umeme mkubwa ndo nguzo kuu ya uendeshaji wa viwanda ndo maana serikali imewekeza huko, huo mradi ukikamilika viwanda vitazagaa kila mahala kua na subra mjumbe.
neno hili la uzima litaonekana tu kwa wale walio na jicho la tatu
 
Unamshangaa huyo ! Je hawa wanaohubiri ajira million sita, sijui nane. Huwaoni ?!.
Jaduong achana na takwimu na propaganda za kwenye mitandao. Njoo huku Busindi uone Plant za kuchenjua dhahabu zilivyojengwa. Hivi unadhani havitoi direct na indirect employment?

Unataka kuona watu wanaajiriwa serikalini tu?
 
Wewe unaishi wapi!? Au ndio walewale wana macho lakini hawaoni au wana macho lakini hawataki KUONA. Haya maviwanda huko Kibaha, Mbagala, Kibiti, huko Mbezi ni nini? Ukiachilia mbali vile viwanda vya kati, vidogo na vile vidogo vidogo (au cottage industries). Au wewe na wenzako mnataka Nuclear Industiries?
Unataka kutuambia viwanda vya Bharesa.
 
View attachment 1565079

Kila nikikumbuka slogan hii huwa nawatathimini watanzania nashindwa kuwaelewa kabisa, je tumerogwa?

Mbona hatuhoji kama Tanzania hii ndiyo ya Viwanda tuliyoahidiwa au tungoje nyingine.

Najua waliodanganywa 2015 ni wale wale wanaodanganywa leo 2020 kuwa anakwenda kuifanya Tanzania iwe kama Ulaya na watu wanashangilia pasipo kuhoji utekelezaji wa Tanzania ya Viwanda.

CCM na Magufuli walivyo wajanja hata kugusia Tanzania ya Viwanda hawataki tena, wanajua wakiwaamusha waliolala watalala wao.

Tuendelee kusifu na kushangilia, tunywe mtori labda nyama tutazikuta kwa chini.
Thread watched
 
Jaduong achana na takwimu na propaganda za kwenye mitandao. Njoo huku Busindi uone Plant za kuchenjua dhahabu zilivyojengwa. Hivi unadhani havitoi direct na indirect employment?

Unataka kuona watu wanaajiriwa serikalini tu?
Ahahahaaaa [emoji3][emoji23][emoji1787] Chagu bhuaana daahh .

Nawe unaamini ajira sijui million sita zimetengenezwa ?!. Wa nghwise, jamaa kachemka kinoma. Kama mmefanya vizuri hivyo, vikwazo vya nini kwa washindani wenu ?!. Mara tcra mara tcaa mmechemka sana
 
Yeye alichokuwa anafanya au anachofanya ni kuweka mazingira mazuri na umeme ili wewe na Mimi tuweke hivyo viwanda, kama wewe hutaki au huwezi subiri kukuta hizo nyama chini.

Kama kazi yake ni umeme basi angeongelea Tanzania ya umeme, viwanda awaachie wengine wanaoviweza waongee.
 
Ahahahaaaa [emoji3][emoji23][emoji1787] Chagu bhuaana daahh .

Nawe unaamini ajira sijui million sita zimetengenezwa ?!. Wa nghwise, jamaa kachemka kinoma. Kama mmefanya vizuri hivyo, vikwazo vya nini kwa washindani wenu ?!. Mara tcra mara tcaa mmechemka sana
Ajira mil sita direct and indierct sector binafsi. Hayo mambo ya Tcra au Tcaa ni utekelezaji wa sheria tu ambazo zilitungwa na Bunge.
 
Kama kazi yake ni umeme basi angeongelea Tanzania ya umeme, viwanda awaachie wengine wanaoviweza waongee.
Kwa hiyo wewe na akili zako zinazofikilia pafupi ulizania kuwa kila kata itajengewa kiwanda?
 
Back
Top Bottom