Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Lisu ni muhmin wa kusapoti ushoga.kwa hili tu hatufai
Rudi shule ukajifunze kuandika kwa usahihi kwanza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lisu ni muhmin wa kusapoti ushoga.kwa hili tu hatufai
Mzee wa MIGA kabisa ashinde urais? Basi Tanzania itakuwa nchi ya ajabu kabisa kuwahi kutokea
Yaani hata mjinga hawezi kufikiri hivyo, hivi nikuulize wewe ungekuwa Rais halafu mtu akaandika kijinga kama alivyoandika, we we ungejipima? Mara nyingi huwa tunauliza wewe ni kichaa lakini hujibu siyo kichaa lakini nyinyo wengine mnamuona kuwa ni kichaa nafkiri ungekuwa wewe ungejibu ni ndio, ndo maana nasema hata kichaa hawezi kukubali ushauri wako.Ukweli mchungua Lissu ni maaarufu sana kuliko Magufuli, Lissu amesoma na kuelimika kuliko Magufuli, Lissu anaijua Tanzania na tatizo la nchi hii kuliko Magufuli, Lissu anaijuwa siasa ya ndani ya Tanzania na nje kuliko Magufuli, Lissu hana hata tuhuma moja ya ufisadi kama Magufuli.
Lissu anaelewa mizizi ya ufisadi wa taifa ili kuliko Magufuli, Lissu amekuwa akiwatetea watanzania hata kabla ya Magufuli kuanzia miaka ya 2000 uko.
Muda bado upo angalau ungemuachia Membe au Makamba angalau wangejenga hoja, Ila ukiendelea kutumia nguvu kupambana na Lissu utaenda Chato na mwenzio ataenda Ikulu.
Ukitaka kushinda jenga hoja ila kwa kutumia nguvu utaanguka na wapambe watakukimbia hakuna watu wanafiki kama watanzania hasa wapambe wa rais.
Mataga buanaLissu huyu wa "MIGA"
Kama JK na JPM wameweza kuwa marais wa nchi hii, nani atashindwa hiyo kazi?
Huyo akaongoze huko ubelgiji
Hivi wewe kwa nini unapenda sana kuanzisha vijimada visivyo na miguu wala mikono?
Mkuu hapa naona kama wewe ndio kichaa maana hueleweki unataka kuongea nini.Yaani hata mjinga hawezi kufikiri hivyo, hivi nikuulize wewe ungekuwa Rais halafu mtu akaandika kijinga kama alivyoandika, we we ungejipima? Mara nyingi huwa tunauliza wewe ni kichaa lakini hujibu siyo kichaa lakini nyinyo wengine mnamuona kuwa ni kichaa nafkiri ungekuwa wewe ungejibu ni ndio, ndo maana nasema hata kichaa hawezi kukubali ushauri wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunamtegemea Sirro na Mabeyotechnically
Naunga mkono hoja yako kwa asikimia 100
Hakika ni bora tu akanyoosha mikono kabla ya pambano na kukiri wazi kuwa muziki wa Tundu Lissu hauwezi, kuliko kujitafutia aibu ya kuangushwa vibaya kwenye sanduku la kura!
Sio tu tume huru, hata kama kwa kupanga mistari au kunyosha vidole Lisu hatoboi, agenda ya kukumbatia wazungu na kushtaki ulaya yeye na zito zimewatupa bora hata MboweMagifuli kwa Lissu / Lissu atashinda asubui na mapema cha muhimu hapo Independent committee.
Plz hapo ondoa JK sio kariba ya JPM tafadhariKama JK na JPM wameweza kuwa marais wa nchi hii, nani atashindwa hiyo kazi?