babalao 2
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,423
- 3,297
Mwanga haina stand kama ilivyo Meru.Maendeleo labda pale choo cha stand
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanga haina stand kama ilivyo Meru.Maendeleo labda pale choo cha stand
Nimesema choo cha stand, si kuna parking hapo barabara ya lami ambayo ndiyo stand?Mwanga haina stand kama ilivyo Meru.
JINGA KABISATuna rais wa ajabu!
Mijitu ya hivi inakera sana[emoji35][emoji35][emoji35]Kweli huyu ni popoma na kilaza
Naanza kuaminiTuna rais wa ajabu sana.
Maendeleo hayana vyama bwasheeMiaka 10 barabara kilomita 5.
Tena ulikuwa uji..ga wa hali ya juu kumpa ubunge mtu ambaye amechokwa na wananchi wa jimbo la ubungo. Wao wamemstukia kuwa hajawapelekea maendeleo yeyote halafu kibamba wanampokea! Walipoteza miaka na huwa hairudi. Somo la hesabu ni muhimu sana hata katika maisha ya kila siku.Miaka 10 barabara kilomita 5.
Denying the obvious!mgalatia aliyerogwa na magufuli
Acha kutetea ujinga, Mnyika kafanya nini kibamba? Kwenye ukweli tuseme ukweli.Tangu 1961 Mnyika alikuwa mbunge wa Kibamba?
Mkuu kama rais atakuwa mjinga je waliomuweka kwny nafasi hiyo watakuwa viumbe aina gani?Huyu ni Rais MJINGA kuliko wote waliowahi kuwepo Tanzania [emoji1241]
Hii ni jibu kwa #148Nawe acha unafiki uwe kweli mkweli. Amekuuliza tangu tupate uhuru 1961 mpaka leo miaka60 mbunge wa Kibamba alikua Mnyika? Mbona kipindi kirefu zaidi wabunge wa ccm walikuwepo ni maendeleo gani yalipatikana? Zaidi ya hapo Mnyika alikuasanya kodi?