Rais Magufuli: Kibamba mmejicheleweshea wenyewe maendeleo kwa kukosa mbunge sahihi huko nyuma ila sasa Mtemvu atawavusha!

Rais Magufuli: Kibamba mmejicheleweshea wenyewe maendeleo kwa kukosa mbunge sahihi huko nyuma ila sasa Mtemvu atawavusha!

Jua na mvua kibamba hadi kimara hakuna kivuli.
 
ila tuwe wakweli huyu bwana ana akili ndogo sana hadi unajiuliza mara 2~2 juu ya uwezo wake
 
J J Mnyika miaka 10 ya ubunge kilomita 5 za lami!
Hii ni aibu kwa serikali ya ccm,kwa kubagua majimbo yaliyo chiini ya vyama vya upinzani.Mmepanda mbegu mbaya kwa Watanzania.
Mkitaka kujua hali yenu,kuwepo na Tume huru ya uchaguzi,ndio mtajielewa vizuri
 
Rais Magufuli leo amewashukuru wananchi wa Kibamba kwa kumpa kura nyingi wakati wa uchaguzi mkuu na pia kuchagua mbunge na madiwani wote wa CCM.

Rais Magufuli amesema Kibamba wamejicheweshea wenyewe maendeleo kwa kushindwa kuchagua mbunge sahihi huko nyuma ambaye kwa muda wote amefanikisha kujenga km 5 tu za barabara ya lami.

Rais Magufuli amesisitiza kuwa kufanya kosa siyo kosa ila kurudia kosa ndio tatizo hivyo amewapongeza wananchi hao kwa kumchagua Mtemvu wa CCM na amewaahidi ujenzi wa barabara zote jimboni humo.

Rais Magufuli amesema Mtemvu ni mnyenyekevu na kwa kuanzia amempa heka 52 za ardhi ili zitumiwe na wananchi wa kibamba kwa ujasiriamali na miradi yao mbalimbali.

J J Mnyika wa Chadema ndio mbunge mstaafu wa Kibamba

Source: TBC

Maendeleo hayana vyama!
Msitujaze ujinga sisi tunajielewa! Mbunge sahihi makalio yenu!
 
Kongwa ingekua kama London kwani haiwajawahi kua na mbunge asie wa CCM miaka 60 ya uhuru lakini bado wanajisaidia vichakani, watoto wanakaa chini na kwenye vichaka. Hakuna madawati, hakuna madarasa watoto wanasomea vichakani.

Dodoma yote sasa hivi ingekua New York kwani hawajawahi kuchagua mbunge wa upinzani miaka 60 lakini zaidi ya nusu ya wakazi wa Dodoma ni omba omba.
IMG_20210211_163253.jpg
 
Rais Magufuli leo amewashukuru wananchi wa Kibamba kwa kumpa kura nyingi wakati wa uchaguzi mkuu na pia kuchagua mbunge na madiwani wote wa CCM.

Rais Magufuli amesema Kibamba wamejicheweshea wenyewe maendeleo kwa kushindwa kuchagua mbunge sahihi huko nyuma ambaye kwa muda wote amefanikisha kujenga km 5 tu za barabara ya lami.

Rais Magufuli amesisitiza kuwa kufanya kosa siyo kosa ila kurudia kosa ndio tatizo hivyo amewapongeza wananchi hao kwa kumchagua Mtemvu wa CCM na amewaahidi ujenzi wa barabara zote jimboni humo.

Rais Magufuli amesema Mtemvu ni mnyenyekevu na kwa kuanzia amempa heka 52 za ardhi ili zitumiwe na wananchi wa kibamba kwa ujasiriamali na miradi yao mbalimbali.

J J Mnyika wa Chadema ndio mbunge mstaafu wa Kibamba

Source: TBC

Maendeleo hayana vyama!



Huku naona wapinzani waliwakwanisha zaidi ya hapo Kibamba!
 
Rais Magufuli amesisitiza kuwa kufanya kosa siyo kosa ila kurudia kosa ndio tatizo hivyo amewapongeza wananchi hao kwa kumchagua Mtemvu wa CCM na amewaahidi ujenzi wa barabara zote jimboni humo
Barbara zinajengwa kwa ufadhili wa WB asitudanganye, mbona sehemu nyingi tu za Ccm zinapumulia machine?
 
Hiyo haishangazi. Mbona ccm imetawala miaka 60 nchi bado masikini- elimu, maji. afya, ajira miundombinu.
Btw: Mnyika alikua anakusanya kodi?
Siamini akili yangu. Hivi huyu ni Rais? Basi ni wa hovyo sana.
 
Kongwa ingekua kama London kwani haiwajawahi kua na mbunge asie wa CCM miaka 60 ya uhuru lakini bado wanajisaidia vichakani, watoto wanakaa chini na kwenye vichaka. Hakuna madawati, hakuna madarasa watoto wanasomea vichakani.

Dodoma yote sasa hivi ingekua New York kwani hawajawahi kuchagua mbunge wa upinzani miaka 60 lakini zaidi ya nusu ya wakazi wa Dodoma ni omba omba.
You missed the point underboss. Mnyika was spending most of his time outside kibamba, kumfuata tundulissu na kumtukana Rais Kikwete. Haina maana kwamba angekuwapo ingekuwa London, ana maana tu kwamba ingebadilika. By the way Mnyika alidifika unahiri kupinga bajeti bungeni, akiwa City Council pia alikuwa anapinga bajeti zote za kibamba na ubungo na Ilala na barabara, alitaka katiba mpya. Nileteeni Gwajima inemuua mnyika, sugu, mbowe na tundulissu.
 
Back
Top Bottom