Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Maendeleo labda pale choo cha standNamaanisha Mwanga haijawahi kuwa na mbunge wa upinzani lakini inaongoza kwa maendeleo mkoa wa Kilimanjaro!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maendeleo labda pale choo cha standNamaanisha Mwanga haijawahi kuwa na mbunge wa upinzani lakini inaongoza kwa maendeleo mkoa wa Kilimanjaro!
Bwashee Make Chadema Great Again!
Hahahaaaa...... Ole Sabaya kaweka historia Machame!Huyo tangiapo ni mke wa mtu
Wewe una akili sana!Sio Make Chagga Great Again?
Machame ameikuta na ataiacha, kwanini asiende kuongoza wa masai wenzake wamejaa shinda tupu?Hahahaaaa...... Ole sabaya kaweka historia Machame!
IdiotHahahaaaa..... Kwa sasa yeye anaolewa na Mdee mwenye ruzuku!
Kisa cha mbaazi na juaChadema wamelikwamisha sana jiji la Dar es salaam!
Goba!Duh mi nikajua sasa ndo barabara zitaanza kujengwa hivi hayo mabasi yanayoenda Tanga, Arusha, Kilimanjaro, Tanga na Pwani yatakatiza njia gani ili yapite barabara ya Bagamoyo?
Usisahau kuwa wanachamba kwa mchangaKongwa ingekua kama London kwani haiwajawahi kua na mbunge asie wa CCM miaka 60 ya uhuru lakini bado wanajisaidia vichakani, watoto wanakaa chini na kwenye vichaka. Hakuna madawati, hakuna madarasa watoto wanasomea vichakani.
Dodoma yote sasa hivi ingekua New York kwani hawajawahi kuchagua mbunge wa upinzani miaka 60 lakini zaidi ya nusu ya wakazi wa Dodoma ni omba omba.
Rais Magufuli leo amewashukuru wananchi wa Kibamba kwa kumpa kura nyingi wakati wa uchaguzi mkuu na pia kuchagua mbunge na madiwani wote wa CCM....
Hii ya Goba tayari ina magari mengi yanayoitumia nadhani inawezekana kukawa na mpango wa kujenga nyingine aidha itakayopita Msumi au Mpiji MagoeGoba!
Sijafika SIKONGE miaka 3 sasa, nadhani kwa sasa inaikaribia Toronto.Rais Magufuli leo amewashukuru wananchi wa Kibamba kwa kumpa kura nyingi wakati wa uchaguzi mkuu na pia kuchagua mbunge na madiwani wote wa CCM....