Rais Magufuli: Kibamba mmejicheleweshea wenyewe maendeleo kwa kukosa mbunge sahihi huko nyuma ila sasa Mtemvu atawavusha!

Rais Magufuli: Kibamba mmejicheleweshea wenyewe maendeleo kwa kukosa mbunge sahihi huko nyuma ila sasa Mtemvu atawavusha!

Mbona Vunjo kuna maendeleo huyu Mnyika ni mzembe tu na amepungukiwa unyenyekevu!
Wewe naona kuna kitu unakitaka kutoka kwa wana Kilimanjaro na utakipata hasa kwa mtu kama wewe ambaye hujaolewa
 
Kongwa ingekua kama London kwani haiwajawahi kua na mbunge asie wa CCM miaka 60 ya uhuru lakini bado wanajisaidia vichakani, watoto wanakaa chini na kwenye vichaka. Hakuna madawati, hakuna madarasa watoto wanasomea vichakani.

Dodoma yote sasa hivi ingekua New York kwani hawajawahi kuchagua mbunge wa upinzani miaka 60 lakini zaidi ya nusu ya wakazi wa Dodoma ni omba omba.
Chatto ingekuwa kama Paris pia
 
Naona bado una mahaba na cdm,jitazame usije zalishwa kama baba makusanya
Tuliwachangia akina Msigwa na Mbowe kuwatoa gerezani kwa sababu Chadema tunaipenda na tumewapeni wabunge 19 wa bure!
 
Back
Top Bottom