Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Wewe naona kuna kitu unakitaka kutoka kwa wana Kilimanjaro na utakipata hasa kwa mtu kama wewe ambaye hujaolewaMbona Vunjo kuna maendeleo huyu Mnyika ni mzembe tu na amepungukiwa unyenyekevu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe naona kuna kitu unakitaka kutoka kwa wana Kilimanjaro na utakipata hasa kwa mtu kama wewe ambaye hujaolewaMbona Vunjo kuna maendeleo huyu Mnyika ni mzembe tu na amepungukiwa unyenyekevu!
Ni kweli kwa miaka 60 ya uhuruChadema ilikuwa inatuletea umaskini mkubwa bwashee!
Acha upuuzi we bwege. Mfano huo wa Kongwa haurandani na uzembe wa Mnyika kusimamia maendeleo.Hii comment itamfanya mleta uzi aukimbie uzi wake
Bwashee Make CHADEMA Great Again!Unajichanganya babu
Ndio maana Dar es salaam wamewakataa!Nikweli kwa miaka 60 ya uhuru
Baada ya miaka 60 KONGWA wanafunzi bado wanajisaidia kwa vichakaAcha upuuzi we bwege. Mfano huo wa Kongwa haurandani na uzembe wa Mnyika kusimamia maendeleo.
Kama walivyo mkataa bwana wako DABNdio maana Dar es salaam wamewakataa!
Mnyika ni mzembe sana ndio maana akina Halima Mdee wamemtoroka!Acha upuuzi we bwege. Mfano huo wa Kongwa haurandani na uzembe wa Mnyika kusimamia maendeleo.
Unao ushahidi?Baada ya miaka 60 KONGWA wanafunzi bado wanajisaidia kwa vichaka
Naona bado una mahaba na CDM, jitazame usije zalishwa kama baba makusanyaBwashee Make Chadema Great Again!
Chatto ingekuwa kama Paris piaKongwa ingekua kama London kwani haiwajawahi kua na mbunge asie wa CCM miaka 60 ya uhuru lakini bado wanajisaidia vichakani, watoto wanakaa chini na kwenye vichaka. Hakuna madawati, hakuna madarasa watoto wanasomea vichakani.
Dodoma yote sasa hivi ingekua New York kwani hawajawahi kuchagua mbunge wa upinzani miaka 60 lakini zaidi ya nusu ya wakazi wa Dodoma ni omba omba.
Pembe la ng'ombe halijfichiUnao ushahidi?
Kama Machame walimfurusha DJ aende kwao Dubai!Kama walivyo mkataa bwana wako DAB
Au Dubai ya TanzaniaChatto ingekuwa kama Paris pia
Na ndiyo majimbo yaliyojaa mafukara kabisaSiasa za namna hii bado zipo kumbe?!!... Vijembe na taarabu tu asee.. wapambe kazi kuitikia kiitikio na kupiga vigelegele...
Utadhani kwenye wabunge wa rangi ya kijani kuna maendeleo...
Unatamani akuoe kama mkewe wa pili ili ukaishi DubaiKama Machame walimfurusha DJ aende kwao Dubai!
Nyumba za tembe ndiyo zimejaa hukoAu Dubai ya Tanzania
Tuliwachangia akina Msigwa na Mbowe kuwatoa gerezani kwa sababu Chadema tunaipenda na tumewapeni wabunge 19 wa bure!Naona bado una mahaba na cdm,jitazame usije zalishwa kama baba makusanya
Huyo tangiapo ni mke wa mtuUnatamani akuoe kama mkewe wa pili ili ukaishi Dubai
Hahahaaaa..... Kwa sasa yeye anaolewa na Mdee mwenye ruzuku!Unatamani akuoe kama mkewe wa pili ili ukaishi Dubai