Rais Magufuli: Kibamba mmejicheleweshea wenyewe maendeleo kwa kukosa mbunge sahihi huko nyuma ila sasa Mtemvu atawavusha!

Wanasheria watusaidie hapa.
Magufuli kukusanya kodi Kibamba kisha akawanyima maendeleo, kwa sababu ya kuwa na Mbunge wa Upinzani, Katiba yetu na Sheria za Kimataifa zinasemaje?
Kwa kuwa Magufuli hawezi kushitawa hapa Tanzania kutokana na kukosekana Katiba ya Wananchi, Wananchi wa Kibamba watapaje fidia ya kutozwa kodi kisha wakanyimwa huduma kama alivyosema mwenyewe Magufuli kuwa wamejichelewesha?
 
Well said
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…