Lusinde hakuwahi kumaliza la7 aliishia la4Lusinde yupo wazi anakiri ni std 7
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lusinde hakuwahi kumaliza la7 aliishia la4Lusinde yupo wazi anakiri ni std 7
Shauri yako. Usiseme hukujuwaMbona wako wengi tu ndani ya maccm ikiwemo wewe na master degree yako na Phd.
PhD ya Magufuli na wanasiasa wengine zichunguzwe upya! | JamiiForums
Hahahahahahaah watunga sera na sheria ya nchi wana elimu ya maghumashi, we are dying wrongRais Magufuli amesema kuna mbunge vyeti vyake ni " hewa" na historia yake ya elimu imejaa ujanja ujanja...
Hahahaaaa....... Jah people aliishia chekechea!Lusinde hakuwahi kumaliza la7 aliishia la4
Shauri yako. Usiseme hukujuwa
Na wakati ikishuka, ingefika kwa Bashite, ishu ingekufa hapo hapo!Hizo ishu za vyeti feki ingeenda kwa haki ilipaswa ianze kuanzia juu kabisa kushuka....tungejionea maajabu mengi
Kwa hiyo website ya bunge imeandika ni std 4 ?Lusinde hakuwahi kumaliza la7 aliishia la4
Mpuuzi wewe
Phd yake iko na issue.. Haiko sawa. Kanunua sokoniMwigullu Nchemba kasoma pale Udsm na akina Tundu Lisu na Zitto Kabwe!
Una uhakika bwashee?!Phd yake iko na issue.. Haiko sawa. Kanunua sokoni
Magu ni mjinga ndio maana na yeye anapenda wajingaUna uhakika bwashee?!
Basi ni vyema kama ni kweliNasikia Ben yuko kwenye visiwa vya Carribean anakula bata tu!!
Unajua kwanini Ben Saanane "Dead and disappeared" ? Uliwahi kupitia "SPANA" zake kuhusu Elimu ya Kimagumashi ya JIWE? Unajua kwanini alipotezwa/uwawa?Wewe mburula huwezi linganisha Elimu ya Rais Magufuli na wewe mbumbumbu mbeba mabox na kuosha vibibi vizee hapo kwa Mabeberu!! Nenda hapo UDSM ukapate taarifa zake kuhusu uwezo wake kielimu na knowledge kwa ujumla!
Swala la Ben nadhani GOGOKI2014 alishasema kilichomtokea na nani alitekeleza MAUAJI YA BEN......Hizo TANTALILA ZA kusema ben yupo carribean ni kutaka kupotezea issue.Nasikia Ben yuko kwenye visiwa vya Carribean anakula bata tu!!
Nape nauyeRais Magufuli amesema kuna mbunge vyeti vyake ni " hewa" na historia yake ya elimu imejaa ujanja ujanja.
Rais Magufuli amesema huyo mbunge asingeweza kupata teuzi ya uwaziri lakini kwa bungeni atawafaa kwa sababu sifa kuu ya mbunge ni kujua kusoma na kuandika.
Bado najiuliza ni nani huyo? Au ni katika wale 19?
Maendeleo hayana vyama!
Tundu Ni senior Hawa Akina zito Ni wa juzi tuMwigullu Nchemba kasoma pale Udsm na akina Tundu Lisu na Zitto Kabwe!
magu Aliunga unga tu hata form six hakufauluWewe mburula huwezi linganisha Elimu ya Rais Magufuli na wewe mbumbumbu mbeba mabox na kuosha vibibi vizee hapo kwa Mabeberu!! Nenda hapo UDSM ukapate taarifa zake kuhusu uwezo wake kielimu na knowledge kwa ujumla!