johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #81
Swala halikuwa kukosa ufaulu wa masomo matatu bali kufaulu kwa kiwango cha A+ masomo mawili.Waliokuwa wanajiunga vyuo enzi hizo walikuwa hawana ufaulu wa masomo matatu,hivyo walijiunga kwa kilichoitwa "half combination".Jiwe alipungukiwa sifa hiyo na kwenda kwa"nusu kombi".
Ndio maana walimu wa zamani hawakuwa mbumbumbu kama hawa wa sasa!