Rais Magufuli: Kuna Mbunge ana vyeti vya "Ujanja ujanja" lakini kwa kuwa sifa ya Mbunge ni kujua KK basi watamalizana wenyewe!

Hizo ishu za vyeti feki ingeenda kwa haki ilipaswa ianze kuanzia juu kabisa kushuka....tungejionea maajabu mengi
 
Hizo ishu za vyeti feki ingeenda kwa haki ilipaswa ianze kuanzia juu kabisa kushuka....tungejionea maajabu mengi
Na wakati ikishuka, ingefika kwa Bashite, ishu ingekufa hapo hapo!
 
Wewe mburula huwezi linganisha Elimu ya Rais Magufuli na wewe mbumbumbu mbeba mabox na kuosha vibibi vizee hapo kwa Mabeberu!! Nenda hapo UDSM ukapate taarifa zake kuhusu uwezo wake kielimu na knowledge kwa ujumla!
Unajua kwanini Ben Saanane "Dead and disappeared" ? Uliwahi kupitia "SPANA" zake kuhusu Elimu ya Kimagumashi ya JIWE? Unajua kwanini alipotezwa/uwawa?
 
Nape nauye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…