Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,921
Si bora ungeacha kuandika tu!! Ndio nini hichi!Kam kaw ni yy2 maake ss huk tu2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si bora ungeacha kuandika tu!! Ndio nini hichi!Kam kaw ni yy2 maake ss huk tu2
Afanye huu uteuzi wa mamburura kama musiba atuongezee sababu za tarehe 260418Baba Yetu uliye mbinguni,ufalme wako uje,utakalolifanyike huku Duniani kama huko mbinguni,Utusamehe makosa yetu kama nasi tunavyowasamahe waliotukosea, utupatie riziki yetu,usitutie majaribuni bali utuepushe na yule mwovu shetani,
Umkumbuke na Tumbili Kafullila,Machali,Patrobas,Mwigamba,J Murro, Msando, Lemtusi, Afande Sele, Masha,Musiba, nami wa Mzalendo baba.
Kwa kuwa inawezekana kwa kila aaminiye
amen
Lawrence Masha-kafulira
-machalii
-afande sere
-wema
-jeli mulo
-Katambi
Watsula udisi au uarasi
Atapelekwa kuwa DC Chato...Bila shaka safari hii Lipu Mba halitakosa....
Bila kumsahau Sam Mapene wa ITVKama katika uteuzi huu Mtangazaji ' kimbelembele ' na bingwa wa ' kujipendekeza ' Bwana Hassan Ngoma akikosekana basi akaoge maji ya kutoa ' nuksi ' Kwao Makanya Upareni Mkoani Kilimanjaro.
Naskia ndo mbinu zao cku hiz mtu akilikoroga anakimbilia kweny mitandao na kutoa taarifa kua safu flan ya viongoz itapanguliwa na wanajua Raisi hapendi kuvuja kwa taarifa ivyo anagairi..Wewe utakuwa unaogopa kuondolewa unakuja kuandika humu..
Afande sele??????Afande sele kuula
Yaan mm mwenywe natamani ka ww alafu nipelekwe kule kweny madin ya tanzanite au pale kahama kweny madin niwe navaa mizahabu tupuuuMi mwenyewe nautamani sana U-Dc, sema sijui anayeratibu upatikanaji wa majina,one day yes
Due, hata ngedere !!¡kafulila nafasi hiyooooo [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mzee wa ndumuAfande sele??????
Ndio waganga wake??-kafulira
-machalii
-afande sere
-wema
-jeli mulo
-Katambi
Watsula udisi au uarasi
Haiwezekan wale ni sawa na ng'ombe aliyekatika mkia ...Awachomeke wale waliojiunga na ccm ili aendelee kututamanisha
Vijana wengi wametuangusha sana.Katika uteuzi wao uangalifu mkubwa unahitajika.Ingekuwa vema,hekima na busara kama wangewekwa kwenye lower positions kwanza halafu wakapandishwa pole pole ili wapate uzoefu kwanza na umri uongezeke mihemko ipungue.Wana pupa mno.Muda wowote kuanzia sasa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania anatarajia kupangua wakuu wa wilaya na wakurugenzi nchini ikiwa ni pamoja na kujaza nafasi za wazi katika wilaya husika na halmashauri husika. Katika mabadiliko hayo vijana wengi na sura mpra zinatarajiwa kuingia.
Stay tuned....