Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Tutunze hii ili tuje tuitumie baadayeUpigaji ramli karne ya 21.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutunze hii ili tuje tuitumie baadayeUpigaji ramli karne ya 21.
Muda wowote kuanzia sasa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania anatarajia kupangua wakuu wa wilaya na wakurugenzi nchini ikiwa ni pamoja na kujaza nafasi za wazi katika wilaya husika na halmashauri husika. Katika mabadiliko hayo vijana wengi na sura mpra zinatarajiwa kuingia.
Stay tuned....
Ha ha ha ha ha haaaaa.... mambo vipi malkia wa nguvu.?Rais kama kweli unasoma humu JF na hao washauri wako! Naomba usome huu ujumbe wangu na kuufanyia kazi kama itakupendeza.
Ni kwamba Mh. Rais kuna watu wameitumikia CCM miaka na miaka wamejitoa na wanasifa naomba uwachugue hao. Naomba usihangaike na akina Afande et.al.
Na wanayofanya ktk maeneo yao ya kazi ni uhuni na upuuzi mtupu.ni kwa ajili ya kuwapa udc akina tumbili ili kuwavutia wapinzani zaidi
ni rushwa tu kama rushwa nyingine
nilipooona hamnazo ni pale nafasi za u-DED na u-DAS walipojazwa makada wa ccm
nilichoka
Sijambo Mgibeon karibu sana maana unapotea kweli mpendwa wangu!!!Ha ha ha ha ha haaaaa.... mambo vipi malkia wa nguvu.?
Kwa nini Maliyamungu Bashite asipelekwe huko Rukwa au njombe au Simiyu?Nadhani wataanza wakuu wa mikoa...
Le mutuz, Msiba, Jerry muro mzee wa Nissan nyeupe wameandaliwa vyeo ndiyo wanamsukuma Mtukufu kufanya mabadiliko.ni kwa ajili ya kuwapa udc akina tumbili ili kuwavutia wapinzani zaidi
ni rushwa tu kama rushwa nyingine
nilipooona hamnazo ni pale nafasi za u-DED na u-DAS walipojazwa makada wa ccm
nilichoka
Jerry muro, Msiba na wasukuma ndugu zake Mtukufu ndiyo kipaumbele chake.Le mutuz
wema
madiwani waliohama upinzani
Kaeni mkao wa kuula
Msiba analala kwa Maliyamungu Bashite anaogopa kulala kwake siku hizi baada ya FBI wa marekani kutuma watu kumchunguza baada ya kuwachafuaMsando
Mcba
Mkuu kweli huyo mdau ataula??Jamani msimsahau Afande Sele.