Tetesi: Rais Magufuli kupangua wakuu wa wilaya na wakurugenzi muda wowote

Tetesi: Rais Magufuli kupangua wakuu wa wilaya na wakurugenzi muda wowote

Nadhani walioshidwa kununua wapinzani, wataisoma namba
 
Muda wowote kuanzia sasa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania anatarajia kupangua wakuu wa wilaya na wakurugenzi nchini ikiwa ni pamoja na kujaza nafasi za wazi katika wilaya husika na halmashauri husika. Katika mabadiliko hayo vijana wengi na sura mpra zinatarajiwa kuingia.

Stay tuned....
akisoma hii meseji hatakama alinuia ana ahirisha
 
Bandika bandua!!! Tofauti na Trump ni rangi na nchi otherwise the difference is the same.
 
Rais kama kweli unasoma humu JF na hao washauri wako! Naomba usome huu ujumbe wangu na kuufanyia kazi kama itakupendeza.

Ni kwamba Mh. Rais kuna watu wameitumikia CCM miaka na miaka wamejitoa na wanasifa naomba uwachugue hao. Naomba usihangaike na akina Afande et.al.
Rais hapangiwi! Yeye anautashi wake. Kujitolea kwa chama kwa mapenzi yako mwenyewe si garantee ya kupewa fadhila ya u-DC au post yoyote ile.
 
aanze na mkurugenzi wa dodoma amekua kero sana na maamuzi yake ya kukurupuka......
 
watanzania kwa kupenda tetesi na michapo...mh!
 
Katika maisha mabadiliko ni lazima. Kwa nini unatoa alert kwenye issue iliyo obvious?
 
Muda wowote kuanzia sasa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania anatarajia kupangua wakuu wa wilaya na wakurugenzi nchini ikiwa ni pamoja na kujaza nafasi za wazi katika wilaya husika na halmashauri husika. Katika mabadiliko hayo vijana wengi na sura mpra zinatarajiwa kuingia.

Stay tuned....
Kumbe ndo maaanaaaaa yule DC wa Rombo na DED walikua kla muda wanapost picha wakijidai kupiga kazi ili wajiongezee nafas za kubakiiiii?
 
Kusema hivi Tusubiri wana ccm wengi kuja na matusi kedekede kuelekezwa upinzani pamoja na sifa zisizo na kifani kwa bwana mkubwa. Wapi mpendazoe, Jerry mulo, patrobas katambi, musiba, na wengine wenye sura kama hiyo! Huu ndo muda wenu wa kuja kutema cheche zenu.
Kiongozi wa Malaika
Screenshot_2018-03-13-09-15-34-1.png
 
Haya ni mawazo yangu tu!!

RCs Wanaohamishwa:
1) RC Simiyu - Anaenda Dar

2) RC Dar - Anaenda Geita

3) RC Geita - Anaenda Simiyu

4) RC Arusha - Anaenda Dodoma

5) RC Dodoma Anaenda Mtwara

6) RC Mtwara - Anaenda Manyara

7) RC Manyara -- Anaenda Arusha

DCs sina pakuanzia list ni ndefu mno tusibiri, ila pangua pangua itakuwa kubwa kidogo!!
Mabadiliko makubwa haya yetu macho tu.
 
wellcome msemaji wa zamani wa Yanga.....wellcome Le mut..

Acheni tu wenye lugha yao Waingereza watudharau Waafrika. Nimelipenda sana neno lako la ' wellcome ' uliloliandika Mkuu japo sijajua kama lina tofauti na lile la ' welcome '.
 
Muda wowote kuanzia sasa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania anatarajia kupangua wakuu wa wilaya na wakurugenzi nchini ikiwa ni pamoja na kujaza nafasi za wazi katika wilaya husika na halmashauri husika. Katika mabadiliko hayo vijana wengi na sura mpra zinatarajiwa kuingia.

Stay tuned....
Naonananataka kulipa fadhila kwa wasiojulikana. Kwa kazi nzuri.
 
Muda wowote kuanzia sasa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania anatarajia kupangua wakuu wa wilaya na wakurugenzi nchini ikiwa ni pamoja na kujaza nafasi za wazi katika wilaya husika na halmashauri husika. Katika mabadiliko hayo vijana wengi na sura mpra zinatarajiwa kuingia.

Stay tuned....

Kina Pohamba, Jinga la wao etc. hivi waliacha no. zao. Au wali mp?
 
Back
Top Bottom