Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
akisoma hii meseji hatakama alinuia ana ahirishaMuda wowote kuanzia sasa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania anatarajia kupangua wakuu wa wilaya na wakurugenzi nchini ikiwa ni pamoja na kujaza nafasi za wazi katika wilaya husika na halmashauri husika. Katika mabadiliko hayo vijana wengi na sura mpra zinatarajiwa kuingia.
Stay tuned....
Rais hapangiwi! Yeye anautashi wake. Kujitolea kwa chama kwa mapenzi yako mwenyewe si garantee ya kupewa fadhila ya u-DC au post yoyote ile.Rais kama kweli unasoma humu JF na hao washauri wako! Naomba usome huu ujumbe wangu na kuufanyia kazi kama itakupendeza.
Ni kwamba Mh. Rais kuna watu wameitumikia CCM miaka na miaka wamejitoa na wanasifa naomba uwachugue hao. Naomba usihangaike na akina Afande et.al.
umemsahau king of all bongo social media, team miaka 56 tunakula home-kafulira
-machalii
-afande sere
-wema
-jeli mulo
-Katambi
Watsula udisi au uarasi
Wanastahili-kafulira
-machalii
-afande sere
-wema
-jeli mulo
-Katambi
Watsula udisi au uarasi
-kafulira
-machalii
-afande sere
-wema
-jeli mulo
-Katambi
Watsula udisi au uarasi
...Bila shaka safari hii Lipu Mba halitakosa....-kafulira (aka CUF Lira)
-machalii -afande sere
Kumbe ndo maaanaaaaa yule DC wa Rombo na DED walikua kla muda wanapost picha wakijidai kupiga kazi ili wajiongezee nafas za kubakiiiii?Muda wowote kuanzia sasa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania anatarajia kupangua wakuu wa wilaya na wakurugenzi nchini ikiwa ni pamoja na kujaza nafasi za wazi katika wilaya husika na halmashauri husika. Katika mabadiliko hayo vijana wengi na sura mpra zinatarajiwa kuingia.
Stay tuned....
Kiongozi wa MalaikaKusema hivi Tusubiri wana ccm wengi kuja na matusi kedekede kuelekezwa upinzani pamoja na sifa zisizo na kifani kwa bwana mkubwa. Wapi mpendazoe, Jerry mulo, patrobas katambi, musiba, na wengine wenye sura kama hiyo! Huu ndo muda wenu wa kuja kutema cheche zenu.
Atakukumbuka usijaliWewe utakuwa unaogopa kuondolewa unakuja kuandika humu..
Mabadiliko makubwa haya yetu macho tu.Haya ni mawazo yangu tu!!
RCs Wanaohamishwa:
1) RC Simiyu - Anaenda Dar
2) RC Dar - Anaenda Geita
3) RC Geita - Anaenda Simiyu
4) RC Arusha - Anaenda Dodoma
5) RC Dodoma Anaenda Mtwara
6) RC Mtwara - Anaenda Manyara
7) RC Manyara -- Anaenda Arusha
DCs sina pakuanzia list ni ndefu mno tusibiri, ila pangua pangua itakuwa kubwa kidogo!!
wellcome msemaji wa zamani wa Yanga.....wellcome Le mut..
Naonananataka kulipa fadhila kwa wasiojulikana. Kwa kazi nzuri.Muda wowote kuanzia sasa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania anatarajia kupangua wakuu wa wilaya na wakurugenzi nchini ikiwa ni pamoja na kujaza nafasi za wazi katika wilaya husika na halmashauri husika. Katika mabadiliko hayo vijana wengi na sura mpra zinatarajiwa kuingia.
Stay tuned....
Muda wowote kuanzia sasa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania anatarajia kupangua wakuu wa wilaya na wakurugenzi nchini ikiwa ni pamoja na kujaza nafasi za wazi katika wilaya husika na halmashauri husika. Katika mabadiliko hayo vijana wengi na sura mpra zinatarajiwa kuingia.
Stay tuned....