Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sishangai maana mtoa rushwa alipandishwa cheo hadi kuwa mkuu wa mkoaLe mutuz, Msiba, Jerry muro mzee wa Nissan nyeupe wameandaliwa vyeo ndiyo wanamsukuma Mtukufu kufanya mabadiliko.
Kama ni hivo,muniokote mirembeAfande Sele RC Mkoa Fulani....
Huyu ZILIPENDWA?Jamani msimsahau Afande Sele.
So what ??Ni kwa interest zake binafsi labda kuna watu wake aliwasau.Chanzo cha maisha magumu ni sera zake za kutufanya tuishi km mashetani.Kila mtu alikua mpiga dili utafikiri yy katoka mbinguniMuda wowote kuanzia sasa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania anatarajia kupangua wakuu wa wilaya na wakurugenzi nchini ikiwa ni pamoja na kujaza nafasi za wazi katika wilaya husika na halmashauri husika. Katika mabadiliko hayo vijana wengi na sura mpra zinatarajiwa kuingia.
Stay tuned....
Aisee kumbe usipokula pilipili nyingi unakua na ufahamuUtaratibu wa zamani ndio suluhisho wa kuwapandisha vyeo wafanyakazi ndani ya wizara husika badala ya kuleta makada wa ccm na kuwapa nafasi za u-DED wakati hawajui chochote. Hii imeleta utendaji kuwa mbovu sana sana ktk halmshauri zetu.
[emoji12] [emoji182] [emoji182] [emoji182]Mara paap Wema Sepetu mkuu wa wilaya flani
Hahahaha...
kama ulijua vileWewe utakuwa unaogopa kuondolewa unakuja kuandika humu..
umemsahau Msiba-kafulira
-machalii
-afande sere
-wema
-jeli mulo
-Katambi
Watsula udisi au uarasi