Tetesi: Rais Magufuli kupangua wakuu wa wilaya na wakurugenzi muda wowote

Afanye huu uteuzi wa mamburura kama musiba atuongezee sababu za tarehe 260418
 
Rais wetu Mheshimiwa Dr John Pombe Magufuli alishamema hapangiwi na ukimpangia ndiyo hafanyi kabisa ulichopanga. Sasa wewe hizi porojo za mabadiliko umezitoa wapi?
 
Tatizo la hizi teuzi kujuana kwingi ni heri wakanipa hiyo nafasi mm hapa nina utaalamu nilioupata darasani ila napotezewa tu daah
 
Kama katika uteuzi huu Mtangazaji ' kimbelembele ' na bingwa wa ' kujipendekeza ' Bwana Hassan Ngoma akikosekana basi akaoge maji ya kutoa ' nuksi ' Kwao Makanya Upareni Mkoani Kilimanjaro.
Bila kumsahau Sam Mapene wa ITV
 
Wewe utakuwa unaogopa kuondolewa unakuja kuandika humu..
Naskia ndo mbinu zao cku hiz mtu akilikoroga anakimbilia kweny mitandao na kutoa taarifa kua safu flan ya viongoz itapanguliwa na wanajua Raisi hapendi kuvuja kwa taarifa ivyo anagairi..
 
Pascal Mayalla yuko wapi mbona kwenye list yupo huku hamjamuweka?
 
Mi mwenyewe nautamani sana U-Dc, sema sijui anayeratibu upatikanaji wa majina,one day yes
Yaan mm mwenywe natamani ka ww alafu nipelekwe kule kweny madin ya tanzanite au pale kahama kweny madin niwe navaa mizahabu tupuuu
 
Vijana wengi wametuangusha sana.Katika uteuzi wao uangalifu mkubwa unahitajika.Ingekuwa vema,hekima na busara kama wangewekwa kwenye lower positions kwanza halafu wakapandishwa pole pole ili wapate uzoefu kwanza na umri uongezeke mihemko ipungue.Wana pupa mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…