Fabolous
JF-Expert Member
- Sep 23, 2010
- 2,993
- 3,747
Uzuri wa jiwe ni mkweli sana'kwanza hawakuchaguliwa na wananchi' Kaanza kutoboa siri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri wa jiwe ni mkweli sana'kwanza hawakuchaguliwa na wananchi' Kaanza kutoboa siri
Exactly!Unafahamu nadharia ya City, kisha Metropolitan Area? Hiyo inaweza kuwa ni mojawapo. Kunakua na Jiji la Ilala kwa mfano, kisha Manispaa za MKOA WA DAR ES SALAAM.
Kwa mfano kuna jiji la Maputo na Jimbo la Maputo, haviingiliani. Kwa mfano jimbo la Maputo makao makuu yake ni Matola.
Pia kuna Jiji la Kinshasa na Jimbo la Kinshasa nafikiri pale GOMBE.
KweeeriiiiVunja tu tutajenga kwa fedha zetu za ndani sio mkopo wa World Bank! Tano tena au nasema uongo ndugu zangu?
Mwanza Mwanza Mwanza Mwanza Mwanza Mwanza Mwanza MwanzaKwahiyo madiwani walichaguliwa na nani? (Anathibitisha wizi wa kura kufanyika?)
Kwahiyo jiji la Dar Es Salaam linaenda kuwa historia? (Dar inakuwa ya "mikoani")
Ikiwa Jiji la Dar linaenda kufa, jiji kubwa kuliko yote Tz linaenda kuwa Mwanza.... (ok ok ok inaeleweka)
Ukienda kutafuta majiji makubwa East Africa, Nairobi anakosa mpinzani rasmi.
Na hisi kichwa chake kina matatizo somewhereUzuri wa jiwe ni mkweli sana
Akiwa katika uzinduzi wa daraja la juu Ubungo amesema atalivunja jiji na kuipa Ilala hadhi ya jiji na wilaya zingine zibaki kuwa Manispaa.
----
Rais Magufuli ameyasema haya
Nategemea Jiji la Dar es Salaam kulivunja na hii nawaambia hapa ili tutengeneze jiji la eneo fulani, tunaweza tukaifanya Ilala ndio ikawa jiji, ita-depend na mambo yatakavyoenda lakini kuwa na madiwani ambao wanakaa hapa juu, wanachangiwa hela, hawana miradi ya maendeleo, wanakula posho na hawakuchaguliwa na watu, hili nitalikataza.
Kwa hiyo ninalizungumza hapa, wale wanaojiandaa kuwa Mameya wa jiji la Dar es Salaam na wanakaa hawana maeneo wajue hicho kimekwisha. Tunataka Manispaa moja katika jiji la Dar es Salaam ndio ipandishwe hadhi iwe jiji halafu nyingine ziwe manispaa, ni kama ilivyo katika majiji mengine.
Kwahiyo mjiandae kisaikolojia wale waliokuwa wanataka umeya wajiji la Dar es Salaam, meya atapatikana kutoka Ilala au kutoka manispaa mojawapo ya hapa, huu ndio ukweli na ukweli utabaki kuwa ukweli na draft nimeshaletewa na mheshimiwa Jafo, nafikiri nikitoka huku nitakwenda kuisaini.
Ili turahisishe mambo, bajeti ya jiji ambayo haipo, fedha zilikuwa zinapotea ndugu zangu waheshimiwa wabunge, jiji la Dar es Salaam litaendelea kuwepo lakini tutachukua eneo fulani nafikiri Ilala inafaa kuwa jiji, ndio katikati ya jiji la Dar es Salaam, wewe Ubungo utasubiri kwanza kwasababu hata barabara bado hazijatengenezwa tengenezwa lakini nafanya haya ndugu zangu kwa kuangalia matumizi mazuri ya fedha zetu. Mwiso wa Nukuu
Mkuu kwa maana hii kuna siku tutaona jiji la Moshi, Bukoba, Kahama, Chato au Sumbawanga ndio maana yake?... wala usipate tabu, ni concept rahisi sana. Ili uipate vizuri, tuchuke mji ambao jina lake sio jina la mkoa mfano Moshi.
Moshi iko katika mkoa wa Kilimanjaro na ina hadhi ya manispaa. Moshi na Kilimanjaro ni ipi kubwa? Ni Kilimanjaro; Moshi ni mji/Manispaa ndani ya Kilimanjaro kama itakavyokuwa jiji la Ilala ndani ya mkoa wa Dar-es-Salaam.
Ukiacha Moshi, Kilimanjaro ina halmashauri nyingine kadhaa ambazo ziko katika wilaya ngingine nje ya Moshi - Halmashauri ya Wilaya ya Same (ndani ya Wilaya ya Same); Halmashauri ya Wilaya ya Hai (ndani ya Wilaya ya Hai); Mwanga, Siha, Rombo, n.k. kama ambavyo kutakuwa na Mainspaa ya Temeke (ndani ya Wilaya ya Temeke), vivyo hivyo Ubungo, Kinondoni, n.k. katika Mkoa (sio jijji) wa Dar-es-Salaam.
Akiwa katika uzinduzi wa daraja la juu Ubungo amesema atalivunja jiji na kuipa Ilala hadhi ya jiji na wilaya zingine zibaki kuwa Manispaa.
----
Rais Magufuli ameyasema haya
Nategemea Jiji la Dar es Salaam kulivunja na hii nawaambia hapa ili tutengeneze jiji la eneo fulani, tunaweza tukaifanya Ilala ndio ikawa jiji, ita-depend na mambo yatakavyoenda lakini kuwa na madiwani ambao wanakaa hapa juu, wanachangiwa hela, hawana miradi ya maendeleo, wanakula posho na hawakuchaguliwa na watu, hili nitalikataza.
Kwa hiyo ninalizungumza hapa, wale wanaojiandaa kuwa Mameya wa jiji la Dar es Salaam na wanakaa hawana maeneo wajue hicho kimekwisha. Tunataka Manispaa moja katika jiji la Dar es Salaam ndio ipandishwe hadhi iwe jiji halafu nyingine ziwe manispaa, ni kama ilivyo katika majiji mengine.
Kwahiyo mjiandae kisaikolojia wale waliokuwa wanataka umeya wajiji la Dar es Salaam, meya atapatikana kutoka Ilala au kutoka manispaa mojawapo ya hapa, huu ndio ukweli na ukweli utabaki kuwa ukweli na draft nimeshaletewa na mheshimiwa Jafo, nafikiri nikitoka huku nitakwenda kuisaini.
Ili turahisishe mambo, bajeti ya jiji ambayo haipo, fedha zilikuwa zinapotea ndugu zangu waheshimiwa wabunge, jiji la Dar es Salaam litaendelea kuwepo lakini tutachukua eneo fulani nafikiri Ilala inafaa kuwa jiji, ndio katikati ya jiji la Dar es Salaam, wewe Ubungo utasubiri kwanza kwasababu hata barabara bado hazijatengenezwa tengenezwa lakini nafanya haya ndugu zangu kwa kuangalia matumizi mazuri ya fedha zetu. Mwiso wa Nukuu
Anataka avunje Dar es Salaam ili ndani ya miaka 5 ya Kipindi cha Pili cha uongozi wake ajenge upya iwe kama Chato aliyoijenga miaka 5 mpaka imekuwa kama Ulaya. Hongereni Wakazi wa Dar kupata Mkazi anayewajali!Yan akivunja maana yake kutakuwa hakuna Dar es Salaam.. Au nimeelewaje!!. Badala yake ilala ndo itakuwa jiji kama sasa tunavosema jiji la dar es salaam.. Niko sahihi au.
"hawakuchaguliwa na watu" Ahsante sana Magu you are my hero. Vunja hilo jiji la viongozi wavamizi waliochakachua uchaguzi! Vunja haraka sana. Vunja hata bunge tafadhali sanaAkiwa katika uzinduzi wa daraja la juu Ubungo amesema atalivunja jiji na kuipa Ilala hadhi ya jiji na wilaya zingine zibaki kuwa Manispaa.
----
Rais Magufuli ameyasema haya
Nategemea Jiji la Dar es Salaam kulivunja na hii nawaambia hapa ili tutengeneze jiji la eneo fulani, tunaweza tukaifanya Ilala ndio ikawa jiji, ita-depend na mambo yatakavyoenda lakini kuwa na madiwani ambao wanakaa hapa juu, wanachangiwa hela, hawana miradi ya maendeleo, wanakula posho na hawakuchaguliwa na watu, hili nitalikataza.
Kwa hiyo ninalizungumza hapa, wale wanaojiandaa kuwa Mameya wa jiji la Dar es Salaam na wanakaa hawana maeneo wajue hicho kimekwisha. Tunataka Manispaa moja katika jiji la Dar es Salaam ndio ipandishwe hadhi iwe jiji halafu nyingine ziwe manispaa, ni kama ilivyo katika majiji mengine.
Kwahiyo mjiandae kisaikolojia wale waliokuwa wanataka umeya wajiji la Dar es Salaam, meya atapatikana kutoka Ilala au kutoka manispaa mojawapo ya hapa, huu ndio ukweli na ukweli utabaki kuwa ukweli na draft nimeshaletewa na mheshimiwa Jafo, nafikiri nikitoka huku nitakwenda kuisaini.
Ili turahisishe mambo, bajeti ya jiji ambayo haipo, fedha zilikuwa zinapotea ndugu zangu waheshimiwa wabunge, jiji la Dar es Salaam litaendelea kuwepo lakini tutachukua eneo fulani nafikiri Ilala inafaa kuwa jiji, ndio katikati ya jiji la Dar es Salaam, wewe Ubungo utasubiri kwanza kwasababu hata barabara bado hazijatengenezwa tengenezwa lakini nafanya haya ndugu zangu kwa kuangalia matumizi mazuri ya fedha zetu. Mwiso wa Nukuu
Nimependa hapo hawakuchaguliwa na wananchi.
Uzuri wa huyu Mjomba huwa hanaga siri kabisa.
Wew hakunaga hata kitu ulichowahi kukikubali kilichofanywa na serikali.Upuuzi tu wa kuongeza gharama za uendeshaji za Serikali. Husikii huu upumbavu nchi zilizoendelea wa kuongeza idadi ya mikoa au majimbo.
Afafanue nini wakati maelezo ya mkulu yako wazi?Hapana Dar litakuwa Jiji kibiashara na siyo kiutendaji! Alyetia uzi huu hakufafanua sana alivyoeleza Mhe Rais! Litabaki jiji la Dar lakini kihalmashauri hakutakuwa na halmashauri ya Jiji la Dar!